×

Tag: kubenea

Kubenea: Bila Rais Samia Magazeti Yangu Yasingerudi

MKUREUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Saed Kubenea, amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kufungua ukurasa mpya na vyombo...

READ MORE

Kubenea Aondoa Ombi la Kumshitaki Makonda Mahakamani

Mahakama ya Hakimu mkazi Kinondoni imeridhia ombi la mawakili wa Mwandishi wa Habari, Said Kubenea la kuondoa maombi ya kuwashtaki...

READ MORE

Kubenea Apandishwa Kizimbani, Arudishwa Rumande

Mbunge wa Jimbo la Ubungo aliyemaliza muda wake Saed Kubenea amepandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya...

READ MORE

Kubenea Akamatwa kwa Tuhuma za Utakatishaji Fedha

ALIYEKUWA Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga, akidaiwa kuvuka...

READ MORE

Kubenea Aondoka Chadema, Ajiunga ACT-Wazalendo

MBUNGE wa Ubungo, Dar es Salaam anayemaliza muda wake kupitia Chadema, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga...

READ MORE

Kumekucha! Zitto, Mdee, Mnyika, Kubenea Upinzani Mkali 2020

JOTO la uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeanza kupanda baada ya wagombea zaidi ya 72 kujitokeza...

READ MORE

Kubenea Aanika Mazito Asema ‘Bado Nipo Chadema’ – Video

  MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  amesema licha ya tetesi kusambaa kuwa anataka...

READ MORE

Breaking: Kisa Tundu Lissu, Kubenea Ajitoa Kugombea Chadema

KAMATI  ya Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo Jumatatu, Desemba 16, 2019, imetangaza majina ya waliopitishwa kugombea...

READ MORE

KISA KUMSEMEA KWA JPM, KUBENEA AMJIBU MAKONDA

Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Saed Kubenea amefunguka juu ya tuhuma za Mkuu wa...

READ MORE

Sakata la Clip; Kubenea, Komu Waomba Radhi Chadema – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamewaomba radhi viongozi...

READ MORE

Breaking: Kimenuka! Kubenea, Komu Wavuliwa Uongozi – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamevuliwa nyadhifa zao...

READ MORE

Kubenea Aibuka na Ufisadi wa Meremeta Bungeni – Video

MBUNGE wa Ubungo Said Kubenea amesema kuwa Ripoti ya Kamati ya Nishati na Madini kuna sehemu imeonyesha tatizo katika Shirika...

READ MORE

KUBENEA ADAI HUENDA BOMBARDIER ZIKAKAMATWA TENA – VIDEO

  MBUNGE wa Ubungo – Dar es Salaam, Saed Kubenea akichangia hoja bungeni leo kuhusu Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano...

READ MORE

Mbunge wa Ubungo Apeleka Hoja Binafsi Bungeni Kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea amesema amepeleka bungeni barua ya kusudio la kuwasilisha hoja binafsi ya kuwa na chombo huru...

READ MORE

KUBENEA: TUMEFUKUZWA NA MKUU WA WILAYA, HATUNA OFISI WILAYANI

  Mbunge wa Ubungo, Saed kubenea amesema Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi kumufukuza kwenye ofisi yake ya ubunge...

READ MORE

Kifo cha Akwilina; CHADEMA Wamtaka Mwigulu Ajiuzulu – (Video)

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, akizungumza na waandishi wa habari leo.   CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Chadema Wapigwa Barua Uchaguzi Kinondoni – Video

Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na msimamizi wa uchaguzi Wilaya ya...

READ MORE

KUBENEA: Sinunuliki, Siwezi Kuhama Chadema Wala Kuisaliti Ubungo – Video

MBUNGE wa Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), Saed Kubenea amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa kuwa...

READ MORE

Kubenea Aitaka Serikali Kulifungulia MwanaHalisi Ndani ya Siku 2 – Video

WAHARIRI wa Gazeti la MwanaHalisi linalomilikiwa na Mbunge, Saed Kubenea lililofungiwa na serikali wamekanusha taarifa ya serikali kuwa gazeti hilo...

READ MORE

Kubenea Apelekwa Zahanati ya Bunge Dodoma

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amepelekwa katika zahanati ya Bunge baada ya kujihisi vibaya. Katibu wa wabunge wa Chadema,...

READ MORE

Breaking News: Kubenea Augua Ghafla Dodoma, Alazwa

  Dodoma. Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika zahanati ya Bunge. Katibu wa wabunge wa Chadema,...

READ MORE

Spika Aagiza Zitto Ahojiwe, Kubenea Asakwe – (Videos)

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuagiza kutafutwa kwa namna yoyote Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea apelekwe kesho kwenye Kamati ya...

READ MORE

Wabunge 6 wa Chadema Wahojiwa na Polisi Usiku kwa Kumshambuliwa Mbunge wa CCM

Wabunge sita wa Chadema usiku wa kumkia leo wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia Mbunge wa Viti Maalum (CCM)...

READ MORE

Kubenea Afutiwa Mashitaka ya Uchochezi Mahakamani Kisutu

  Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (katikati), akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo.  Pembeni mwake ni baadhi ya...

READ MORE

Kubenea ahukumiwa miezi mitatu

MBUNGE  wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) leo amehukumiwa adhabu ya kukaa nje miezi mitatu bila kujihusisha na kosa kama...

READ MORE

Kubenea apandishwa Mahakamani leo

Mbunge wa jimbo Ubungo,(Chadema) Saed Kubenea amefikishwa mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam mapema hii leo akielekea katika chumba...

READ MORE

Mbunge wa Ubungo Mbaroni kwa Amri ya DC. Makonda

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), akipanda kwenye apelekwe kituoni. Wananchi wakitaharuki.Mbunge Saed Kubenea mwenye (shati jeusi) wakitofautina na Mkuu...

READ MORE