×

Tag: ligi ya wanawake

Simba Queens wapo Dar, Yanga kukinukisha Iringa Leo

  Kocha Msaidizi wa Yanga Princess, Nassoro Mukhsin aliliambia gazeti hili kuwa: “Huu ni mchezo muhimu kwetu kusahihisha makosa tuliyofanya...

READ MORE

Ligi ya Wanawake inahitaji maboresho zaidi

TUMESHUHUDIA ushindani mkubwa msimu huu kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania ambayo inadhaminiwa na Bia ya Serengeti Lite ambapo timu...

READ MORE

Ni Yanga Princess na Evergreen

TIMU ya Yanga Princess itavaana na Evergreen kwenye Uwanja wa Karume leo Jumapili. Mchezo huo ni muhimu kwa timu zote...

READ MORE

HAMIENI FASTA, HUKU LIGI YA SERENGETI LITE KUMENOGA KINOMA

LIGI Kuu ya Wanawake maarufu kama Serengeti Lite Premier imeenda mapumziko kupisha ratiba za kimataifa lakini kumenoga kwelikweli. Imefikia mzunguko...

READ MORE

Yanga wamepania kwelikweli hii mechi

  YANGA wamesisitiza kwamba kilichotokea kwenye mechi ya mwisho ya Ligi dhidi ya Lipuli wakalala mjini Iringa hakiwezi kutokea Mwanza...

READ MORE

WAMEPIGA TATU LIGI YA WANAWAKE

MZUNGUKO wa pili wa Ligi ya Wanawake inayodhamini na bia ya Serengeti Lite unazidi kushika kasi kwa timu shiriki kupambana...

READ MORE

Kocha JKT Queens awaponda waamuzi

LICHA ya kupata ushindi ugenini dhidi ya Tanzanite, Kocha wa JKT Queens, Ally Ally, amewatupia lawama waamuzi waliochezesha mchezo huo...

READ MORE

RAUNDI YA PILI LIGI YA WANAWAKE TUTAONA MENGI

  MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti Lite, umeanza wikiendi iliyopita....

READ MORE

Yanga Princess Yasajili Tisa

TIMU ya soka ya wanawake ya Yanga Princess, imeongeza nguvu katika kikosi chake baada ya kufanya usajili wa wachezaji tisa...

READ MORE

Kwa JKT Queens Ukinuna Uwe na sababu

JKT Queens imeweka rekodi ya kipekee kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania maarufu kama Serengeti Women’s Premier League baada ya kucheza...

READ MORE

SIMBA NA YANGA MZIGONI LEO LIGI YA WANAWAKE

LIGI ya wanawake Tanzania maarufu kama Serengeti Lite Women’s Premier League inaendelea leo timu 12 zitakuwa mzigoni kutafuta pointi tatu...

READ MORE

JKT Queen Bado Haikamatiki Ligi Ya Wanawake

LIGI Kuu ya Wanawake Tanzania Bara, moto wake unazidi kushika kasi kwa timu shiriki kupambana kwa kiasi kikubwa kuwania ubingwa...

READ MORE

Fatuma: Nina Maboifrendi Kibao

SERENGETI Lite wameinoge­sha Ligi Kuu ya Wanawake ambayo msimu huu im­ekuwa na mengi ya kuvutia. JKT Queens ndiye bingwa mtetezi...

READ MORE

Simba Queens Yachapwa, Yanga Yatakata

  TIMU ya Simba Queens imedondosha pointi zote tatu kwa mara nyingine baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka...

READ MORE

ASHA RASHIDI AFUNGUKA MAPENZI YAKE NA HASSAN KESSY

SOKA la wanawake nchini linazidi kukuwa kwa kasi siku hadi siku ambapo wachezaji wengi wa jinsia hiyo wanaendelea kuonyesha vipaji...

READ MORE

SERENGETI LITE WAMEIBUA MENGI SOKA LA WANAWAKE

KINACHOONEKANA kwenye Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu maarufu kama ‘Serengeti Lite Womens Premier League’ kinafurahisha. Kuna mam­bo mengi ambayo...

READ MORE

Hongera Serengeti Lite, Wengine Jitokezeni

LIGI Kuu ya Wanawake Bara ‘Serengeti Lite Premier League’ imeonekana kukubalika haraka kufuatia wadhamini ambao ni Serengeti Lite kujitokeza kusapoti...

READ MORE

Ratiba Ya LIGI kuu ya wanawake Tanzania Bara

LIGI kuu ya wanawake Tanzania Bara, maarufu kama Serengeti Lite Women’s Premier League inatarajiwa kuedelea leo katika viwanja vitatu tofauti....

READ MORE

JKT Queens Yaweka Rekodi ya Kipekee Ligi ya Wanawake

TIMU ya JKT Queens imeweka rekodi ya kipekee katika Ligi ya Wanawake maarufu kama Serengeti Lite Women’s Premier League baada...

READ MORE

Wanajeshi Waiga Staili ya Makambo

STRAIKA wa Yanga raia wa DR Congo, Heritier Makambo, amewaambukiza aina ya ushangiliaji wake timu ya Wanawake ya JKT Queens,...

READ MORE

Ni Simba SC na Yanga leo Dar

NI kivumbi cha Simba Queens na Yanga Princess leo Jumapili kwenye Ligi Kuu ya Wanawake. Makocha wa timu hizo wametambiana...

READ MORE

Kitawaka Simba SC vs Yanga SC Kesho

  WAKATI Simba Queens na Yanga Princess wakitarajia kuvaana kesho Jumapili, makocha wa timu hizo wametambiana kila mmoja kuondoka na...

READ MORE

LIGI KUU YA WANAWAKE NI YANGA PRINCES NA SIMBA QUEENS JUMAPILI

LIGI Kuu ya Wanawake inaendelea Jumapili Januari 13, 2019 kwa michezo mitatu ambapo Yanga Princes itavaana na Simba Queens Uwanja...

READ MORE