×

Tag: MAHAKAMANI

Mjane wa Kobe Bryant Alipwa Dola Milioni 16 baada Picha za Mumewe Kuvujishwa

BAADA ya picha za mwili wa aliyekua nyota wa mpira wa kikapu  wa Marekani Kobe Bryant kuvujishwa na naibu afisa...

READ MORE

Hukumu ya Sabaya Yaanza Kusomwa Kortini

HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Sabaya na Wenzake Kortini Tena Leo

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita leo wanatarajiwa kusomewa hoja za awali ya kesi...

READ MORE

IGP Sirro, Ole Sabaya Kumtetea Mbowe

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake watatu wamesomewa maelezo ya mashtaka yanayowakabili leo Jumatatu,...

READ MORE

Pingamizi la Sabaya Lapigwa Chini Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali pingamizi la mawakili wa upande wa utetezi katika kesi ya unyang’anyi wakutumia silaha...

READ MORE

Breaking: Mwakabibi Asomewa Mashtaka Mawili

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) leo Ijumaa, Agosti 20, 2021 imemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,...

READ MORE

Ole Sabaya Aomba Kuachiwa Huru – Video

Mshtakiwa namba moja katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema...

READ MORE

Shahidi Aeleza Alivyotishiwa Bastola na Sabaya

SHAHIDI wa nane wa Jamuhuri katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Breaking News: Mbowe Afikishwa Mahakamani

  MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anadaiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...

READ MORE

Takukuru Kuwafikisha Kortini Katibu Mkuu, Mhasibu CWT

Takukuru intafikisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Katibu Mkuu Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif na mweka hazina wa...

READ MORE

Pedeshee Ndama Apandishwa Kizimbani Tena

MFANYABIASHARA Ndama Hussein maarufu kama’Pedeshee Ndama’ na mwenzake Yusuph Hassan wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka...

READ MORE

Kortini kwa Tuhuma za Kuwaajiri Wageni Bila Vibali

  Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam, kwa mashtaka manne likiwemo la kuwa ajiri...

READ MORE

Kortini Kukutwa na Meno ya Simba, Tembo

WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Trump Mahakamani Kupinga Matokeo ya Uchaguzi

MAOFISA wa kampeni wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wamefungua kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais katika...

READ MORE

Kortini Wakituhumiwa Kuendesha Biashara ya Madawa

WATU wanne wamepandisha kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwemo kosa la kuendesha...

READ MORE

Walionaswa Wakijiunganishia Umeme Wapandishwa Kortini – Video

WATU wawili na wafanyabiashara wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Nassoro Halfa (40)na Mussa Saidi (49) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Kigogo MSD Aendelea Kusota Mahakamani

MAPEMA leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa utetezi katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya...

READ MORE

Watatu Wafikishwa Kisutu Wakikabiliwa na Mashtaka Saba

Washtakiwa watatu wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka saba, yakiwemo ya kushiriki...

READ MORE

Mwanamke Kortini kwa Tuhuma za Kukutwa na Risasi 45

MWANAMKE mmoja Mkazi wa Manzese Argentina jijini Dar es Salaam, Asha Juma amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

Kortini Madai ya Kukutwa na Tausi

RAIA sita wa China wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, ikiwamo kuongoza genge la uhalifu na kukutwa na...

READ MORE

Diwani Mdogo Tanzania Afikishwa Mahakamani, Adaiwa Kuomba Rushwa

    DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29),...

READ MORE

‘Magogo’ Yamponza kKigogo Mwingine – Video

Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa Kampuni ya Salsabil Investment Limited, Abdulrahman Omary amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

Rugemalira Acharuka Kortini, Atoa Notisi kwa Taasisi Tisa – Video

  Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira amewasilisha notisi kwa taasisi tisa...

READ MORE

Mwalimu Mkuu Mbaroni kwa Rushwa ya Ngono kwa Mwanafunzi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma wanamshikilia Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Serengeti iliyopo Serengeti...

READ MORE

Waziri Mbarawa Kutoa Ushahidi Mahakamani

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa, anatarajia kutoa ushahidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi inayomkabili...

READ MORE

Dhamana: Mdee, Bulaya, Msigwa, Heche Wapeta Kortini – Video

MAHAKAMA ya ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Novemba 20, 2019 imetoa uamuzi kuwa wabunge wanne wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Mdee, Heche, Bulaya, Msigwa Mahabusu, Hatima Yao Kujulikana Kesho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kesho Jumatano Novemba 20, 2019 kutoa uamuzi dhidi ya wabunge wanne wa Chadema waliokiuka...

READ MORE

Yaliyojiri Kortini Kesi ya Alimchoma Mkewe kwa Magunia ya Moto

MAPEMA leo Jumatatu, Novemba 18, 2019, katika Mahakama ya Halimu Mkazi Kisutu kesi inayomkabili mfanyabiashara Hamis Luwongo (38) anayedaiwa kumuua...

READ MORE

Wafanyabiashara Kortini kwa Kunaswa na Pesa Bandia – Video

MFANYABIASHARA Chartone Mushi (44) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, wakikabiliwa na makosa matatu likiwamo la...

READ MORE

Hakimu wa Kabendera Ateuliwa Kuwa Jaji, Kesi Yakwama

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi Novemba 20,...

READ MORE

Waliotumia Jina la Janeth Magufuli Kutapeli Wahukumiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu wanne kulipa faini ya Sh1.5 milioni kila mmoja baada ya kuwatia hatiani kutumia...

READ MORE

Mtuhumiwa Avurugwa Ataka Kuvunja Kamera za Waandishi – Video

  Bi. Salma Mtambo aliyehukumiwa miaka sita jela nusura avunje kamera za mapaparazi waliokuwa wakitekeleza majukumu yao ya kikazi Katika...

READ MORE

Hakimu Kesi ya Aveva, Kaburu… Akwama!

MAHAKAM ya Hakimu Mkazi Kisutu ameahirisha kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa klubu ya Simba Evans Aveva na aliyekuwa makamu wa...

READ MORE

Bulaya Augua, Kesi ya Kina Mbowe Yakwama – Pichaz

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA )...

READ MORE

ACT Wazalendo Kupinga Uteuzi Mkurugenzi NEC Mahakamani

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho kimemuagiza wakili, Jebra Kambole kuangalia misingi ya kisheria ili kufungua...

READ MORE

Kigogo Usalama Mtuhumiwa wa Madawa Akosa Dhamana

OFISA Usalama wa Shirika la Posta Tanzania, George Mwamgabe (44) na dereva Abraham Msimu (54) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Washtakiwa 5 Uhujumu Uchumi Wakiri Makosa

WASHTAKIWA watano wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akiwemo wakili, Dk Ringo Tenga, wamemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania...

READ MORE

Breaking: Mchungaji wa Wake 3 Ahukumiwa Jela na Wake Zake – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemhukumu mchungaji wa Kanisa la The Early Church of Lord Yeshwah,...

READ MORE

Breaking: Kesi Kuvuliwa Ubunge, Maombi ya Lissu Yatupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar  es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Naomi Aomba Simu Mahakamani Akatoe Pesa

HAMISI LUWONGO, mtuhumiwa anayedaiwa kumuua na kumchoma moto aliyekuwa mkewe, Naomi Marijani, amezua kioja kingine mahakamani baada ya kuiomba mahakama...

READ MORE