×

Tag: Makala

Mtu sahihi maishani ana sifa gani.?

MUNGU ni mwema! Ni Jumamosi nyingine tumekutana kwenye kilinge chetu cha kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu maisha ya uhusiano.  Tupo kwenye...

READ MORE

Unavyoweza kujipaisha kithamani kwa mpenzi wako!- 4

LEO tupo kwenye sehemu ya mwisho kabisa ya mada hii. Tumeshaona mengi kuhusu namna ambavyo unaweza kujipandisha thamani kwa mpenzi...

READ MORE

Mwenye nyumba hanyimwi chakula

PAAAMBEEE shoga tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa yao...

READ MORE

Jihadhari na Maadui wa Penzi Lako!

NI Ijumaa nyingine murua. Siyo mbaya kwa wanajamvi hili, ndugu, jamaa na marafiki kushirikiana katika mapenzi kama vile wakati wa...

READ MORE

Ukileta Umachepele na Simu Yako, Walahi Unaachika!

TUNAKUTANA tena kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi...

READ MORE

Mambo muhimu unapotaka kuanzisha uhusiano!

NI matumaini yangu mpenzi msomaji wa safu hii, utakuwa kwenye hali nzuri na tayari kusoma kile ambacho nimekuandalia Jumatatu hii....

READ MORE

Kuishi na mwenza siyo rahisi jipange!

JUMAMOSI nyingine tunakutana kwenye darasa la mahusiano. Maisha yetu hayawezi kwenda bila ya kuhusiana, lazima tushirikiane, tusaidizane katika mambo mbalimbali...

READ MORE

Mwanamke kukosa hamu na msisimko wa tendo la ndoa -2

WIKI iliyopita tulianza kuliangalia tatizo hili la mwanamke kukosa hamu na raha ya tendo la ndoa ambalo kitaalam huitwa low...

READ MORE

Twin Soul flame; tatizo sugu linalowatesa wapenzi wengi-2

NI Ijumaa nyingine nzuri, karibu jamvini! Mada niliyoanza kukufafanulia wiki iliyopita, ni kuhusu kitu kiitwacho Twin Soul Flame, yawezekana maneno...

READ MORE

Unavyoweza kujipaisha kithamani kwa mpenzi wako -2

MARAFIKI tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo tunaangalia namna ambavyo unaweza kujipandisha thamani yako kwa mwenzi wako.  Tayari...

READ MORE

Mgomba haugeuzwi kuni

KUJIFANYA mjanja ukafukuza kuku mweusi kwenye giza ulidhani utampata? Heee heeeiyaaa kwa taarifa yako muhogo muhogo hata ukiupaka blue band...

READ MORE

Namna ya kutathimini penzi kabla ya kuvunja penzi!

NAOMBA nichukue nafasi hii kuwapa pole wale wote wanaokwazwa na wapenzi wao kwa namna moja au nyingine kwa sababu mbalimbali...

READ MORE

Ukimuona Ana Sifa Hizi, Usikubali Kumpoteza!

NI Jumamosi nyingine mpenzi msomaji tunakutana kwenye kilinge cha mahaba. Hapa kazi yetu ni kuelimishana yahusuyo maisha ya uhusiano na...

READ MORE

Sababu Sita Wanawake Kupata Ukimwi Zaidi ya Wanaume

ZIPO sababu sita ambazo zinasababisha wanawake wengi zaidi kuonekana wanapata maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi ukilinganisha na...

READ MORE

Twin Soul flame; tatizo sugu linalowatesa wapenzi wengi

NAKUKARIBISHA kwa moyo mkunjufu kwenye uwanja huu mzuri. Leo napenda kuzungumzia tatizo linalowatesa wapenzi na wanandoa wengi duniani kote, liitwalo...

READ MORE

Mdomo Hauna Vocha

WAREEEEREEE shoga yangu najua umezoea cheko la nyundo haya sasa leo nakupa la msumari nginja nginja! Haya tena sikukuu ndiyo...

READ MORE

Tosheka na uliye naye, fanya HIVI akuamini!

MPENZI msomaji wangu, unapoingia katika uhusiano wa kimapenzi na mtu uliyetokea kumpenda sana, awali ya yote unatakiwa kumthibitishia kwamba unampenda...

READ MORE

Ukikosea namna ya kuanzisha uhusiano, imekula KWAKO!

BROTHERS and sisters tunakutana tena kwenye ukurasa wetu ambao tunajadiliana kuhusu uhusiano. Naamini kila unaposoma hapa, kuna kitu unajifunza.  Leo...

READ MORE

Fahamu vinavyoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke

UGUMBA ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata ujauzito. Ugumba unaweza kuwa primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba...

READ MORE

Raha ya chakula mboga

WANAKWA-MBIA jogoo anawika lakini hawezi kutaga! Heri yangu niliyevaa mtandio kuliko weeweee unayeanika makalio heee heeeiyaaaa! Na utachuna mwaka huu,...

READ MORE

Maisha ni yako, kwa nini mapenzi yakupe ‘stress’?

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea na majukumu...

READ MORE

Elewa tatizo la ugumba kwa wanaume!

TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi.  Inaelezwa kuwa katika kila...

READ MORE

Kuna penzi la kujitoa, jitoe ikibidi

MAISHA ya uhusiano yana changamoto nyingi sana. Yana raha na wakati mwingine yana karaha. Penzi linapokuwa moto, ni vigumu sana...

READ MORE

Unagombana sana na mpenzi WAKO?

UHUSIANO wa kimapenzi ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu! Mtu yeyote ambaye amekamilika, anahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi....

READ MORE

Unaikumbuka ahadi yako wakati unaanzisha uhusiano?-3

LEO tunamalizia mada yetu iliyoanza wiki mbili zilizopita. Nitahitimisha kwa kuwaonyesha namna ya kukabiliana na matatizo ambayo yameshatokea kutokana na...

READ MORE

kelele za mbu hazinyimi usingizi

WALETEEEE KELELE shogaa wanakwambia chakula cha harusini hakishibishi na ukitaka kujua masikini na tajiri ufike muda wa zawadi kwa maharusi,...

READ MORE

KWA MPENZI ULIYENAYE UMEPATA , UMEPATIKANA?

MAPENZI huweza kumfanya mtu akaishi maisha ya raha mustarehe hasa pale anapompata mtu mwenye penzi la kweli lakini pia usipoyajulia...

READ MORE

HAKURIDHISHI FARAGHA ? JIFUNZE!

UZURI wa mapenzi ni kuridhishana. Kila mmoja ‘ainjoi’ kukutana na mwenzake, alifuarahie tendo katika hali ambayo hawezi kuwa na hamu...

READ MORE

JINASUE HIVI NA MATAPELI WA MAPENZI

WENGI wameji-kuta kwenye majuto kwa kuwakabidhi watu wasiofaa mioyo yao. Wameambulia mateso makali, wamejikuta wamepoteza muda kwani wameachwa solemba wakati...

READ MORE

UNAIKUMBUKA AHADI YAKO WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO?-2

MARAFIKI hili ni somo muhimu sana kwa wapendanao, kujua ahadi ambazo zinaweza kuwa na nakshi katika mapenzi na zile ambazo...

READ MORE

MAUMIVU YA KIFUA NA TIBA YAKE

MauMivu ya kifua ni dalili inayotokea watu wengi mara kwa mara na kati ya sababu inayoleta watu wengi hospitali. Kuna...

READ MORE

ASALI HAILAMBWI KWA NCHA YA KISU

ASALI Shoga wanakwambia raha ya mwanaume awe na madeni na mwanamke sharti alijue jiko siyo kukalia umbea hadi domo limekaa...

READ MORE

KAMA UNAHONGA ILI UPENDWE UMECHELEWA SANA , SOMA HII!

Ndugu zangu huko mtaani tunakoishi kuna watu ambao wamekuwa wakitumia nguvu kubwa sana kuhakikisha wanawapata wale ambao wametokea kuwapenda. Unamkuta...

READ MORE

UKIONA HAYA ,UJUE NI SIKU ZA MWISHO ZA PENZI LENU !

NI Ijumaa nyingine tunakutana kwenye uwanja wetu huu mujarabu wa kupeana elimu ya kuboresha uhusiano wako.  Niende moja kwa moja...

READ MORE

FAHAMU KINACHOSABABISHA MIGUU KUFA GANZI

 KATIKA mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na...

READ MORE

UNAIKUMBUKA AHADI YAKO WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO?

NI Alhamisi nyingine tunakutana tena kwenye ukurasa huu wa kupeana elimu juu ya uhusiano na mapenzi. Leo nazungumzia juu ya...

READ MORE

WIMBO MZURI HUMBEMBELEZA MTOTO

ENDELEA kuamini kopo la msalani wakati wenzako tunaliamini taulo, kwanza linatunza siri, hata urudie kujifutia sehemu hiyohiyo halisemi kitu, upo...

READ MORE

ASANTE! NGUVU YA KUMWAMBIA MPENZI WAKO NISAMEHE,

NI wiki nyingine tena Mungu ametukutanisha kupitia ukurasa huu. Naamini umzima na unaendelea na mchakamchaka wa maisha kama kawaida. Nikukumbushe...

READ MORE

KAMA UNATATIZO LA NGUVU ZA KIUME, HII INAKUHUSU

    UTAFITI wa hivi karibuni nchini Uingereza umebaini tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ubora wake wake...

READ MORE

JINSI YA KUISHI NA MWANAUME ASIYEKUWA NA PESA!

MUNGU ni mwema! Ni Jumatatu nyingine tunakutana kwenye ulimwengu wetu wa mahaba. Uwanja wetu maridhawa wa kupeana darasa kuhusu maisha...

READ MORE