Mayanja: Tambwe hawezi kumkuta Kiiza kwa mabao
Kocha wa Simba SC, Mganda, Jackson Mayanja.
Hans Mloli, Dar es Salaam
KOCHA wa Simba SC, Mganda, Jackson Mayanja, hataki kusikia suala la kwamba mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe anatwaa kiatu cha ufungaji bora mbele ya…
