Kocha wa Mbeya Kwanza Afungiwa Miaka Mitano, Namungo Wapewa Pointi 3
Kocha wa Mbeya Kwanza, Mbwana Makata na Meneja David Naftali wamefungiwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja kwa kosa la kushawishi/kuamuru wachezaji wasiingie uwanjani kuanza mchezo kati ya Namungo dhidi ya Dodoma Jiji, tukio…
