Majaliwa Aagiza Uhamiaji Kuzuia Paspoti za Wafanyakazi Kampuni ya Gas Entec
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec Shipbuilding Engineering inayojenga Meli mpya ya Mv.Mwanza Hapa Kazi tu katika Bandari ya Mwanza Kusini…
