The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Mengi

Harmonize Kumuenzi Mzee Mengi

Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa mwanamuziki Harmonize ametangaza kuja na tamasha lake la #OneLoveConcert lenye dhumuni ya kuchangia na kufurahia na watu wenye mahitaji maalumu mnamo Machi 20,2022, Mlimani City, Dar es Salaam.…

Pigo Vifo Vya Mabilionea Bongo

DAR: Kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye pia alikuwa miongoni mwa mabilionea wachache nchini Tanzania na mfanyabiashara maarufu, Subhash Patel, kimeibua mjadala mzito juu ya pigo wanaloliacha…

40 YA MENGI, K- LYNN AFUNGUKA

WaKaTi leo (Jumatatu) aliyekuwa mfanyabiashara bilionea bongo, Dk reginald abraham Mengi, akitimiza siku 40 tangu afariki dunia, mjane wake Jacqueline Ntuyabaliwe ‘K-Lynn’ amefuguka kuhusu kipindi hiki cha msiba wa mumewe, Ijumaa…

FUNDI ASIYEONA AIBUA MAPYA YA MENGI

K UMBUKUMBU ya maisha aliyoishi mfanyabiashara bilionea marehemu Dk. Reginald Abrahamu Mengi haijatoka miongoni mwa jamii; fundi mlemavu wa macho aitwaye Abdalah Nyangario (59) ameibuka na mapya kumhusu tajiri huyo aliyezikwa mwishoni…