The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mwizi

Avunja Nyumba, Aiba TV, Anaswa!

POLISI  Mkoa wa Mbeya linamshikilia Rashid Kindole (21) mkazi wa Mkunywa–Madibira Wilaya ya Mbarali kwa tuhuma za kupatikana na mali za wizi baada ya kuvunja nyumba usiku na kuiba. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi…

Dawa ya Kunasa Wezi Yazua Balaa!

WIKI kadhaa baada ya kuibuka kwa taharuki iliyosababishwa na kijana Salum Hamisi ‘Frank Joseph’ aliyedaiwa kunasiana na mzigo wa wizi kichwani huko Mlandizi, Kibaha mkoani Pwani, mwanamke mmoja naye ameibua balaa kufuatia kutangaza…