×

Tag: mwizi

Mwizi Aogeshwa Maji ya Tope, Akimbia Kipigo Kutoka kwa Wananchi, Polisi Wamuokoa

KIJANA ambaye hajafahamika haraka jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 mpaka 30 mkazi wa Igoma halmashauri...

READ MORE

Mgonjwa Anaswa kwa Kuiba Gari la Wagonjwa

Mgonjwa mwenye umri wa miaka 40, aliyejulikana kwa jina la Saminu Sa’idu, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii kwa kutuhumiwa...

READ MORE

Mwanamke Alewesha Wanaume na Kuwaibia

JESHI la Polisi nchini Kenya wanamshikilia mwanamama Joyce Aluta wa Mombasa kwa kosa la kuwawekea wanaume dawa za kulevya kwenye...

READ MORE

Mwizi Aonekana Kwenye Simu Baada ya Kuiiba

WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini Misri wamempongeza mtu mmoja aliyejionesha uso wake kwa maelfu ya watu wakati alipokuwa akiiba...

READ MORE

Mwizi Alala Usingizi Mzito Baada ya Kumuibia Bibi Kizee

Kumetokea kisa cha aina yake katika kijiji cha Mutomo, kaunti ya Kitui nchini Kenya baada ya mwizi sugu wa mabavu...

READ MORE

Atokwa Utumbo Njia ya Haja Kubwa Akidaiwa Kumuibia Mama Lishe

KUFUATIA kusambaa kwa video katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha kijana mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi akiwa amechuchumaa huku utumbo...

READ MORE

Avunja Nyumba, Aiba TV, Anaswa!

  POLISI  Mkoa wa Mbeya linamshikilia Rashid Kindole (21) mkazi wa Mkunywa–Madibira Wilaya ya Mbarali kwa tuhuma za kupatikana na...

READ MORE

Aliyetoka kwa Msamaha wa Rais, Anaswa Wizi wa Ng’ombe

JESHI la polisi wilaya ya Igunga mkoani Tabora kwa kushirikiana na wananchi, wamemkamata Hamisi Juma (29) anayedaiwa kuwa mwizi sugu...

READ MORE

Dawa Ilivyomnasa Mwizi Zanzibar Akapitiwa Usingizini Fofofo!

KIPORO cha habari ya mwizi kusinzia wakati akiiba nyumbani kwa mwandishi Farouk Karim huko Visiwani Zanzibar hivi karibuni hakijachacha, Amani...

READ MORE

40 IMETIMIA! ATUMIA FURSA YA AJALI AKIONA CHA MOTO

MOROGORO: 40 yake imetimia! Jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Chande amekamatwa na polisi akidaiwa kutumia fursa kwa kuiba...

READ MORE

Anaswa kwa Kulewesha Wanawake, Kuwabaka na Kulawiti – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa kutumia kikosi chake chenye weledi, uadilifu na uwezo mkubwa, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa sita...

READ MORE

Dawa ya Kunasa Wezi Yazua Balaa!

WIKI kadhaa baada ya kuibuka kwa taharuki iliyosababishwa na kijana Salum Hamisi ‘Frank Joseph’ aliyedaiwa kunasiana na mzigo wa wizi...

READ MORE

ALIYEIBA MAHINDI YAKANG’ANG’ANIA MABEGANI, ZIPU YAMUOKOA

PWANI: Frank Joseph (23) mkazi wa Dar es Salaam ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa tuhuma za...

READ MORE

AJISALIMISHA POLISI BAADA YA MAHINDI ALIYOIBA KUNASA MABEGANI – VIDEO

KIJANA Frank Japhet (23), mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, amelazimika kujisalimisha katika Kituo cha Polisi Mlandizi, Kibaha, Pwani, baada...

READ MORE

Mwizi wa Gari Ashambuliwa na Nyuki, Ajisalimisha Polisi

FRANCIS SIKADIGU anayesadikiwa kuwa aliiba gari nchini Uganda, alijisalimisha kituo cha polisi cha Bungoma nchini Kenya Jumapili iliyopita baada ya...

READ MORE

VIDEO: Ndugu Wasisitiza Hawatamzika Ndugu Yao Aliyepigwa Risasi na Polisi Mpaka Kieleweke

  Familia ya Salum Almasi, Imamu wa msikiti wa Al-Kheri uliopo Kurasini jijini Dar es Salaam, aliyepigwa risasi na polisi...

READ MORE