The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ndoa na Shetani

Ndoa na Shetani 21

ILIPOISHIA: “Yaani mimi, kumbe alijua analala na mimi lakini bosi wao katumia madaraka kunimiliki mimi.” “Na kweli jana ilikuwa ajabu, yule bosi wao huwa hashughuliki na sisi zaidi ya vijana wake au wageni wake lakini jana tumeshangaa…

Ndoa na Shetani – 20

ILIPOISHIA: “Kwani mwenyeji wangu sijui anaitwa Papaa yupo wapi?” “Ametoka ghafla.” “Sasa ametokaje bila kuniachia pesa yangu,” nilikuwa mkali kidogo. “Dada pesa si tatizo, sema ametoka ghafla ila kaacha maagizo.” “Maagizo gani?”…

Ndoa na Shetani-18

ILIPOISHIA: Nilijiuliza kijiwe mbona kimedorora hivyo, lakini walinipa moyo na kunieleza  muda wa kukata tamaa bado, kibaridi cha Nairobi nacho kilikuwa kikichonyota. Majira ya saa nne kasoro wateja wenye magari walianza kutokea kuonesha…

Ndoa na Shetani-10

ILIPOISHIA: “Wewe ni mwanamke gani kama msala wa kituo cha basi kila abiria anajisaidia halafu unajiita mzuri tena unayajua mapenzi. Kwa uzuri kweli mzuri hakuna kati yetu anayekufikia pia tuna imani mapenzi unayajua lakini ulitakiwa…

Ndoa na Shetani-9

ILIPOISHIA: Nilijua lazima bwana yule atafanya kweli kutokana na taarifa za matukio ya wanajeshi, niliwahi kusikia mwanajeshi amemuua mke wake na yeye kujilipua. Ilibidi niwe mpole ili nitunge uongo wa kumuokoa yule bwana. Lakini kibaya…

Ndoa na Shetani-7

ILIPOISHIA: Nilirudi hadi chumbani kwangu na kuanza kulia kwa hali aliyokuwa nayo Abdul, kama kweli angekuwa ameumia kama alivyonieleza basi lazima hakutakuwa na mapenzi, hawezi kunisamehe.SASA ENDELEA... Siku ile ilipita, hakukuwa na…

Ndoa na Shetani-4

ILIPOISHIA: Japokuwa mwanzo nilikuwa mgumu lakini nilijikuta nakubali ofa za wanaume, lakini nilichagua wanaume wenye pesa kutokana na umbile na uzuri niliokuwa nao, hakuna mwanaume aliyekataa dau nililomwambia.SASA ENDELEA... Maisha…

Ndoa na Shetani-2

ILIPOISHIA: “Mavazi gani hayo, yaani umbile kama lako ningekuwa nalo mimi kila mtu angenisoma namba. Mungu amekupendelea ili uutangaze uwezo wake wa uumbaji ukilificha, usije shangaa siku moja ukasikia umekuwa mlemavu kwa kushindwa…