Ndoa na Shetani 21
ILIPOISHIA:
“Yaani mimi, kumbe alijua analala na mimi lakini bosi wao katumia madaraka kunimiliki mimi.”
“Na kweli jana ilikuwa ajabu, yule bosi wao huwa hashughuliki na sisi zaidi ya vijana wake au wageni wake lakini jana tumeshangaa…
