
Browsing Tag
nyalandu
Breaking: Nyalandu Atangaza Kurejea CCM Mbele ya Rais Samia -Video
ALIYEWAHI kuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Maliasili na Utalii na kisha baadaye kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuondoka Chadema kurejea CCM mbele ya…
Nyalandu Aangushwa Ubunge Singida
Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Rashid Mandoa aliyepata kura 43,847.
Breaking: Nyalandu Atangaza Kurejea Alikotoka
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu, ambaye Oktoba 30 mwaka 2017 alitangaza kujiuzulu ubunge na kuhamia Chama Cha Demnokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia yake ya kurejea kwenye kinyang'anyiro cha…
Nyalandu Amkumbuka Mbowe Walipokuwa Israel – Video
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ameeleza ni kwa namna gani anamfahamu mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, ambapo amesimulia pia ni kwa namna gani alimuomba wasafiri wote…
Mbowe, Nyalandu, Mnyika, Lema, Sumaye Wahudhuria Uhuru Day – Video
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, wamehudhuria sherehe za kutimiza miaka 58 tangu Tanganyika (Tanzania Bara) ipate uhuru ambazo…
Nyalandu Atusua Uchaguzi Chadema
ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kati kwa kupata kura 60 kati ya 86 zilizopigwa na kumshinda aliyekuwa mwenyekiti wa kanda hiyo, Alphonce Mbasa.
…
Nyalandu Apitishwa Kugombea Chadema
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wagombea mbalimbali wa uchaguzi ndani ya chama hicho ngazi ya kanda ambao wameteuliwa kwenye kikao cha Kamati Kuu cha Novemba 23, 2019 ambapo mwanasiasa mkongwe, Lazaro Nyalandu,…
Nyalandu: Chadema Inabeba Majimbo Yote Singida
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lazaro Nyalandu, amedai kuwa mwaka 2020, chama hicho kitarejesha majimbo yote ya Mkoa wa Singida ikiwamo jimbo alilokuwa akiliongoza la Singida Kaskazini.
Akizungumza katika Kijiji cha…
Breaking News: Lazaro Nyalandu Akamatwa na Polisi ‘Takukuru Watajwa’
ALIYEKUA Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM) na Waziri wa Zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kabla ya kuhamia Chadema, amekamatwa na kuchukuliwa na watu wanaodaiwa kuwa wamekataa kujitambulisha akiwa kwenye kikao cha ndani cha…
Nyalandu Amwandikia Ujumbe JPM
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, jana Disemba 11, 2017 alituma salamu za pole kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia vifo vya askari 14 wa JWTZ waliouawa nchini…
Msimamo wa Nape Nnauye Kuhusu Kuhama CCM
Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kwamba haamini katika masuala ya kuhama chama cha siasa kwa sababu kila chama kina itikadi yake na kwamba, itikadi ni sawa na imani ambayo mtu hawezi kuhama…
Nyalandu: Ujasiri Ukaondoe Roho ya Woga, Upendo Uondoe Chuki
IKIWA ni siku mbili tangu ajiuzulu uanachama wa CCM na nyadhifa zote ndani ya chama hicho na kuomba kujiunga Chadema, aliyekuwa mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amewashukuru Watanzania waliompongeza na kuunga mkono uamuzi…
Lowassa Amkaribisha Lazaro Nyalandu Chadema
ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amemkaribisha aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, ambaye amejivua uanachama na kuachia nyadhifa zote alizokuwa nazo…
Zitto Kabwe Ampa Neno Nyalandu Baada ya Kuihama CCM
MBUNGE wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kumpongeza aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Nyalandu ambaye leo Oktoba 30, 2017 amefanya maamuzi ya kuachana na CCM na kusema kiongozi huyo amefanya…
Breaking News: Nyalandu Ajiuzulu Ubunge, Ajivua Uanachama CCM, Kuhamia Chadema
Lazaro Nyalandu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejiuzulu uanachama na vyeo vyote alivyokuwa navyo ndani ya chama hicho, pamoja na kuachia nafasi ya ubunge, kwa kile alichoeleza kwamba ni…
Nyalandu Asubiri Uamuzi wa Madaktari Kumpeleka Lissu Marekani
MBUNGE wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ambaye yupo nchini Kenya kuandaa mikakati ya kupata ruhusa kutoka kwa madaktari ya kumsafirisha Mh Tundu Lissu kwenda Marekani kwa ajili ya matibabu zaidi baada kushambuliwa kwa…
Nyalandu Kumpeleka Lissu Kutibiwa Marekani
MBUNGE wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameweka kambi nchini Kenya kuangalia uwezokano wa kupata ruhusa kutoka kwa madaktari ya kumsafirisha Mh Tundu Lissu kwenda Marekani kwaajili ya matibabu zaidi baada…
Mbunge wa CCM Amtembelea Lissu Hospitalini Nairobi
MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM) amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliylazwa katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa kwa…