Joti Alivyomvalisha Pete Mkewe Tumaini (Pichaz+Video)
MUIGIZAJI wa vichekesho nchini kutoka Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile 'Joti' ameuaga ukapela baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu, Tumaini Hasssan ndoa hiyo imefungwa Agosti 28, mwaka huu…
