Magufuli Aitaka Wizara Kuanza Uchimbaji Nickel Haraka – Video
RAIS John Magufuli leo Jumanne Januari 19, 2021, ameitaka Wizara ya Madini kuhakikisha makubaliano kati yake na kampuni ya LZ Nicol yanatekelezwa kwa muda mfupi ili mradi wa uchimbaji wa madini wa Kabanga uanze kutekelezwa.
…
