RC Makalla Akiri Athari za Madawa ya Kulevya ni Kubwa katika Jiji la Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amekiri mbele ya mgeni rasmi Waziri wa Jamhuri ya Muungano wea Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa athari za madawa ya kulevya katika mkoa wa Dar es Salaam ni kubwa sana.
RC…
