The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

ROMA

Roma Fundi wa Kukinukisha Bongo

ROMA Zimbabwe ndilo jina analotumia kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Kama kawaida yake rapa huyu bora Bongo ambaye kwa sasa maskani yake ni Marekani, amezua mjadala baada ya kusambaa vipande vya video fupi vinavyomuonesha…

Roma Awalipua Madaktari Hawa!

RAPA maarufu nchini Tanzania ambaye kwa sasa yupo Marekani, Roma Mkatoliki, amefunguka ya moyoni kuhusu baadhi ya madaktari kutaka wajawazito wanaokwenda kujifungua wafanyiwe upasuaji badala ya kujifungua kwa njia ya kawaida kwa…

Stamina: Naweza Kusimama Bila Roma

RAPA mkali Bongo, Bonventure Kabogo ‘Stamina Shorwe-bwenzi’ amejimwambafai kuwa, anaweza kusi-mama mwenyewe bila rapa mwenzake, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ wanaounda muunganiko wa ROSTAM. Akistorisha na OVER ZE WEEKEND,…

Moni Awaka Kisa Kiki

RAPA anayefanya vizuri kwa sasa kwenye gemu la Muziki wa Hip Hop Bongo, Awadhi Mtezo ‘Moni Central Zone’, amewaka kisa kuambiwa na mashabiki kwamba anategemea kiki kuusukuma muziki wake. Akipiga stori na Star Showbiz, baada…

SASA ENZI ZIMERUDI

WAMEAMKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wanamuziki wa Bongo Fleva kuona kuwa mtindo wa kutoa albam una umuhimu tena kwa mashabiki na ni ishu isiyokwepeka kwa wanamuziki duniani kote. Mwanzoni mwa miaka ya 2,000, wasanii wengi wa…