Waziri Awataka Wafanyakazi Uchukuzi Wasifanye Kazi kwa Mazoea
WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, amewataka wafanyakazi wa sekta ya uchukuzi kujenga tabia ya kujiendeleza kielimu ili kufanya kazi kwa weledi huku wakiacha kufanya kazi kwa mazoea.
Ameyasema…
