×

Tag: ukimwi

Live: Rais Dkt. Samia Anashiriki Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani Ngazi ya Kitaifa-Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anashiriki maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani ngazi ya...

READ MORE

Biashara ya Ngono Sh 3000 Yawamaliza Wavuvi

MHITIMU wa Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo cha Afya KCMC katika taaluma ya Huduma ya Afya ya Jamii, Maseke Mgalo...

READ MORE

Chanjo ya UKIMWI Kuanza Kesho

HATIMAYE chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa inafanyiwa utafiti muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya nchini Marekani inatarajiwa...

READ MORE

Ubaguzi Watajwa Chanzo Cha Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI

UNYANYAPAA na ubaguzi umetajwa kuwa chanzo kikubwa kinachochangia uwepo wa maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI kutokana na Jamii kuhofia...

READ MORE

Ferooz Anusurika Kupata Ukimwi

Siku ya Mei 12 ilitoka takwimu mpya za Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ambapo taarifa zinaeleza kuwa watu wa umri...

READ MORE

Mwanamke Mwenye Matatizo ya Akili Aambukizwa Ukimwi- Video

Fatuma Athumani (60) ni mama ambaye alibahatika kupata watoto Tisa, lakini watoto wawili kati yayo walifariki dunia huku mmoja akifariki...

READ MORE

Kisukari Tishio Kuliko Ukimwi

WAKATI Ukimwi ukiwa ni moja ya magonjwa yanayoogopwa na watu wengi duniani, imebainika kuwa ugonjwa wa kisukari ndio unaoua watu...

READ MORE

Aliyepona Ukimwi Bongo Aibuka na Mpya!

ARUSHA: MWANAMKE Rose Lyimu, mkazi wa Arusha aliyeibuka hivi karibuni na kudai kuwa amepona ugonjwa wa Ukimwi (VVU), alioishi nao...

READ MORE

Adam Castillejo Athibitishwa Kupona Virusi vya Ukimwi

MWANAUME mmoja kutoka London Uingereza amethithitishwa kuwa ndiye mtu wa pili kupona virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi, wamesema madaktari.  ...

READ MORE

Mrembo Anayeishi na UKIMWI, Wanaume Wamkimbia – Video

Msichana Christina Peter mkazi wa Igoma jijini Mwanza ameamua kujiweka wazi kuwa anaishi na Virusi vya UKIMWI kwa miaka yake...

READ MORE

Hawa Ndiyo Wagunduzi wa Virusi Vya UKIMWI

Mmoja Atajwa Kuhusika Kuvitengeneza: UGONJWA wa Ukimwi ni hatari na umeua watu wengi sana duniani. Leo tutazungumzia ugunduzi wa ugonjwa huu....

READ MORE

Kilimanjaro Challenge Yazinduliwa; GGM, Tacaids Zapata Bil 1.5 Kudhibiti Ukimwi

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile jana 4, Juni 2019, amezindua zoezi...

READ MORE

GGM, TACAIDS Kuzindua Kilimanjaro Challenge Ili Kutokomeza Ukimwi

Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inatarajia kuzindua zoezi la upandaji...

READ MORE

Marekani Waanza Kutibu Ukimwi, Wagonjwa Wawili Wamepona

JOPO la Madaktari jijini London nchini Uingereza limefanikiwa kumuondolea kabisa virusi vya ukimwi muathirika na kumfanya kuwa mtu wa pili...

READ MORE

Wafungwa 340 Wakutwa na Ukimwi, Waziri Afunguka!

WAFUNGWA na mahabusu 340 kati ya 15,250 nchini waliopimwa Virusi vya Ukimwi (VVU) wamekutwa na maambukizi baada ya Jeshi la...

READ MORE

RPC Shanna: Una UKIMWI, Hutaki Kupima, “You Are Going To Die Men!” – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shanna amewataka askari wa jeshi hilo mkoani humo kuhakikisha wanapima afya zao...

READ MORE

MAJIBU YA UKIMWI YA DIAMOND GUMZO!

DAR ES SALAAM: Baada ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuanika stika inyaoonesha amepima magonjwa yote, gumzo...

READ MORE

Hivi Ndivyo Dawa Mpya Inavyozuia Ukimwi

  DAR ES SALAAM: Wengi hawajui hii dawa-kinga inayoanza kutolewa na Serikali kuzuia maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inafanyajefanyaje...

READ MORE

JPM: Iringa Kuna Baridi, Lakini Jizuieni, Tupunguze Ukimwi – Video

Rais Dkt. John Magufuli amewasihi wakazi wa mkoa wa Iringa, kuchukua tahadhari kutokana na maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI...

READ MORE

Mganga Ampa Ujauzito na Kumuoa Binti Yake wa Miaka 13

POLISI Wilaya ya Mpigi wanamshikilia mzee Vicent Ssenonga mwenye umri wa miaka 69 ambaye ni mganga wa kienyeji katika Kituo...

READ MORE

VP Samia Suluhu Awaonya Vikali Machangudoa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 1, 2017 amewaongoza wakazi wa Dar...

READ MORE

MAAMBUKIZI YA UKIMWI YANAPUNGUA – TACAIDS

  TUME ya kudhibiti ukimwi nchini (TACAIDS) imesema kiwango cha maambukizi ya virusi vya ukimwi kinaendelea kupungua kutoka aslimia 0.32...

READ MORE

Wizara Yafunguka Dawa Mpya ya Ukimwi

  BAADA ya hivi karibuni dawa mpya ya kupambana na Virusi Vya UKimwi kugundulika na kuanza kutumika nchini Kenya, Wizara...

READ MORE

Shangwe Dawa Mpya ya UKIMWI

  Mungu Mkubwa! Dawa mpya ya kupambana na Virusi vya Ukimwi (VVU) imegunduliwa na kuanza kutumika nchini Kenya ambapo ndani...

READ MORE