×

Tag: wema

Daktari Bingwa Afunguka Mwisho Wema Kukosa Mtoto Apewa Mbinu Mpya

DAKTARI bingwa wa magonjwa ya wanawake nchini, Godfrey Chale amesema msanii Wema Sepetu hana sababu ya kuendelea kulilia mtoto. “Nimesoma...

READ MORE

Wema: Mama Whozu Amenikubali, Nimepitia Maisha ya Kusimangwa na Watu

Wema Isaac Sepetu au Tanzania Sweetheart; ni supastaa wa filamu nchini Tanzania ambaye kwa mara ya kwanza amefunguka juu ya...

READ MORE

Wema Aibua Sababu za Mastaa wa Bongo Kutoolewa, Mastaa Waponzwa na Tabia

Kuwa na mwenza maishani ni jambo zuri kwa kila mwanamke au mwanaume. Kupata mtu wa kukuoa au kuoa ni baraka....

READ MORE

Wema: Siwezi Kuishi Watakavyo Wao “Mimi Sijaona Tatizo Kwenye ile Video”

Baada ya video yake kusambaa akiwa na mwanaume anayejulikana kwa jina moja la Davito, hatimaye mwanadada Wema Isaac Sepetu amesema...

READ MORE

Wema: Sasa Nina Amani ya Moyo

WEMA Isaac Sepetu; ni supastaa asiyechuja wa Bongo Movies ambaye anafunguka kuwa, miongoni mwa vitu ambavyo anajivunia kwa sasa ni...

READ MORE

Shepu Za Sajari Zatikisa Bongo

WAKATI msanii wa Bongo Movies, Rose Alphonce almaarufu Muna Love akimrudia Mungu wake na kumuomba toba kwa kile alichokifanya huku...

READ MORE

Niva: Wema ni Tajiri, Hataki Kujionesha

MREMBO ambaye ni nembo ya tasnia ya Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu; historia yake ni ya kuigwa na ni tofauti...

READ MORE

Wema: Hata Nikifa, Nyota Yangu Itang’aa

MTU anaweza kuwa staa kwenye eneo lake kwa muda f’lani, lakini akatokea mwingine kwenye mazingira yaleyale akawika huku baadhi wakiamini...

READ MORE

Leo Kazi Anayo, Mastaa Wamvaa Aristote

MASTAA mbalimbali wa filamu na muziki Bongo, wamemjia juu Aristotee kufuatia kauli yake aliyoitoa kwa Wema Sepetu kwamba “miaka yote...

READ MORE

Kisa Kumchamba Wema Kupanda Uber, Aristote Yamkuta Mazito

MAMBO yametaradadi….. Hivyo ndiyo unavyoweza kusema baada ya mdau wa masuala ya sanaa, Aristote kumwangukia malkia wa Bongo Foeva, Wema...

READ MORE

Wafahamu Mastaa Bongo Ambao Wamefanya Upasuaji wa Maumbo Yao

Urembo ni jambo muhimu sana na wanawake wengi hasa maarufu hufanya kila namna ili waweze kuwa na muonekano wanaoutaka, kuna...

READ MORE

Wema: Hebu Mniache

SUPASTAA wa Bongo Movies, Wema Sepetu wengi wanamfahamu kama mpenzi wa zamani wa Diamond Platnumz. Baadhi ya wafuasi mitandaoni wamekuwa...

READ MORE

JB: Kuna Wema Mmoja Tu

KUNA Mwigizaji na director mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Steven almaarufu JB amemsifia mwigizaji na mlimbwende wa Tanzania, Wema Sepetu...

READ MORE

Wema Sepetu Yamkuta Huko

MALKIA wa Bongo Muvi, Wema Sepetu amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa kwa maneno makali na baadhi ya mashabiki...

READ MORE

Wema Sepetu Amvaa Shabiki Kisa Kuzaa

MALKIA wa Bongo Muvi, Wema Sepetu amejikuta akishindwa kuvumulia na kuamua kumtolea makavu bila chenga shabiki aneyafahamika kwa jina la...

READ MORE

Wema: Maisha Yana Siri Kubwa

SUPASTAA wa Bongo, Wema Isaac Sepetu au Tanzanian Sweetheart anasema kuwa, maisha yana siri kubwa hivyo yanahitaji uvumilivu mkubwa tofaui...

READ MORE

Zari Akana Kumpa Penzi Diamond Tangu Waachane

MWANAMAMA tajiri Afrika Mashariki mwenye maskani yake Afrika Kusini, Zari The Boss Lady amekana kumpa penzi mzazi mwenzake, Diamond Platnumz...

READ MORE

Walezi wa Wana Wajengewe Sanamu

MUZIKI wa Bongo Fleva unatajwa kuongoza kwa kuwa na mashabiki wengi kwa sasa nchini. Kupitia fani hii, vijana wengi wamejiajiri...

READ MORE

Mahaba ya Wema Rubani Mubashara

Miongoni mwa mambo yanayozua mjadala mkali ni mahaba ya mwanadada Wema Sepetu na Rubani Danzack ambayo sasa ni mubashara. Stori...

READ MORE

Wema: Dhambi Hii Imeniepuka

SUPASTAA mwenye jina lake kunako Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu anafunguka kuwa, kama kuna dhambi ya kuchora tatuu ya jina...

READ MORE

Diamond, Wema Siyo Siri Tena

WEMA MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse amemwaga ubuyu kwamba, kuna kila dalili Diamond na Wema wakawa wamerudiana kwani siyo jambo...

READ MORE

Uzee Wamnyemelea Wema

  MWILI wa Wema Sepetu au Madam Sepenga umepita kwenye mabadiliko tofauti tangu alipotwaa Taji la Miss Tanzania 2006 na...

READ MORE

Wema Ahurumiwa, Atiwa Moyo

  BAADA ya Vanessa Mdee na mpenzi wake, Rotimi kutanganaza kwamba wamebarikiwa mtoto wa kiume na watu mbalimbali kupongeza, Wema...

READ MORE

Vanessa Amfariji Wema Sepetu

VANESSA Mdee ndiye mama mpya mjini! Nddiyo, siku chache baada ya kutangaza ujauzito wake mkubwa, ni rasmi sasa kwamba amejifungua...

READ MORE

Alikiba Amuimbia Wema ‘Happy Birthday Bichwa’ – Video

STAA wa Bongo Fleva, Alikiba amemuimbia msanii mwenzake wa Bongo Movies, Wema Sepetu kumtakia heri ya kuzaliwa #happybirthday huku akisema...

READ MORE

Wema Amvuruga Kabisa Zari kwa Mondi

MREMBO Wema Isaac Sepetu anadaiwa kumvuruga kabisa mzazi mwenza wa staa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah...

READ MORE

Mondi, Wema Watajwa Wapenzi Bora Bongo

Kapo ya Miss Tanzania 2006/2007, Wema Isaac Sepetu na staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, inatajwa...

READ MORE

Wema Azua Mjadala “Napenda Kupigwa na Boyfriend Wangu”

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa muda mrefu nchini, @wemasepetu amedai aliwahi ahidiwa kutopigwa kwenye mahusiano kipindi anaanza mapenzi na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Wema ampigia debe Mondi

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye pia ni Malkia wa urembo nchini mwaka 2006, amempongeza Msanii wa Bongofleva, Naseeb...

READ MORE

Wema na Zari, Vita Imenoga

  ILIANZA kama masihara tu hivi lakini sasa hivi mambo yametaradadi kati ya muigizaji Wema Sepetu na mrembo kutoka pande...

READ MORE

Wema Amshika Pabaya Lulu Diva

SEXY lady kunako anga la muziki wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amekiri kushikwa pabaya na shosti wake, Wema...

READ MORE

Ishu ya Kukondeana! Daktari Aliyemfanyia Wema Upasuaji Avunja Ukimya

Kwa siku za hivi karibuni stori zilizozagaa mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari ni juu afya ya msanii wa...

READ MORE

Makazi Ya Wema Mbagala Yashtua!

SUPASTAA wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ hivi karibuni amezua taharuki baada ya makazi yake yaliyopo Mbagala-Kijichi jijini Dar,...

READ MORE

PCK Atishia Kumburuza Wema Kortini

  UNAMKUBUKAyule future husband (mume mtarajiwa) wa staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Tanzanian Sweetheart’ aitwaye Patrick Christopher ‘PCK’,...

READ MORE

Kajala Anaishi Kama Yuko Mbele Vile!

MMOJA kati ya mastaa wa Bongo Muvi wanaoishi kama ‘mamtoni’ ni Kajala Masanja ambaye amefanikiwa kujijenga misingi imara ambayo imemwezesha...

READ MORE

Aliyemtapeli Wema afunguka mapya ya staa huyo

  MPENZI wa zamani wa Wema Sepetu, Patrick Christopher ambaye anadaiwa kumtapeli zaidi ya milioni 60 staa huyo wa filamu...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Hatimaye Wema wa Buguruni Akutana na Wema Sepetu OG – Video

BAADA ya kujinadi kuwa yeye ni Wema wa Buguruni na kwamba ni shabiki mkubwa wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu,...

READ MORE