Yondani Kupewa Dili Jipya Polisi
UONGOZI wa Polisi Tanzania umeridhishwa na kiwango cha mlinzi mkongwe, Kelvin Yondani na sasa unajiandaa kuendelea kumbakisha ndani ya klabu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara 2021/22.
Yondani alijiunga na Polisi…
