×

Tag: CHADEMA

Chadema: Sio Kila Mradi Wa Serikali Unapaswa Kupingwa – Video

Viongozi kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamepongeza utekelezaji wa mradi wa Treni ya mwendokasi SGR na wameeleza kuwa...

READ MORE

Jeshi la Polisi Tanga Wazuia Mkutano wa Chadema Sababu za Kiusalama

Jeshi la Polisi Wilaya Tanga wamezuia mkutano hadhara uliotarajiwa kufanyika leo 20/09/2024 Tanga Mjini, mgeni rasmi akiwa Makamu Mwenyekiti Bara...

READ MORE

Mbowe Akanusha Taarifa ya Kufanyika kwa Kikao cha Viongozi Kupanga Maandamano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekanusha taarifa ya kufanyika kwa kikao cha viongozi wa chama...

READ MORE

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Kanda ya Nyasa

UCHAGUZI wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa unafanyika katika Mji wa Makambako Mkoa wa Njombe kwa kushuhudia Joseph Mbilinyi...

READ MORE

Dr Slaa: Sina Chama Nasimamia Upande Wa Haki, Sitaacha Siasa Mpaka Naingia Kaburini – Video

Katibu Mkuu Mstaafu na Aliyewahi kuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa amesema hataacha...

READ MORE

Freeman Mbowe Apongeza Jeshi la Polisi kwa Kuendelea Kulinda Mikutano Yao

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kulinda mikutano ya hadhara...

READ MORE

Marekani iko Tayari Kuishauri Tanzania Kuhusiana na Usalama wa Mipaka Yake

  SERIKALI ya Marekani imesema kwamba ipo tayari kutoa ujuzi na ushauri kwa Tanzania kahusiana na masuala ya kiusalama kwa...

READ MORE

Waziri Masauni: Hakuna Sababu ya Viongozi wa CHADEMA Kutorejea Nchini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haioni sababu ya wanasiasa...

READ MORE

Tundu Lissu: Serikali Imenilipa Mafao Yangu ya Ubunge Baada ya Kutumikia Miaka Mitatu

  MAKAMU mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema Serikali imemlipa kiinua mgongo chake aliochukuwa anadai baada ya kutumikia nafasi ya...

READ MORE

Breaking News: Makada 19 wa Chadema Waachiwa Huru na Mahakama Mwanza

Viongozi na wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioshtakiwa kwa madai ya kufanya fujo wakati wa ibada...

READ MORE

Simbeye: Msajili Hana Mamlaka ya Kikatiba ya Kumsimamisha Mbatia – Video

MKUU wa Idara ya Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha NCCR- Mageuzi Edward Simbeye akifanya mahojiano na 255globalradio na Global...

READ MORE

Chadema Yatoa Tamko Zito, Yataka Kukamilika kwa Katiba Mpya Kabla ya 2025

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika kimetoa taarifa juu ya mazungumzo ambayo Cham...

READ MORE

Mahakama: Yaamuru Mdee na Wenzake Bado ni Wabunge

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeridhia wabunge 19 wa Viti Maalum ambao wamevuliwa uanachama na Chadema kuendelea na...

READ MORE

Wabunge Waliofukuzwa Uanachama Chadema, Watingia Bungeni Leo – Video

 Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameingia bungeni leo Ijumaa...

READ MORE

Video: Kauli ya Halima Mdee Baada ya Kutimuliwa Rasmi Chadema – “Mbowe Anajua ni Uhuni”

Mbunge Halima Mdee kwa niaba ya wenzake 18 ameelezea kutokubaliana na uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA chini ya Mwenyekiti...

READ MORE

Mwenyekiti wa CHAUMA Hashim Rungwe Aungana na CHADEMA Kudai Katiba Mpya

MWENYEKITI wa Chma Cha Umma Hashim Rungwe amehudhuria katika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA...

READ MORE

Video: Chadema, Baraza Kuu Lakutana Mlimani City, Hatma ya Mdee na Wenzake Kujulikana

CHADEMA leo Mei 11, 2022 wanafanya kikao cha Baraza Kuu katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam litakalokuwa...

READ MORE

Chadema Kuchagua Warithi wa Mdee, Wenzake

KUSUKA au kunyoa kwa wabunge 19 wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘Chadema’ uamuzi wake upo mikononi...

READ MORE

Kigogo wa Chadema Akamatwa Tena

MKURUGENZI wa Mashitaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema,...

READ MORE

NCCR Yaungana na Chadema Kususia Mkutano

VYAMA vya NCCR-Mageuzi na Chadema vimeungana kususia mkutano ulioitishwa na Baraza la Vyama vya Siasa. Mkutano huo wenye la lengo...

READ MORE

Hakimu Kesi ya Kigogo Chadema Ahamishwa Mahakama

KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Hashimu Juma Issa (63) imeahirishwa baada ya hakimu anayesikiliza shauri...

READ MORE

CHADEMA Yatoa Tamko Kesi ya Mbowe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema uamuzi wa jana na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani, pamoja na kuitwa uamuzi mdogo...

READ MORE

CHADEMA Haijaridhika na Maamuzi ya Mahakama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, kimesema hakijaridhika na uamuzi uliotolewa na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani katika kesi ndogo ndani ya...

READ MORE

Ally Bananga Atimka Chadema Ajiunga CCM

Aliyekuwa Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Diwani wa Kata ya Sombetini aliyemaliza muda wake, Ally Bananga...

READ MORE

Ofisi za CHADEMA Zachomwa Moto – Video

Usiku wa kuamkia leo Oktoba 13, 2021 ofisi ya CHADEMA jimbo la Tunduma, Mkoa wa Songwe imechomwa moto na watu...

READ MORE

Kigogo Chadema Kortini kwa Kumwita IGP Gaidi-Video

  KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Kigogo Chadema Afikishwa Kortini kwa Tuhuma za Kumchafua IGP Sirro

Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Hashim Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Chadema Wafungua Kesi Kudai Dhamana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefungua kesi kudai kuachiliwa kwa dhamana kwa kiongozi wa Baraza la Wazee la chama...

READ MORE

Msajili Aishauri CHADEMA Kuweka Picha ya Rais

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeishauri CHADEMA kuweka picha ya Rais katika ofisi za viongozi wa chama hicho...

READ MORE

Kesi ya Mbowe, Wafuasi wa Chadema Waangua Kilio Mahakamani – Video

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameangua kilio hadharani katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

Chadema Wasusa Kwenda Ikulu

  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema haitashiriki hafla ya kukabidhi taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 itakayofanyika...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Wafuasi Chadema Wasombwa

POLISI jijini Dar es Salam wamewatawanya wafuasi wa Chadema ambao walikuwa wamekusanyika nje ya mahakama ya Kisutu kufuatilia kesi ya...

READ MORE

Kimenuka Kisutu! Wafuasi Chadema Wakamatwa

Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuzuiwa...

READ MORE

Mbeya: Makada wa Chadema Wadaiwa Kukamatwa na Polisi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya kimedai kuwa makada wake watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi akiwemo...

READ MORE

TLS Yaingilia Kati Sakata la Mbowe

  Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimeingilia kati sakata la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kikitaka aachiliwe au...

READ MORE

Polisi Watapakaa Mwanza, Hivi Ndivyo Halio Ilivyo

JESHI la Polisi waliojihami kwa silaha za moto na mabomu ya machozi wamezingira na kufunga njia za kuingia na kutoka...

READ MORE

Chadema Yamgomea Msajili wa Vyama vya Siasa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitotoa maelezo juu ya malalamiko yaliyopelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa na...

READ MORE

Video: Mdude Asimulia Mazito, Nasimamisha Nchi | Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Mbowe: Chadema Hatutashiriki Uchaguzi 2025 – Video

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kama...

READ MORE

Mnyika: Bawacha Haijaundwa Kupeleka Wabunge wa Viti Maalum

Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika amelitaka Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha) kudai katiba mpya na tume huru...

READ MORE