Simba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola umemalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Simba, ambayo…
