The House of Favourite Newspapers
gunners X

ALAF Yazindua Msimu Wa Nane Wa Ligi Ya Soka

Afisa Mtenaji Mkuu wa ALAF Limited, Bibhu Nanda (kulia), akiwakabidhi mpira manahodha wa timu zitakazoshiriki Ligi ya ALAF inayoanza Jumamosi hii. ALAF Limited, kampuni inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi nchini, leo…

Jenerali Mkunda Ampongeza Sajinitaji Simbu 

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amempongeza Sajini Alphonce Simbu kwa ushindi wa medali ya dhahabu katika Mashindano ya Mbio za  Marathon ya Dunia kilomita 42 zilizofanyika Jijini Tokyo Japan. Pamoja na pongezi hizo,…