×

Breaking News

VIDEO: KIMEKUKA! Ngeleja Arudisha Tsh. Mil. 40 za ESCROW

  Mbunge wa Sengerema kwa tiketi ya CCM, William Ngeleja amerudisha pesa kiasi cha Tsh milioni 40.4 alizohusishwa nazo kwenye...

READ MORE

#BreakingNews: Basi Laua Wawili na Kujeruhi 8 – Mbalari, Mbeya

  MBALARI, MBEYA: Watu wawili wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la kampuni ya Upendo...

READ MORE

Breaking News: Malinzi, Mwesigwa Wanyimwa Dhamana, Warudishwa Rumande

  #GlobalHabari: Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamefikishwa tena mahakani Kisutu na kusomewa mashataka...

READ MORE

IGP Sirro Ateua Msemaji Mpya Wa Jeshi La Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Barnabas Mwakalukwa kuwa msemaji mpya...

READ MORE

#BREAKINGNEWS: Mr Chuzi na Wasanii Wake Wakamatwa na Polisi

MKONGWE kwenye gemu la filamu Bongo, Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuz’ na wasanii wake wa Closed Chapter wamesekwa ndani kwa saa...

READ MORE

Breaking News: Donald Ngoma Asaini Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma akiweka dole gumba baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kukipiga...

READ MORE

Breaking News: Maalim Seif Aishutumu RITA Kusajili Wajumbe wa Bodi CUF

  #GlobalBreakingNews: Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif amesema haki ya Wazanzibari iliyopotea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 itapatikana...

READ MORE

Breaking News: Mtendaji wa Kijiji Auawa Kibiti, Nyumba ya Mwenyekiti Yachomwa Moto

  KIBITI: Viongozi wawili wamepigwa risasi katika Kijiji cha Mangwi kilichopo Kata ya Mchukwi wilayani Kibiti usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Breaking News: Ngoma Arejea Dar Usiku Huu Akitokea Zimbabwe

Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe anayeichezea klabu ya Yanga, Donald Ngoma usiku huu ametua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Breaking News: Shabiki Wa Yanga, Ally Yanga Afariki Dunia Ajalini

Taarifa zilizoifikia Global Publishers hivi punde zinaeleza shabiki mkubwa wa Yanga, maaruffu kwwa jina la Ally Yanga amefariki dunia. Gari...

READ MORE

Mke Mdogo wa Mzee Yusuf Azikwa Kisutu na Mamia (Pichaz + Video)

Maziko yakiendelea. Mzee Yusuf akiwa katika masikitiko makubwa. Waombolezaji mbalimbali waliofika katika mazishi hayo.   Jeneza la mwili wa marehemu...

READ MORE

Breaking News: Mzee Yusuph Amefiwa na Mke Wake Usiku Huu

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern...

READ MORE

Mamlaka ya Hali ya Hewa Yatoa Tahadhari Kesho

HALI YA HEWA: Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imetoa tahadhari ya kuwepo upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika...

READ MORE

Watatu Wafariki, 24 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Manyara

Mbulu. Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Haydom, kuelekea Mbulu Mjini,  kuingia...

READ MORE

LondonUpdates: Moto Wa Ghorofa La Grenfell Tower London Waua Watu 12 (Pichaz + Video)

WATU 12 wamethibitishwa kufa katika moto uliolitekeleza jengo la ghorofa 27 la Grenfell Tower jijini London, Uingereza, ambao ulilikumba tangu...

READ MORE

TANZIA: Mbunifu wa Nembo ya Taifa Afariki Dunia Muhimbili

Mzee Francis Maige Kanyasu almaarufu Ngosha, aliyekuwa akidai kwamba ni miongoni mwa watu waliobuni na kuchora nembo ya taifa, amefariki...

READ MORE

Video: Giza Nene Latanda Jijini Arusha Maiti za Wanafunzi Zikiwasili Hospitali

Miili ya marehemu ikishushwa kutoka kwenye ambulance Zoezi la kuteremsha miili likiendelea. Polisi wakiimarisha ulinzi nje ya Hospitali ya Mt....

READ MORE

Breaking News: Wasanii wa Bongo Muvi Waandamana Kariakoo Dar (+Video)

DAR ES SALAAM: Baadhi ya wasanii wa Filamu nchini (Bongo Movie) wamefanya maandamano katika Mtaa wa Aggrey, Kariakoo ambapo ni...

READ MORE

Mmiliki wa Jamii Forum, Mwenzake Wakana Mashtaka Yanayowakabili

    Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kampuni ya Jamii Media Limited, Maxence Melo (40), na mmoja wa wanahisa wa Mtandao...

READ MORE

Nay wa Mitego Apata Mwaliko Ikulu Kutoka Kwa Rais Magufuli

Muda mfupi baada kuachiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa kwa kosa la kutoa...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Anasa Makontena 10 ya Magari Bandarini

Rais Magufuli alivyowasili bandarini leo wakati alipofanya ziara ya kushtukiza. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John...

READ MORE

Magufuli Afuta Agizo Vyeti vya Kuzaliwa la Mwakyembe

RAIS John  Magufuli amefuta agizo la Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe, alilolitoa jana lililotaka wanandoa za kimila...

READ MORE

Rais Magufuli Apiga Simu Clouds Ampongeza Diamond

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, amepiga simu kwenye kituo cha runinga cha Clouds...

READ MORE

Vanessa Mdee Aachiwa Kwa Dhamana

Habari zilizotufikia hii punde, zinaeleza kwamba msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Bongo, mwanadada Vanessa Mdee ‘V-Money’ aliyekuwa akishikiliwa...

READ MORE

Tanzia: Sir George Kahama Afariki Dunia

Mwanasiasa, mwanaharakati na mpigania uhuru mahiri nchini Tanzania, Sir George Kahama (88), amefariki dunia leo katika Hospitali ya Taifa ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: Sophia Simba, Madabida Watimuliwa CCM, Nchimbi, Kwirasa Wapewa Onyo Kali

  DODOMA: Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Dodoma, zinaeleza kwamba mwanachama mkongwe wa CCM, Sophia Simba amevuliwa uanachama wa chama...

READ MORE

LIVE KUTOKA TEGETA: Kituo cha Mafuta Chanusurika Kuteketea kwa Moto

Kituo cha mafuta cha Petro kilichopo Tegeta Azania jijini Dar es Salaam, kimenusurika kuteketea kwa moto baada ya gari la...

READ MORE

Breaking News: Tundu Lissu Akamatwa na Polisi Mahakamani Kisutu

MBUNGE wa Singida Mashariki ambaye pia Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, amekamatwa na Jeshi la Polisi, leo Machi 6,...

READ MORE

Hatimaye Godbless Lema Aachiwa kwa Dhamana

Joseph Ngilisho, Arusha: MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imemuachia huru Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (CHADEMA) kwa...

READ MORE

Manji Kupandishwa Kizimbani Kesho

Habari zilizotufikia zinaeleza kwamba, mfanyabiashara mkubwa na mmiliki wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji anatarajiwa kupandishwa kizimbani kesho. Kwa mujibu...

READ MORE

Masogange Akamatwa na Polisi Sakata la Madawa ya Kulevya

TAARIFA zilizotufikia, zinaeleza kwamba video queen maarufu Bongo, anayefahamika kutokana na shepu yake matata, Agness Gerald almaarufu Masogange, anashikiliwa na...

READ MORE

Tundu Lissu Akamatwa na Polisi Nje ya Bunge, Dodoma

DODOMA: Jeshi la Polisi nchini, limemtia mbaroni Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu na kumsafirisha kwenda jijini Dar...

READ MORE

Mkurugenzi wa CIA Amtaka Trump Achunge Mdomo Wake

  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), John Brennan amemuonya Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump kuwa...

READ MORE

Updates: Prof . Mbarawa Aunda Tume Kuchunguza Chanzo cha Moto Uwanja wa Ndege Dar

  DAR ES SALAAM: Moto mkubwa umezuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) usiku wa leo na kusababisha...

READ MORE

Shambulio la Kigaidi Laua Wanne Jerusalem

WATU wanne  wameuawa mchana huu jijini Jerusalem, Israel,  katika shambulio la kigaidi  baada ya mtu mmoja kulielekeza lori alilokuwa analiendesha...

READ MORE

Yanga Wapigwa 4G na Azam Kombe la Mapinduzi

Kikosi cha Yanga kilichoanza jana dhidi ya Azam FC kwenye Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo kilifungwa bao...

READ MORE

Boniface Mkwasa Sio Kocha Tena wa Taifa Stars

Kocha mzawa ambae ameiongoza Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kwa muda mrefu Chalres Boniface Mkwasa, sasa hivi sio kocha tena...

READ MORE

Pichaz: Magari 4 Yagongana Mbeya, ni Basi la Abiria, Malori Mawili ya Mizigo na Pick-Up

MBEYA: Basi la abiria mali ya Kampuni ya New Force, malori mawili ya mizigo (ambapo moja ni aina ya Scania...

READ MORE

Tanzia: Spika Samwel Sitta Afariki Dunia

DAR ES SALAAM: Spika wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu, Samuel Sitta (74) amefariki dunia...

READ MORE

Matokeo ya Darasa la Saba 2016 Yatangazwa, Bofya Hapa Kuyatazama

NECTA: Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika Septemba 8 na 9, 2016...

READ MORE