×

Celebrities

SHOO YA JIDE, BASTOLA YAZUA TAHARUKI MBELE YA WAZIRI!

MWANAUME mmoja ambaye jina halikuweza kupatikana mara moja, ameibua taharuki ya aina yake baada ya kuonekana akiwa na bastola kwenye...

READ MORE

SERIKALI YAFUNGUKIA WALIOSAMBAZA VIDEO YA ULAWITI YA AMBER RUTTY

GUMZO kubwa mtaani kwa sasa ni juu ya kesi inayomkabili mwanamuziki Ruth Abubakar ‘Amber Rutty’ ambaye video yake imevuja ikimuonesha...

READ MORE

KAMA MBABAISHAJI KWANINI, UNG’ANG’ANIE PENZI LAKE

ASSALAM alaikum mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu umzima bukheri wa...

READ MORE

HIVI NDIVYO AMBER LULU ALIVYONUSURIKA AJALINI

MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Eugen ‘Amber Lulu’ ameponea chupuchupu baada ya kupata ajali ya gari na kutoka salama licha...

READ MORE

BABU TALE ATOBOA SIRI YA KUMWACHA HAWA INDIA

MENEJA wa Kundi la Wasafi Classic Baby (WCB), Hamisi Taletale ‘Babu Tale’ ameibuka na kutoboa siri ya kumuacha nchini India...

READ MORE

WEMA; KAMWE SHERIA HAISAMEHI 7 MARA SABINI

  UMEFIKA wakati Wema Sepetu achunguzwe akili kwa sababu tabia zake zinatia mashaka huenda kuna shida kichwani mwake.     Likijulikana...

READ MORE

HAMISA: DIAMOND ALINIPA GUNDU !!

MWANAMITINDO anayebamba Bongo, Hamisa Mobeto amekiri kuwa mzazi mwenzake ambaye ni mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alimpa...

READ MORE

Mashabiki Man U Wachukizwa na Mourinho Kuhusu Penalti ya Pogba

PAMOJA na kurejea katika mstari wa kujiweka sawa baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Juventus ya Italia, Manchester United ambayo...

READ MORE

BALAA! Diamond na Rayvanny Wafunga Mitaa Posta Dar

Wasanii kutokea WCB, Rayvanny na Diamond Platnumz jana Jumapili October 28, walifunga baadhi ya mitaa Posta Dar es Salaam kutokana...

READ MORE

IRENE MWAMFUPE: NITAFANYA UZINDUZI WA NGUVU

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili, Irene Mwamfupe amesema anatarajia kufanya uzinduzi mkubwa wa albamu yake inayokwenda kwa jina la Hodari.  Uzinduzi...

READ MORE

DILI ZA ZARI BAADA YA DIAMOND PLATNUMZ USIPIME

FEBRUARI 14, mwaka huu ambayo ni Sikukuu ya Wapendanao ‘Valentine’s Day’ itaendelea kuwa kumbukumbu kwa mwanamama mjasiriamali ambaye pia ni...

READ MORE

WEMA JELA MIAKA SABA, TCRA WAMKALIA KOONI

SOO lake la picha na video za ngono mtandaoni linazidi kumkalia vibaya staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu,...

READ MORE

KAJALA AKATA TAMAA YA KUZAA TENA

MASKINI! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameweka wazi kuwa kutokana na umri alionao wa miaka 36, ameshakata tamaa...

READ MORE

KISA AMBER RUTTY… AMBER LULU AKATAA JINA LAKE

UAMUZI mgumu! Msanii wa Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amelikataa jina lake la Amber baada ya kufananishwa na mwanadada...

READ MORE

MWILI WA GAMBA KUWASILI LEO USIKU; HISTORIA YA MAISHA YAKE

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa vituo mbalimbali vya redio nchini na Ujerumani, Issac Gamba, utawasili kesho (Jumatatu) jijini Dar es...

READ MORE

KOLABO 10 KALI ZA MAHABA ZA KUKUMBUKWA

MUZIKI wa Bongo Fleva, unazidi kutafuna miaka kadiri siku zinavyosonga mbele na ngoma nyingi sana zimesikika katika safari ya muziki...

READ MORE

ROMY AFICHUA KILICHOFANYA AMUOE KIJOLI

OFFI­CIAL DJ wa mwana­muziki Nasibu Abdul ‘Dia­mond Platnumz’, Romeo Jones ‘Romy’ ameanika kilichomfanya aingie kwenye maisha ya ndoa na mkewe wa...

READ MORE

YALIYOJIRI MIAKA 20 YA TWANGA

USIKU wa kuamkia leo Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ imefanya tamasha la kutimiza miaka 20 tangu ianzishwe ambapo umati...

READ MORE

BILIONEA WA FACEBOOK ATUMIA MABILIONI KUJILINDA ASIUAWE

MWAKA 2017, kampuni ya mtandao wa Facebook ilitumia Dola 7.3 (Sh. bil. 16.7) kwa ajili ya usalama wa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

EXCLUSIVE: MTOTO WA MASOGANGE AFUNGUKIA KIPAJI CHAKE/AMTAJA DIAMOND

  SANIA SHABAN mtoto wa marehemu Agnes Masogange ambaye alikuwa msanii wa muziki na mwigizaji, ameweka wazi kwamba anapenda kuimba...

READ MORE

SHISHI ATOA SIRI YA KUMGEUZA UCHEBE ‘VIDEO KING’

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ametoboa siri ya kumgeuza mumewe, Ashrafu Uchebe kama ‘Video King’ kwenye...

READ MORE

ROMY AFICHUA KILICHOFANYA AMUOE KIJOLI

OFFI­CIAL DJ wa mwana­muziki Nasibu Abdul ‘Dia­mond Platnumz’, Romeo Jones ‘Romy’ ameanika kilichomfanya aingie kwenye maisha ya ndoa na mkewe wa...

READ MORE

MR. EBBO AFURAHIA MO KUPATIKANA, AHIMIZA UZALENDO

NIPO ndotoni, nasikia DJ akichanganya nyimbo mbalimbali za Bongo Fleva huku wasanii sauti nyingine zikisikika kufuatisha mashairi hayo. Kuna wakati...

READ MORE

50 CENT ANUNUA TIKETI 200 ZA SHOO YA JA RULE KUMUUMBUA

RAPA Mmarekani, 50 Cent, anaendeleza visa vyake dhidi ya wasanii wengine kwa nia ya kuwaumbua kwamba hawana umaarufu au wamefifia...

READ MORE

WEMA ‘Ahukumiwa’ JELA Miaka 2, ‘Afukuzwe’ CCM – Video

KUFUATIA kuvuja kwa video za mahaba zinazomuonesha Muigizaji maarufu Bongo, Wema Sepetu na anayedai ni mume wake mtarajiwa Patrick maarufu...

READ MORE

MKALI WENU ACHOMOA KUFANYA KAZI NA EBITOKE

MCHEKESHAJI anayesumbua katika mitandao ya kijamii, Jackson Miraji ‘Mkali Wenu’ ambaye mwanzo alikuwa katika Kundi la Timamu amechomoa kufanya kazi...

READ MORE

MUME AMUINGIZA RIYAMA KWENYE MUZIKI !

MKALI wa Filamu za Kibongo, Riyama Ally amesema amelazimika kuingia katika gemu la muziki wa Bongo Fleva baada ya mumewe,...

READ MORE

SHOO YA JIDE MLIMANI CITY HATAREE…!!!

MWANAMUZIKI nyota wa kizazi kipya nchini, Lady Jaydee,  usiku wa kuamkia leo aliangusha bonge la shoo iliyokwenda kwa jina la...

READ MORE

Tunda anasa penzi la tajiri mtoto Arusha

BAADA ya ‘kubanjuka’ kimahaba na staa wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ kisha kuhamishia majeshi kwa mtangazaji Casto Dickson ‘Komando Kipensi’,...

READ MORE

UKARIBU NA WEMA, DIANA KIMARI ATOA YA MOYONI

BAADA ya kunangwa na mashabiki wengi kwenye mitandao ya kijamii kisa kuwa karibu na mrembo Wema Sepetu, msanii wa filamu...

READ MORE

Pretty Kind: Siwezi tena kwenda India kujiuza!

STAA wa Filamu za Kibongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amedai kuwa amejifunza na hatarajii kurudi nchini India kujiuza kwani kwa...

READ MORE

BIFU LA MAMA MONDI, ZARI SIRI YAFICHUKA!

SIRI ya bifu la mama wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’, Sanura Kassim ‘Sandra’ na ‘mkwewe’ Zarinah Hassan...

READ MORE

Video za Ngono… Huenda Amber Rutty Akafungwa Maisha Jela

KUFUATIA video zake chafu kusambaa mitandaoni akifanya mapenzi na mwanamme kinyume cha maumbile yake, video queen maarufu Bongo, Amber Rutty...

READ MORE

KIMENUKA! BASATA: Amber Rutty ni Hayawani, Wema Mnafiki

KATIBU Mtendaji Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza amefunguka juu ya matukio la kusambaa ka video ya ngono ya...

READ MORE

Breaking: Serikali Yamfungia Wema Kujishusiaha na Filamu – Video

SERIKALI kupitia Bodi ya Filamu Tanzania leo, Ijumaa, Oktoba 26, 2018 imemfungia staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na kumtaka asijihusishe...

READ MORE

YA ROMA , ULIMBOKA YAJIRUDIA KWA MO

YALIYOJIRI baada ya kutekwa, kuteswa na kureshwa uraiani kwa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ na aliyekuwa Mwenyekiti...

READ MORE

VIDEO ZA NGONO: MAKONDA AAGIZA AMBER RUTTY AJISALIMISHE POLISI HARAKA

WAKATI taharuki ikitanda na maswali magumu yakikosa majibu kuhusu nini kimewapata baadhi ya wasanii wa Bongo Movies na Bongo Fleva...

READ MORE

TIFFAH ANAVYOWAKALISHA WAZUNGU

  MTOTO wa staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifa Nasibu Abdul ‘Tiffah’ amevunja rekodi ya...

READ MORE

KANYE WEST AKUBALI KOLABO NA BEBE COOL

  BAADA ya kutumia fursa ya kujipendekeza, hatimaye ndoto za mwanamuziki nchini Uganda, Bebe Cool za kufanya kolabo la kimataifa...

READ MORE