×

Celebrities

Staa Azimia Mazishi ya Mama Yake

Muigizaji mwenye asili ya Nigeria, Nkechi Blessings amemzika mama yake mzazi Mrs Gloria Obasi Oktoba 16, 2021, huku akiwa bado...

READ MORE

Will Smith Akipukutisha Kitambi Chake

Mshindi mara 4 wa Tuzo za Grammy, Muigizaji, Rapa na Mtayarishaji wa Filamu wa nchini Marekani, Willard Carroll Smith Jr...

READ MORE

Mtindo Mpya wa Kanye Wazua Gumzo

RAPA maarufu Duniani, Kanye Omari West almaafuru ‘Ye’, amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusambaa kwa picha yake...

READ MORE

Mahakama Yaridhia Kanye West Kubadili Jina

Rapa, Mwanamitindo na Mtayarishaji wa Muziki, Kanye West sasa rasmi atatambulika duniani kote kama Ye baada ya Mahakama ya Los...

READ MORE

Ukikutwa Unauza Albamu ya Kiba Imekula Kwako

MARA baada ya kuwepo taarifa za baadhi ya watu kuuza kiharamia albam ya Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba...

READ MORE

Lulu Atema Nyongo kwa Wema

Kimeumana ile mbaya! Kwa mara ya kwanza, baada ya kusambaa kwa ubuyu kwamba ana ugomvi na staa mwenzake wa Bongo...

READ MORE

Paula Hataki Kumkosa Rayvanny

MREMBO Paula Paul almaarufu Paula Kajala; mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa au Rayvanny anaamini kwamba, riziki ni...

READ MORE

Mambo mazito albam ya King Kiba

NI dhahiri kwamba Ali Saleh Kiba au King Kiba ni mfalme wa Bonge Fleva kwani ametoa albam ya Only One...

READ MORE

Rich Mavoko, Diamond Mbona Freshi tu

RICHARD Martin Lusinga ndilo jina lake halisi lakini wengi wamezoea kumuita Rich Mavoko kutokana na kazi yake ya muziki wa...

READ MORE

Offset Amzawadia Jumba la Kifahari Cardi B

WAKATI  wewe ukipewa zawadi ya keki na maua katika mfanano wa siku yako ya kuzaliwa (Birthday), mwenzako Cardi B amezawadiwa...

READ MORE

Wasanii wa Bongo Wanaongoza kwa Followers Facebook

Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa kuna watumiaji wa mitandao ya kijamii Bilioni 4.2 duniani ambao ni zaidi ya asilimia...

READ MORE

Esma Anapiga tu Pesa

ESMA Khan almaarufu Esma Platnuzm ni dada wa supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz ambaye amefunguka namna...

READ MORE

Diamond na Harmonize Wajibizana Kwa Vitendo

Hakuna muda wa maneno mengi, bali kinachoendelea ni majibizano ya kivitendo zaidi kati ya Diamond Platnumz na Harmonize; mmoja akifanya...

READ MORE

Tyga Afunguka Tuhuma za Kumpiga Mpenzi Wake

RAPA, muimbaji na muandishi wa nyimbo za Hip Hop, Micheal Ray Stevenson maarufu kama Tyga, amevunja ukimya juu ya tuhuma...

READ MORE

Mwijaku, Juma Lokole Wavuana Nguo

Mwijaku na Juma Lokole ni watangazaji maarufu kwenye mitandao ya kijamii ambao hawaivi kwenye chungu kimoja; kila mmoja amekuwa akimvua...

READ MORE

Zuchu ‘Paka’ Kiboko ya ‘Simba’ Mondi

KUPISHA njia ni kukubali kuzidiwa kasi; lakini si kukubali kushindwa kwa sababu safari ina mengi njiani. Zuchu msanii aliyesainiwa na...

READ MORE

Kumbe Tommy na Lyyn Ilikuwa Kweli

MKALI mwingine wa Bongo Fleva anayetumikia Lebo ya Kings Music, Tommy Flavour amefunguka kuwa, kumbe penzi lake na video vixen...

READ MORE

Magari 3 ya Kifahari ya Mondi Hasara Tupu

ACHANA na saa aina ya Rolex aliyonunua wiki hii nchini Marekani yenye thamani ya shilingi milioni 69 za Kitanzania, siri...

READ MORE

Dhahabu za Isha Mashauzi Zinajenga Nyumba

MWANAMAMA mkali wa miondoko ya Taarab Bongo, Aisha Ramadhan au Isha Mashauzi anasema kuwa, vito vyake vya dhahabu alivyonavyo kwa...

READ MORE

Rayvanny Amzawadia Ndinga Mpya Director Wake

Msani Rayvanny kutoka WCB ameamua kuonyesha upendo kwa mtayarishaji wake wa video (director) Eris Mzava ama ‘China Boy’ kwa kumpa...

READ MORE

Adele Arudi kwa Kishindo na “Easy On Me” – Video

MSANII Adele Laurie Blue Adkins amerejea kwa kishindo baada ya miaka sita ya ukimya na kudondosha ngoma mpya “Easy On...

READ MORE

H-Baba Apandisha Mzuka Singeli Festi

  KUELEKEA Tamasha la Singeli Festi litakalofanyika Oktoba 31, mwaka huu, Msanii wa Bongo Fleva, Khamis Ramadhan ‘H-Baba’ ameongeza mzuka...

READ MORE

Diamond Apewa Heshima ya Maana Marekani

SUPASTAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz @diamondplatnumz amekabidhiwa jezi na timu kubwa ya Duniani ya Washington Football Team @washingtonnfl ya Amerian Football Diamond amekabidhiwa...

READ MORE

Diamond, Wema Siyo Siri Tena

WEMA MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse amemwaga ubuyu kwamba, kuna kila dalili Diamond na Wema wakawa wamerudiana kwani siyo jambo...

READ MORE

Harmonize: Nimebezwa Sana

Harmonize au Konde Boy Mjeshi amefunguka kuwa, pamoja na mafanikio aliyoyapata, lakini hawezi kusahau nyakati ngumu alizopitia ikiwemo kubezwa sana...

READ MORE

Hatimaye Paula Aanza Masomo Uturuki

Baada ya kusemwa mambo mengi juu ya safari yake ya kwenda masomoni akidaiwa kuishia Dubai, hatimaye kitendawili kimeteguliwa baada ya...

READ MORE

Diamond: Navaa Kiatu Mara Moja Natupa

Moja ya video za Diamond Platnumz zinazotrendi ni ile ambayo inamuonesha akiwa katika chumba chake cha kuhifadhia nguo na viatu...

READ MORE

Albamu ya Kiba Yazidi Kukimbiza

KILA mmoja anafahamu kuwa staa wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya Kings Music Alikiba aliachia album yake tarehe...

READ MORE

Staa wa Muziki Ajitoa Kuwania Tuzo

MWANAMUZIKI maarufu wa Zambia, Slapdee amejiondoa kuwania tuzo baada ya mashabiki kumkosoa kwa kufanya maonesho ya muziki kwa chama kilichokuwa...

READ MORE

Nandy Aonyesha Pete ya Uchumba

Malkia wa muziki wa Bongo Fleva kwa sasa Afrika Mashariki na Kati, Nandy ameamua kwenda kula bata  la hatari huko...

READ MORE

Zuchu Afunguka Kutapeliwa

Mwanadada wa moto kunako Bongo Fleva, Zuchu kutoka Lebo ya Wasafi amefanya bidii kuwa kiasi cha kampuni kibao kumuona na...

READ MORE

Kuna Makabila Hayafai Kuoa, Kuolewa?

IPO kasumba ambayo inawatafuna watu wengi. Kwamba kabila fulani ni zuri, linafaa kuoa au kuolewa, lakini kabila fulani si zuri...

READ MORE

Uzee Wamnyemelea Wema

  MWILI wa Wema Sepetu au Madam Sepenga umepita kwenye mabadiliko tofauti tangu alipotwaa Taji la Miss Tanzania 2006 na...

READ MORE

Yafahamu Makabila 10 Maarufu Zaidi Barani Afrika

  WATU wa nje ya Afrika hufikiri watu wa bara hili ni mkusanyiko wa jamii moja inayoelewana kwa lugha na...

READ MORE

Harmonize Atinga Studio ya Mpenzi wa Rihanna

MSANII wa muziki wa Tanzania, Harmonize au Konde Boy Mjeshi anaendelea kutisha na kuthibitisha msemo wake wa Konde Boy for...

READ MORE

Fahyma Matashtiti Kama Yote

BAADA ya kupita kwenye kipindi kigumu cha kuachwa na Rayvanny ambaye sasa anaminya kimapenzi na Paula Kajala, mwanamama Fahyma amejifuta...

READ MORE

Tanasha Mikononi mwa King Kiba

BAADA ya pati ya kusikiliza Albam ya Only One King ya King Kiba kufanyika jijini Dar, wikiendi iliyopita ilikuwa ni...

READ MORE

Grammy Watambua Mchango wa Sauti Sol

Kupitia ukurasa wao wa Instagram, kundi maarufu la muziki nchini Kenya, @sautisol 🇰🇪 wamethibitisha kupokea Cheti cha Utambuzi (Certificate of Recognition) kutoka...

READ MORE

Mobeto Awazima Wema, Uwoya

MWANAMITINDO grade one Bongo, Hamisa Mobeto anazidi kuwa wa moto balaa na kuendelea kuacha maswali kama yote juu ya; nini...

READ MORE

Mimi Mars atoa ya moyoni

MSANII wa kike kunako Bongo Flevani, Mimi Mars ameyatoa yake ya moyoni kwa wadau wa muziki nchini Tanzania ambao kwa...

READ MORE