×

Championi

Dida Ajiweka Sokoni

  KIPA wa zamani wa Simba, Deogratius Munishi ‘Dida’ amejiweka sokoni katika usajili wa dirisha dogo kwa kuzikaribisha timu ambazo...

READ MORE

Balinya: Naondoka Ila Nitarudi Tanzania

  ALIYEKUWA straika wa Yanga, Mganda Juma Balinya ambaye amevunjiwa mkataba na klabu hiyo, ameweka wazi kwamba amekubali kuondoka ndani...

READ MORE

Simba Baba Lao! Yazifunika TP Mazembe, Esperance

  KLABU ya Simba imeweka rekodi ya kuwa miongoni mwa klabu za Afrika ambazo zinaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi...

READ MORE

Mkwasa Awapa Masharti Mazito Nyota Wapya Yanga

  KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa, amewapa masharti mazito nyota wapya wa Yanga waliotua kufanya majaribio kikosini hapo...

READ MORE

Yanga Yatua kwa Straika Mganda

  UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetuma kikosi kazi nchini Uganda kumfuatilia straika wa timu ya taifa ya Uganda ‘The...

READ MORE

Mzambia: Nakuja Simba, Niachieni Yanga

KOCHA mtarajiwa wa Simba, Mzambia Beston Chambeshi ameliambia Spoti Xtra kwamba ndani ya siku mbili zijazo atakuwa Dar es Salaam...

READ MORE

Yanga Yapukutisha Mastaa Kibao

YANGA imefanya maamuzi magumu kwa kuwapukutisha mastaa watano wa kigeni akiwemo Sadney Urikhob ambae amewawahi kwa kuandika barua ya kuvunja...

READ MORE

Kocha mpya Simba Apewa Mamilioni ya Usajili

MAMBO ni moto Simba, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kutenga mamilioni ya usajili ambayo atakabidhiwa kocha...

READ MORE

Chambeshi Rasmi Simba, Avunja Mkataba Nkana, Kutua Dar leo

  KOCHA mpya wa Simba, Mzambia, Beston Chambeshi ‘Quick Silver’, anatarajia kuingia kati ya leo Jumatatu au kesho Jumanne kwa...

READ MORE

Mo Dewji kiboko, amwaga tena mil 500 Simba SC

BILIONEA na mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameweka hadharani kwamba wanamshusha kocha matata zaidi katika klabu hiyo ambaye ataziba...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Afunguka, Atua Dar

  BAADA ya aliyekuwa kocha wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems kubeba mabegi yake na kusepa kwao, uongozi wa timu hiyo...

READ MORE

Rashford Amfanya Kitu Mbaya Mourinho Old Trafford

BAADA ya kukaa Manchester United kwa takribani miaka miwili, hatimaye jana Jumatano, Jose Mourinho alirejea klabuni hapo.   Mourinho alirejea...

READ MORE

Aussems Ampa Majukumu Matatu Kocha Simba

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, ametamka kuwa kocha ajaye ndani ya kikosi hicho, anatakiwa anatakiwa akifanyie mambo...

READ MORE

Ayoub Semtawa… Dakta ri anayeki piga Coastal Union

MOJA ya kasoro kubwa za wanasoka wengi hapa nchini na duniani kote ni elimu. Wanasoka wengi wamekuwa na elimu za...

READ MORE

Mrithi wa Aussems Simba ni Huyu

WAKATI Kocha Msaidizi akiwa Selemani Matola, jina la Kocha Mkuu wa AS Vita ya DR Congo, Jean-Florent Ikwange Ibengé limetajwa...

READ MORE

Tshishimbi, Yondani Wafanya Kikao Kizito Yanga

NAHODHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, amepanga kukutana na mabeki wa timu hiyo kwa ajili ya kufanyia kazi changamoto...

READ MORE

Mzunguko wa Kwanza Wala Vichwa vya Makocha 9 Bongo

LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa inazidi kuchanja mbuga ikiwa ipo kwenye mzunguko wa kwanza, ushindani umekuwa mkubwa kwa timu...

READ MORE

Azam Chupuchupu Kuchezea Kichapo

KLABU ya Azam jana iliponea chupuchupu kupokea kichapo mbele ya JKT Tanzania na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 katika mchezo...

READ MORE

Okwi Afungua Akaunti Ya Mabao Misri

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba hivi sasa anayekipiga Al Ittihad Alexandria ya Misri, Mganda Emmanuel Okwi, amefungua akaunti ya...

READ MORE

Mourinho: Carrick Ameniita Man United

Mourinho: K OCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho amesema kuwa mtu pekee aliyemwalika kwenye Dimba la Old Trafford ni Michael...

READ MORE

Yanga Mkubali Dante Awe ‘Mbuzi’

HADITHI ya beki wa kati wa Yanga , Vicent Andrew maarufu kama Dante imechukua sura mpya baada ya mashitaka kufika...

READ MORE

Caf Yampaisha Kagere Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika

ZIKIWA zimepita siku chache tangu Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kumtangaza mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere kuwa miongoni mwa wachezaji...

READ MORE

Kocha Mzawa Akabidhiwa Simba Dar

UONGOZI wa Simba chini ya mtendaji mkuu, Senzo Mazingisa raia wa Afrika Kusini umemkazia kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji,...

READ MORE

Zahera arejea tena Bongo, Simba Yatajwa

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, alfajiri ya leo Jumatano, ametua Bongo huku akihusishwa kutakiwa kujiunga na Simba.  ...

READ MORE

Safu Mpya Yanga Balaa!

KAMATI ya Utendaji ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Dk. Mshindo Msolla imeunda kamati mpya ya Mashindano yenye wajumbe 13...

READ MORE

Sheva Abadili Muonekano Simba

UKIMUONA mshambuliaji wa Simba Miraji Athuman ‘Sheva’ kwa sasa unaweza usimfahamu kirahisi kutokana na kubadilisha muonekano wa kichwa chake.  ...

READ MORE

Sheva: Nitakuwa Mfungaji Bora

Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Miraji Athuman ‘Sheva’, ameingia kwenye vita ya kuwania kiatu cha ufungaji bora kwa kutamka...

READ MORE

Rasi Mnigeria Kiboko ya Simba Mambo Safi Yanga

YANGA inasaka wachezaji kwa ajili ya kuboresha safu yao ya ushambuliaji na sasa mpango wa kumnasa straika wa Biashara United,...

READ MORE

Masau Bwire akataa simu ya Haji Manara

OFISA Habari wa Klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire, amesema kuwa hawezi kuchukua simu aliyopewa na msemaji wa Simba, Haji...

READ MORE

Chama Akalia Kuti Kavu Simba

TAA nyekundu imemuwakia kiungo mchezeshaji wa Simba, Clatous Chama, raia wa Zambia ambapo anaweza kuwa mmoja ya wachezaji ambao watapigwa...

READ MORE

Mashabiki Wamzomea Bale Nje Mpaka Ndani ya Uwanja

MASHABIKI wa Klabu ya Real Madrid juzi walimzomea mshambuliaji wao Gareth Bale, kuanzia akiwa kwenye benchi kwenye mchezo wa Ligi...

READ MORE

Mwakinyo, Tinampay kupasuana bure

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo jana ametangaza wazi kuwa ameamua kufanya bure pambano lake la kimataifa dhidi...

READ MORE

Mkude Amponza Aussems Simba

PICHA la kuondoka kwa kocha wa Simba, Patrick Aussems ndani ya klabu hiyo muda wowote ule linaweza kuisha lakini inatajwa...

READ MORE

Kisa Okwi, Kagere, Simba yatikisa Afrika

KAULI ya bilionea wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ ya kuifanya klabu hiyo kuwa miongoni mwa klabu kubwa Afrika, imeanza kutimia...

READ MORE

Samatta Awafuata Salah, Mane, Sasa Kuchuana Nao Uso kwa Uso

STRAIKA namba moja kwa Tanzania na supastaa wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mtanzania Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji...

READ MORE

NEYMAR AMTIBUA KOCHA PSG

KOCHA wa Paris Saint- Germain, Thomas Tuchel hakuwa tayari kung’ata maneno kuhusu kitendo cha nyota wa timu yake, Neymar kusafiri...

READ MORE

Maradona ajiuzulu ukocha, kesho yake arejea kazini

NGULI wa soka wa Argentina, Diego Maradona ameendelea sinema zake kwenye mchezo wa soka baada ya kujiuzulu kisha saa 48...

READ MORE

Hazard: Benzema Ndiye Mshambuliaji Bora kwa Sasa

STAA wa Real Madrid, Eden Hazard, amemsifia mshambuliaji wa timu hiyo, Karim Benzema kwa kusema hivi sasa ndiye mshambuliaji bora...

READ MORE

Bocco Arejea Kibabe Simba

BAADA ya kutoweka kwa siku mbili Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems alirejea nchini na kuwataka wachezaji wake kufunga...

READ MORE

Cavani bado ana uwezo mkubwa tu

BAADA ya straika wa Paris Saint Germain, Edinson Cavani kuhusishwa kutua La Galaxy ya Ligi Kuu Marekani, wakala wa mchezaji...

READ MORE