×

Championi

Yanga Hii Inahitaji Huruma Maalum, Vinginevyo Aibu

UNAWEZA kudhani kama ni mchezo wa kui­giza kuona klabu kubwa inaingia kwenye mapito magumu ya kiuchumi, Kiutawala na kiuchezaji na...

READ MORE

Kibali Chamchelewesha Chilunda Hispania

SAFARI ya kinda wa Azam FC, Shaban Chilunda bado haijakamilika kutokana na viongozi wa Klabu ya CD Tenerife ya Hispania...

READ MORE

Ngoma Bado Sana Azam

DONALD Ngoma hatokuwepo kwenye kikosi cha Azam ambacho leo Jumamosi kinakwenda nchini Uganda kuweka kambi ya wiki mbili kwa ajili...

READ MORE

Yondani Apewa Mamilioni, Kessy Ataka Gari

ASILIMIA 95 beki mkongwe wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani anabaki Jangwani, hiyo ni baada ya kufikia muafaka mzuri na...

READ MORE

Mourinho Amkatia Tamaa Sanchez

KOCHA Jose Mour­inho amekiri kuwa kumkosa msham­buliaji wake, Alexis Sanchez kwa siku 20 ni pigo kubwa katika kikosi chake wakati...

READ MORE

Yondani Anastahili Heshima Badala Ya Kejeli Mnazompa!

  NIMESIKIA beki wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani amekuwa katika mazungumzo na klabu yake tayari kwa ajili kuongeza mkataba...

READ MORE

Yanga Imekufa, Ina Siku Saba Kufufuka

  MASHABIKI wengi wa soka waliitazama Yanga ilipokuwa ikivaana na Gor Mahia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika juzi....

READ MORE

Wajelajela Kwenda Kujichimbia Zanzibar

BAADA ya kumaliza zoezi la majaribio kwa wachezaji watakaoitumikia timu hiyo kwenye ligi kuu msimu ujao,kikosi cha Tanzania Prisons, kinakwenda...

READ MORE

Ronaldo: Nataka Ballon d’Or Hapa Juventus

MCHEZAJI bora wa dunia Cristiano Ronaldo, amesema ni jambo zuri yeye kusaini kuichezea Juventus badala ya kwenda China au Qatar....

READ MORE

Fei Toto, azuia usajili wa Kihimbwa Yanga SC

KUTUA kwa viungo wapya wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Mohamed Issa ‘Banka’ kumemzuia kiungo wa Mtibwa Sugar, Salum...

READ MORE

TFF: Mtibwa Leteni Ushahidi

SHRIKISHO la Soka la Tanzania (TFF), limeibana klabu ya Mtibwa Sugar juu ya malipo ya deni lao la faini katika...

READ MORE

Wawa Awashangaa Wanaobeza Kiwango Chake

BEKI wa kati wa Simba, Pascal Wawa amewashangaa wanaodai uwezo wake umefikia mwisho na wala hana hofu kama Simba itaamua...

READ MORE

Filamu Ya Usajili Wa Fei Toto Ulivyokuwa Yanga, Singida

YANGA, jana iliwatambulisha nyota wawili wapya, Feisal Salum Ab­dallah ‘Fei Toto’ kutoka JKU ya Zanzibar iliyo­mpa mkataba wa miaka mitatu...

READ MORE

Yanga Kuifuata Gor Mahia Jumatatu

KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini Julai 16 Jumatatu kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya mchezo wa hatua ya...

READ MORE

‘Kwa Mziki Huu: Simba Ubingwa Mapemaa!’

STRAIKA wa timu ya Simba, Marcel Kaheza ambaye amesajiliwa akitokea timu ya Majimaji kwa thamani ya shilingi milioni 30, amesema...

READ MORE

Yanga Yabaki Na Wanigeria Wawili

BENCHI la ufundi la Yanga limebakiza wachezaji watatu wa kimataifa na kama mambo yataenda poa watapewa mkataba na timu hiyo....

READ MORE

Dakika 120 Za Mcongo Simba Acha Kabisa

KWA mara ya kwanza baada ya kutua nchini na kujiunga na kikosi cha Simba, kiungo mpya wa timu hiyo, Kakule...

READ MORE

TFF Yaiongezea Yanga Watatu Wa Kimataifa

SHIRIKISHO la Soka Tan­zania (TFF), limepanga kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa kwa klabu za Ligi Kuu Bara kutoka saba...

READ MORE

Kocha Simba Ataka Wachezaji 27 Tu

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Mrundi, Masoud Djuma, amesema kuwa kikosi chake kinahitaji kuwa na wachezaji 27 pekee huku akiahidi...

READ MORE

Beki Mrundi Aomba Mkataba Yanga

BEKI wa kulia wa Gor Mahia ya Kenya, Mrundi, Karim NIzigiyimana, amefunguka kuwa yupo tayari kujiunga na Yanga kwa ajili...

READ MORE

KIUNGO MCONGO ATUA SIMBA USIKU MNENE

SIMBA chini ya mwekezaji wake, Mohammed Dewji ‘Mo’, imedhamiria kuwakomesha wapinzani wake. Hii ni baada ya juzi usiku kushusha kiungo...

READ MORE

Kagere: Ninaanza na Rekodi Hii Simba

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Meddie Kagere, raia wa Rwanda, ameweka bayana kuwa malengo yake ya kwanza ndani ya timu hiyo...

READ MORE

Beki Singida United Atibua Usajili Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa DR Congo, Mwinyi Zahera, ametamka kuwa beki wa pembeni wa Singida United, Michel Rusheshangoga,...

READ MORE

Gor Mahia Yamchelewesha Kahata Simba SC

UONGOZI wa timu ya soka ya Gor Mahia ya Kenya, umeitaka Simba kutuliza mzuka katika harakati zake za kumwania kiungo...

READ MORE

MO Achelewesha Mkataba Wa Kocha Mpya Simba

BILIONEA wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amedaiwa kuchelewesha mkataba wa kocha anayetajwa kuanza kuinoa timu hiyo kwa kuchukua mikoba ya...

READ MORE

Simba Yashtuka, Yasaka Mbadala Wa Wawa

  SIMBA ni kama imeshtukia vile ni baada ya benchi la ufundi la timu hiyo kuuomba uongozi umsajili beki mwingine...

READ MORE

Kiungo Aitabiria Simba Ubingwa Wa Kagame

KIUNGO mshambuliaji chipukizi wa Simba, Rashid Juma, amesema kuwa upana wa kikosi chao unawapa nafasi kubwa ya kutwaa Kombe la...

READ MORE

Kagere Afungukia Mabao Yake

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Meddie Kagere, amefungukia mabao yake mawili ambayo ameyafunga kwenye michuano ya Kagame inayoendelea jijini Dar es...

READ MORE

Yanga: Simba Wamepatia Mmoja Tu!

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka umafia waliofanyiwa na watani zao Simba, juu ya aliyekuwa mchezaji wa Lipuli FC ya...

READ MORE

‘First Eleven’ Simba Yakunja Milioni 500

KIKOSI cha Simba kikiwa bado kwenye mchakato wa kuimarishwa, imeelezwa kuwa, mpaka sasa wachezaji 11 ambao sawa na idadi ya...

READ MORE

Straika wa Motema Pembe, Ngassa Mambo Safi Yanga

    KOCHA Mkongomani, Mwinyi Zahera amejiridhisha kwamba straika Heritier Makambo na Mrisho Ngassa wana uwezo wa kucheza Yanga msimu...

READ MORE

Mchumba Azuia Mkataba wa Kaseke Yanga

  IMEFAHAMIKA kuwa sherehe ya kumvalisha pete mchumba wake ndiyo imemzuia kiungo mshambuliaji wa Singida United, Deus Kaseke kusaini mkataba...

READ MORE

Singano Aitaka Jezi ya Chirwa Yanga

WINGA wa Azam FC ambaye kwa mujibu wa mashabiki alipotea kwenye ramani baada ya kutoka Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’ amesema...

READ MORE

Simba Yafuata Kiungo Colombia na Uruguay

UONGOZI wa Klabu ya Simba, chini ya Kaimu Rais, Salim Abdallah ‘Try Again’, unaendelea na mchakato wa kuimarisha kikosi chao...

READ MORE

Kagame Kuanza Leo, Waamuzi 18 Kuchezesha

  BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) limetangaza kuwa, katika michuano ya Kagame inayotarajiwa kuanza leo...

READ MORE

Simba Msimu Ujao Itakuwa Hatari

HATIMAYE Simba ya msimu ujao itakuwa hatari, hiyo ni baada ya kuonekana kuwa imekamilika kila sehemu na uhakika ni kwamba...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO ALHAMISI, JUNI 28, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Juni 28, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Usajili Uwe Mikononi Mwa Makocha, Viongozi Kaeni Mbali

MTIBWA Sugar mnasta­hili pongezi kwa kuwa mmepam­bana mwanzo mwisho na ha­timaye kuweza kubeba taji la ushindi katika mashindano ya kombe...

READ MORE

Yanga SC Yang’oa Staa Tegemeo Azam FC

CHAMPIONI Jumatano lime­jiridhisha kwamba Yanga iko kwenye nafasi nzuri ya kumsaini­sha kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Paul Peter.   Habari...

READ MORE

Kagere Asaini Simba, Achota Milioni 113

SIMBA wameende­lea kufanya kufuru nyingine ya fedha kwa kumsaini mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Meddie Kagere raia wa Rwanda...

READ MORE