×

Dar Live

Mashabiki Wataka Kulamba Sukari ya Zuchu – Video

MWANADADA anayekimbiza kwenye tasnia ya Bongo Fleva, Zuchu ameandika historia mpya baada ya kupiga bonge la shoo katika Uwanja wa...

READ MORE

Ohooo! Pisi Kali za Mbagala Zashambulia Jukwaa la Zuchu – Video

FIRST Lady wa Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz, Zuchu ameandika historia mpya baada ya kupiga bonge la shoo...

READ MORE

Zuchu Aandika Historia Dar Live, Shoo Yake ya Kibabe – Video

MSANII mwanadada anayekimbiza bongo kwa sasa kutoka Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz, Zuchu ameandika historia mpya baada ya...

READ MORE

Juma Nature Afanya Balaa Dar Live – Video

MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Nature amefanya maajabu katika Jukwaa la Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live...

READ MORE

Shangwe la Zuchu: Khadija Kopa Afanya Maajabu Dar Live – Video

Malkia wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Omary Kopa na kundi lake la Ogopa Kopa amefanya Bonge la Shoo katika Jukwaa...

READ MORE

Usiku wa Krismasi, Bongo Fleva vs Singeli Wafanya Balaa Dar Live – Video

BALAA la aina yake limefayika usiku wa kuamkia leo pale Uwanja wa Taifa wa Burudani (DAR LIVE) uliopo Mbagala Zakhem...

READ MORE

 Mzee Yusuf Ana Jambo Lake Dar Live

MWENYE Taarab yake Bongo; Mzee Yusuf, anatarajia kufanya bonge moja la shoo kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar...

READ MORE

Video: Man Fongo, Msaga Sumu, Mzee wa Bwax Uso kwa Uso Dar Live

WANAMUZIKI wa singeli, Man Fongo, Mzee wa Bwax, Msaga Sumu na Malkia Mimah wanatarajiwa kufanya bonge la shoo katika tamasha...

READ MORE

Jiji Concert Kutikisa Dar Live

UNAAMBIWA historia itaandikwa na jiji litasimama kwa saa 24, pale ambapo jukwa la kimataifa la kupanda na kushuka lilipo Kiwanja...

READ MORE

Mahaba ya Mzee Yusuf na Mkewe Wakipafomu Dar Live – Video

IKIWA ni miaka kadhaa imepita akiwa nje ya sanaa ya muziki, hatimaye mfalme wa Taarab, Mzee Yusuf na kundi lake...

READ MORE

Mzee Yusuf: Njooni Dar Live Muone Mambo!

MFALME wa Muziki wa Taarab, Mzee Yusuf anatarajia kuunguruma Agosti 7, mwaka huu pale kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala...

READ MORE

Yusuf Mzee Kumwaga Kila Kitu Dar Live

NI miezi kadhaa imepita tangu atangaze kurejea mjini, Mzee Yusuf ambaye pia awali alikuwa Mkurugenzi wa Jahazi Modern Taarab, hatimaye...

READ MORE

Balaa la Mbosso Christmas Kutikisa Dar Live

  MSANII wa Bongo Fleva, kutoka Label ya WCB Wasafi, Mbwana Yusuph Kilungi  maarufu kama Mbosso Khan amefunguka kufanya maajabu...

READ MORE

Mboso: Krismasi Hii Dar Live Patakuwa Hapatoshi

MKALI anayekimbiza kunako Bongo Flevani akitokea Usafini, Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso Khan’, ameapa kufanya balaa siku Krismasi Desemba 25, ndani...

READ MORE

Mbosso: Krismasi Hii Dar Live Hapatoshi!

MKALI anayekimbiza kwenye Bongo Fleva akitokea Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso Khan’, amefungukia shoo yake...

READ MORE

Wanaoiua Singeli Ndiyo wa Kuiokoa

ZAIDI ya miaka miwili iliyopita, hali ya muziki wa Singeli ilikuwa njema sana kuliko ilivyo leo hapa nchini. Ni katika...

READ MORE

Bongo Fleva, Singeli Kutikisa Leo Dar Live

HATIMAYE! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa Muziki wa Bongo Fleva na Singeli, lile tamasha la Bonsi...

READ MORE

Rayvanny, Juma Nature, Mzee wa Bwax, Young Killer Kukinukisha Dar Live

MAMBO ni mengi lakini muda nao ni mchache! Listi inazidi kumwagika kuelekea Vanny Day ndani ya Idd Pili katika Uwanja...

READ MORE

Rayvanny kuimba nyimbo 25 Dar Live

ALICHOPANGA kufanya Rayvanny siku ya Idd Pili pale Dar Live kitalisimamisha jiji, kwa sababu atapiga nyimbo zake 25 bila kupumzika....

READ MORE

Aslay, Kopa kukinukisha Pasaka hii Dar Live

KAMA bado ulikuwa ukijiuliza sikukuu hii ya Pasaka uende kiwanja gani basi jibu simpo sana! Mkali wa Ngoma ya Nibebe,...

READ MORE

ASLAY KUSHUKA DAR LIVE PASAKA HII

MKALI wa Bongo Fleva aliyewahi kuunda Yamoto Band, Aslay Isihaka anatarajiwa kushuka Sikukuu ya Pasaka ndani ya Uwanja wa Taifa...

READ MORE

ROSTAM WAFUNGA MWAKA KIBABE DAR LIVE ( PICHA + VIDEO)

WAKALI wawili wasioshikika kwenye Muziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki pamoja na Stamina wanaounda Kundi la Rostam pamoja na...

READ MORE

USIKU WA MWAMBAO DAR LIVE, HIVI NDIVYO KILIVYONUKISHWA!

  USIKU wa kuamkia leo wapenzi wa burudani waliofurika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko...

READ MORE

Shoo ya ‘Piga Nikupige’ Dar Live Yaacha Gumzo – Video

USIKU wa mpambano wa bendi tatu za taarabu na wasanii wa singeli uliokwenda kwa jina la Piga Nikupige uliofanyika jana...

READ MORE

USIKU WA PIGA NIKUPIGE… BENDI 3 JUKWAA MOJA IDD HII DAR LIVE

KAMA ulikuwa ukijiuliza ni kiwanja gani utaenda kuburudika katika sikukuu hii ya Idd Mosi (Agosti 22, mwaka huu) jibu lake...

READ MORE

Dar Live Kuja na Usiku wa Piga Pikupige Idd Mosi

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Idd Mosi (Agosti 22, mwaka huu), Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini...

READ MORE

ZaiiD… WOWOWO Yatikisa Dar Live – Video

Msanii wa Bongo Fleva, ZaiiD ambaye alitambulika kutokana na nyimbo yake iliyoitoa ya WOWOWO usiku wa kuamkia leo amepiga Bonge...

READ MORE

Shoo ya Bure! R.O.M.A, Nature, Man Fongo Kuharibu Jukwaa Dar Live

Global Publishers kupitia shindano la #TusuaMaishaNaGlobal imekuandalia Bonge la Shoo pale Dar Live Mbagala Zakhiem, ni kwa ajili ya kukushukuru...

READ MORE

GLOBAL KUJA NA TAMASHA KUBWA LA SHUKRANI

KAMPUNI ya Global Publishers; wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa, Championi na Spoti Xtra, inatarajia kuwakonga...

READ MORE

Harmonize Amwaga Machozi Dar Live Kisa Diamond – Video

STAA wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB, Harmonize ‘Konde Boy’ amejikuta akimwaga machozi mbele ya jukwaa la Dar Live,...

READ MORE

Maajabu ya Huddah Kwenye Shoo ya Harmonize Dar Live- Video

MASTAA 12 akiwemo Ben Pol, Nyandu Toz, Dulla Makabila, Rommy Jones, Huddah Monroe ‘The Boss Chick ‘ Chin Bees pamoja...

READ MORE

SHOO YA QUENN DARLEEN USIPIME USIKU WA KUSI (PICHAZ +VIDEO)

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri akiwa chini ya Lebo ya ‘WCB’, ‘Queen Darleen’ amefanya shoo ya aina yake katika Usiku wa Kusi...

READ MORE

YOUNG KILLER, YOUNG D KIMENUKA DAR LIVE – (VIDEO + PICHAZ)

‘MADOGO’ wakali wa Bongo Fleva, Young Killer na Yaoung D, wamekinukisha vilivyo usiku wa kuamkia leo baada ya kila mmoja...

READ MORE

MAN FONGO, MSAGA SUMU WATIFUANA DAR LIVE – PICHAZ

WAKALI wa Muziki wa Singeli Bongo, Man Fongo na Msaga Sumu usiku wa kuamkia leo wametifuana kwa kila mmoja wao...

READ MORE

KUSINIGHT: MASTAA 12 KUMSINDIKIZA HARMONIZE IDD DAR LIVE LEO

MASTAA 12 akiwemo Ben Pol, Nyandu Toz, Dulla Makabila, Rommy Jones, Huddah ‘The Boss Chick’ Chin Bees pamoja na Queen...

READ MORE

Nenda Dar Live Ushuhudie Kombe la Dunia 2018

WAPENZI wa soka hapa nchini, watapata nafasi ya kushuhudia ‘live’ michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini Urusi kupitia luninga...

READ MORE

Asahd: Mwaka Mmoja Anaogelea Umaarufu!

USIKU wa Juni 23, 2016, akiwa ndani ya Studio za Televisheni ya Marekani ya ABC katika Kipindi cha Jimmy Kimmel...

READ MORE

Mastaa wa Kike Wafungukia Mastaa wa Kiume Kuoa Nje!

DAR ES SALAAM: Kufuatia upepo wa mastaa wa kiume Bongo, kuwa na uhusiano na hata kuoa warembo kutoka nje ya...

READ MORE

MWISHO WA UBISHI… MAN FONGO ALIVYOKINUKISHA DAR LIVE

WAPENZI wa burudani usiku wa kuamkia leo walipata uhondo wa aina yake ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa...

READ MORE

MWISHO WA UBISHI… SHOLO MWAMBA AANDIKA HISITORIA

MKALI wa Muziki wa Singeli Bongo, Sholo Mwamba usiku wa kuamkia leo ameandika historia ya aina baada ya kupiga bonge...

READ MORE