×

Entertainment

Daimond Amshikia Panga Manaiki

  Na WAANDISHI WETU| RISASI JUMAMOSI| HABARI DAR ES SALAAM: Ilitokea lakini haikuandikwa! Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’...

READ MORE

‘Zigo’ Lampagawisha Bob Junior Kinoma!

Stori: Na Andrew Carlos | IJUMAA | ShowBiz Ama kweli kuna watu wamejaaliwa! Msanii wa muziki Bongo, Bob Junior hivi...

READ MORE

Husna: Niacheni Nile Makombo Yangu Mwenyewe!

Stori: Imelda Mtema | RISASI JUMAMOSI | Dar es Salaam MREMBO aliyewahi kunyakuwa Taji la  Miss Kinondoni 2011, Husna Maulid...

READ MORE

Mo Music Kwenye Ujasiriamali

STORI: GABRIEL NG’OSHA | RISASI | MIKITO NUSUNUSU MSANII wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ ambaye alitamba na Wimbo...

READ MORE

Masele Chapombe Azawadiwa Mtaa

Masele na Mkewe. STORI: GABRIEL NG’OSHA | RISASI | MIKITO NUSUNUSU WAKAZI wa Goba jijini Dar, wamemzawadia  Mchekeshaji, Cypriane Masele...

READ MORE

Usifanye Biashara Ili Mradi, Lenga Kifanikisha

UNAPOAMUA kuingia katika biashara ni lazima uwe na malengo ya kibiashara na si kuianzisha na kuiendesha ilimradi. Aidha, unatakiwa ujipime...

READ MORE

Tabia Hizi 10 za Wanawake Ndani ya Nyumba Hazifai

Katika kuangalia tabia za wanawake, nakuja na orodha ya wanawake ambao kama mwanamume unafaa kuwa chonjo nao kwani watayafanya maisha...

READ MORE

Hawa Ndiyo Vijana 5 Wanaotikisa kwa Mkwanja Duniani

Bado kuna watu hawaamini kama mtu anaweza kuwa bilionea akiwa na miaka midogo. Wanachokiamini ni kwamba ili uwe bilionea, ni...

READ MORE

Mlifeli mipango 2016? fanyeni haya 2017!

JUMAMOSI ya kwanza ndani ya mwaka 2017. Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuvuka 2016 na kufika salama 2017. Tumuombe baraka zake...

READ MORE

Njia za uzazi wa mpango

Ili watoto wakue vizuri baada ya kuzaliwa, ni lazima wapate mahitaji muhimu na ya lazima, ikiwemo kunyonyeshwa maziwa ya mama...

READ MORE

Iweje elimu, pesa zako viwe sababu ya kuwadharau wenzako?

Kipindi cha nyuma niliwahi kuzungumzia baadhi ya tabia  ambazo naamini kila binadamu anazo ila jinsi zinavyotumika ndivyo zinavyoweza kuleta madhara...

READ MORE

Namna Bora ya Wapendanao Kusherehekea Sikukuu

WENGI bado wana dhana kwamba sikukuu ni kusherehekea kwa kunywa, kula. Wapo ambao bado wanaamini sikukuu huwa haikamiliki bila kupiga...

READ MORE

Aina za Madawa ya Kulevya na Athari Zake kwa Mtumiaji

Tatizo la madawa ya kulevya limetokea kuwa janga kubwa duniani kote, watu wengi wameathirika na janga hili. jinsia zote wanaume,...

READ MORE

Shoga:Usisahau choroko nazo mboga

KILA inapofika siku ya leo Jumanne nikiwa mzima wa afya huwa namshukuru Mungu, natumai na wewe hufanya hivyo. Wiki iliyopita...

READ MORE

Acha kulia! Kufilisika na kukwama siyo mwisho wa maisha!

Leo nimeamua kuzungumza na wale ambao kwa namna moja au nyingine wamejikuta wakianguka na kupoteza kila kitu ambacho waliwahi kujikusanyia....

READ MORE

Sayansi Yasema Binadamu Hafi, Hubadilika!-2

ILIPOISHI WIKI ILIYOPITA: Baadaye, mtoto huyu aliondoka na wazazi wake wa sasa huku akiacha maswali yasiyo na majibu. Baadaye wazazi...

READ MORE

Kwani kuna gharama gani mke akimtii mumewe?

AMANI ya Bwana iwe nanyi watu wa Mungu. Jumamosi nyingine tunakutana katika kilinge chetu, kupeana elimu katika masuala mbalimbali ya...

READ MORE

Kumuombea mwenzako mabaya kuna faida gani?

Neno wivu katika kamusi ya Kiswahili sanifu ya Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo kikuu cha Dar-es-Salaam limetafsiriwa kuwa...

READ MORE

Sayansi Yasema: Binadamu hafi, hubadilika!

MWandishi wetu, Amani KWA zaidi ya miongo miwili sasa (miaka 10), wanasayansi wamekuwa wakijitahidi kutafuta jibu la swali la, je!...

READ MORE

Kwa nini ukubali kukatishwa tamaa na waliojikatia tamaa?

Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea kupambana kuhakikisha maisha yako yanakuwa mazuri....

READ MORE

Penzini, kazini, nyumbani, kila kona stress, duh!

MPENZI msomaji karibu tena kwenye Jamvi la XXLove. Ni Jumatatu nyingine tena tumepewa kwa kudra za Mwenyezi Mungu kwa ajili...

READ MORE

Usaliti ni mgumu kufutika akilini, bora usisaliti kabisa!

Kwa tuliokuwa pamoja wiki iliyopita, tulijifunza kuhusu wapendanao kufichana vyanzo vyao vya fedha. Nilihitimisha mada yangu kwa kueleza kuwa wapendanao...

READ MORE

Njia 6 kukusaidia kupata kazi kirahisi

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko safi na unaendelea vyema na majukumu yako. Leo ningependa tuzungumzie mbinu za kutafuta...

READ MORE

Utatakaje upendwe wakati mwenyewe hujipendi?

Uhali gani msomaji wangu wa kona hii nzuri? Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya njema. Nakuka-ribisha kwa moyo...

READ MORE

Mjue mpenzi mkorofi

NAAM ni siku nyingine tena tumekutana katika kona yetu hii ya Sindano za Mahaba. Kwa wale wazima kama mimi ni...

READ MORE

Shoga; chakula ni siri yako na mumeo!

Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema iliyoniwezesha kuandaa hiki nilichoamua kuzungumza nawe kupitia safu yetu hii....

READ MORE

‘Ni vizuri mwanaume, amfiche mkewe vipato vyake’

Ukipata bahati ya kukaa kwenye vijiwe vingi vya wanaume, kauli za ‘mwanamke usimueleze kila kitu’ huwa zinatawala. Wanaambizana kwamba ili...

READ MORE

Hivi utaishi maisha ya kuungaunga hadi lini?

Wiki hii msomaji wangu nataka kuzungumzia tabia ya wale ambao wapowapo tu, hawafanyi chochote kuyaboresha maisha yao badala yake wamekuwa...

READ MORE

Ushauri wa wote amenitumia meseji niachane naye!

HABARI ya kazi anko. Naitwa Cecy wa Dar, naomba ushauri. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22. Tatizo langu...

READ MORE

Kumsifia mume/ mkeo kwa marafiki unakosea!

KAMA kawaida ni siku nyingine tena tunakutana katika kujadili mada za kuhusu maisha yetu ya kila siku kwenye uhusiano wa...

READ MORE

Baba mkwe wangu ananitaka kimapenzi!

ANTI Liz, assalaam aleykhum! Ni matumaini yangu kwamba umesherehekea vizuri Sikukuu ya Idd na unaendelea vizuri na kazi. Mimi ni...

READ MORE

Ukiwa na hamu, ndoa utaiona tamu

MMH! Makubwa madogo yana nafuu, kweli maisha yamekuwa zigizaga, vipofu ndiyo wanaotuongoza, matokeo yake tunatumbukia shimoni. Kwa hili siwezi hata...

READ MORE

Nani kasema mwanamke aliyezaa haolewi?

Karibuni wapenzi wanajamvi. Ni siku nyingine tumepewa na Mungu tuweze kupeana elimu katika safu yetu hii ya uhusiano. Ninaamini Mungu...

READ MORE

Ukizingatia haya, simu haiwezi kuwa kikwazo cha uhusiano wenu!

MUNGU ni mwaminifu kila wakati, ametukutanisha kwa mara nyingine Jumamosi ya leo. Hapa tunajadili masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano. Kwa tuliokuwa...

READ MORE

Ukiolewa ilimradi umeolewa, baadaye itakukosti

NI Mungu pekee anayestahili kusujudiwa, kwa rehema zake nimepata nafasi ya kuzungumza nawe tena msomaji wangu kupitia safu hii. Mada...

READ MORE

Kwa hizi kufuru za kijinga, ipo siku Mungu atatuadhibu!

Ni wiki nyingine tulivu tunakutana tena kupitia ukurasa huu ambapo tunaelimishana na kukumbushana juu ya mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu...

READ MORE

Wanawake wengi wanaendeshwa na hisia kuliko uhalisia

TAFITI zilizochimbwa na gazeti hili zimebaini kuwa wanawake wengi wanaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia. Katika tafiti hizi, kati ya...

READ MORE

Unatarajia kuoa/kuolewa? hii inakuhusu!

KILA siku ninayoamka huanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniweka salama, natumai na wewe msomaji wangu hufanya hivyo. Kwa wale...

READ MORE

Kwa nini unung’unike kwa mafanikio kiduchu?

Awali ya yote nichukue fursa hii kuwatia nguvu ndugu zangu Waislam ambao wako katika hatua za mwisho kumaliza mfungo wa...

READ MORE

Fanya haya ili usiishie kuzalishwa, kuachwa!

KWA neema na rehema zake Mungu, mimi na wewe tunaendelea kukutana katika safu hii. Jumamosi nyingine ambayo ninaamini nimefumbata jambo...

READ MORE