Wakati f’lani uliwahi kuibuka mjadala mzito sana kwenye kundi letu la WhatsApp ambapo mmoja aliuliza kwamba kati ya gari na...
READ MOREKWAKO dada yangu uliyesumbua Tanzania kwa uwezo wako mkubwa wa kuimba na kukata vilivyo kiuno stejini, Rehema Chalamila ‘Ray C’....
READ MOREWakati f’lani nikiwa natoka kijijini kuja Dar, wazazi wangu waliniusia juu ya kuishi vizuri na watu. Waliniambia kuwa, watu nitakaokutana...
READ MORELICHA ya kuwepo na msemo wa mke au mume wa mtu ni sumu bado watu wengi wameendelea kutenda tendo hilo....
READ MORENi wiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na mishemishe za kimaisha. Kwa wale...
READ MOREAmbwene Yessaya”AY” BAADA ya wiki iliyopita AY kusimulia jinsi alivyosafiri kwa basi kwenda nchini Uganda wakati huo akiwa hana ndugu,...
READ MOREMpenzi msomaji wangu, mafanikio katika maisha yako yatatokana na utendaji wako wa kazi halali huku ukiwa umejiwekea malengo. Lakini sasa...
READ MOREMAJIBU YA MITIHANI, MAJARIBIO MENGI YA NDANI Mwanafunzi, leo nitamalizia mada hii niliyoianza wiki iliyopita lengo likiwa kukupa ufahamu zaidi...
READ MOREKWENYE maisha kuna nyakati za kutofautiana na kukasirishana. Katika hali ya kawaida, kipindi hiki huwa ni cha hatari kwa sababu...
READ MOREWanafunzi wengi makini hujisomea kwa bidii mara kwa mara kabla ya mitihani yao huku wakiwa na matumaini makubwa ya kufaulu....
READ MOREWiki iliyopita nilianza kuwachambulia tabia ambazo mwanamke akiwanazo lazima mwanaume amkimbie, leo nitahitimisha ‘topiki’ hiyo kwa tabia zilizosalia ambazo ni...
READ MOREUlishawahi kukaa na kujiuliza ni jinsi gani hisia zako zinaweza kukusukuma ukafanya jambo ambalo hukulitegemea? Huenda hujajiuliza lakini nikwambie tu...
READ MOREHAKUNA kitu kibaya maishani kama kuonekana upo katika daraja la chini kuliko kawaida kwenye jamii unayoishi. Kisaikolojia kuna madhara makubwa....
READ MOREILIPOISHIA Baada ya hapo nikatoka nje. Muda huo baadhi ya watu walikuwa wanakwenda mashambani na wanawake walikuwa wakifanya usafi nje...
READ MOREWanafunzi wengi nchini hutokea kwenye kaya zenye kipato cha kawaida, kwa mujibu wa takwimu mbalimbali inatajwa kuwa asilimia 70 ya...
READ MOREWiki iliyopita Bella alisimulia namna ndoto yake ya kuwa juu zaidi katika kazi yake ya muziki ilivyomfanya kulazimika kuachana na...
READ MOREKaribu tena msomaji wangu katika uwanja wetu huu maalum ambapo tunaelimishana kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita...
READ MOREKuhangaikia furaha ndiyo sababu ya wengine kuumia na kutafuta ushauri wa hapa na pale kwa wataalam wa saikolojia na maisha....
READ MOREKutokana na maombi ya wasomaji wengi, kwamba wanachelewa kusubiri mkasa kwa wiki moja, sasa mkasa huu utakuwa ukitoka na siku...
READ MOREWIKI iliyopita tuliishia pale nilipoeleza kuwa pamoja na mafanikio niliyonayo ila sijafanikiwa kupata mtoto wala wa kusingiziwa na hii ni...
READ MOREAsalam alaikum wapenzi wasomaji wa safu hii, nashukuru nina afya ya kutosha, kwa wewe ambaye huna afya nakupa pole Mungu...
READ MOREJe, wewe ndiyo unaingia mjini? Kama ni hivyo kwa kweli naona nichukue muda huu kutoa semina fupi kwako kuhusu mambo...
READ MOREKupenda ni jambo muhimu katika maisha ya mwanadamu, kwa sababu asilimia kubwa ya matendo ya mtu huongozwa na mapenzi. Miongoni...
READ MORENi dhahiri kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka jana ni janga kwa elimu ya...
READ MOREMaarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’. Kila mtu na mtoko wake, mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King...
READ MORELeo tunajifunza kupika wali na maharage ya nazi. MAHITAJI Mchele kilo moja Maharage nusu Mafuta ya kupikia Iliki pakiti moja...
READ MOREKila mmoja alisema ni Mungu tu. Si kwa akili zao. Wamepita changamoto nyingi. Wangekuwa legelege wangeshaachana. Walisimama imara. Walimtanguliza Mungu...
READ MOREBila shaka msomaji wangu upo mzima buheri wa afya. Karibu tena kwenye kona yetu hii tunapopeana elimu na maarifa kuhusu...
READ MOREAsalam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, kwa upande wangu nina amani na...
READ MOREMsanii wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ katika pozi. MSANII wa filamu anayekuja juu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ kumbe ni...
READ MOREhatua za kuanza kujitegemea na kuachana na maisha ya kula kulala bure-2 ilipoishia wiki iliyopita; KUJIAMINI Vikwazo au shaka juu...
READ MOREASSALAM alaikum wapendwa wasomaji wa safu hii maridhawa, ambayo ni mwanana, inayokuelimisha na kukumbusha kila kukicha. Wapo baadhi yetu hujikuta...
READ MOREAsalaam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka ni wazima mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, kwa wale wagonjwa niwaombee...
READ MORESHIDA ni sehemu ya maisha ya binadamu. Katika dunia hii kuna wakati maisha hujaribu kuleta kila aina ya vizingiti na...
READ MOREApata mtoto wa kiume,akaza na kufanikiwa kuingia kwenye bendi ya Koffie Wiki ya nne sasa Christian Bella ‘Obama’ au The...
READ MOREPESA ndiyo sabuni ya roho. Pesa ni kichocheo cha furaha. Ukiwa na pesa unajiamimi. Unaweza kufanya unalotaka wakati wowote. Ndiyo...
READ MORENdugu zangu, maisha ya sasa yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na kila mtu. Wapo wanaoeleza kuwa, maisha ni magumu, maisha ni yenye...
READ MOREBoris Yeltsin. Hebu vuta picha, ni saa nane za usiku unakimbizana na muda kuwahi kurudi nyumbani baada ya kuchelewa kwenye...
READ MORENatumaini mpo salama na mnaendelea vyema na masomo yenu kwa kipindi hiki cha mwanzo wa muhula wa masomo. Nafahamu...
READ MORE