×

Entertainment

Kitambi Cha Mondi Chawaacha Hoi Wananzengo

Heheheh hivi karibuni video ya staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ ilivuja mitandaoni huku ikimuonyesha kuwa na kitambi kikubwa...

READ MORE

Harmonize – Wapo (Official Audio)

 Msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Harmonize Desemba 30, 2020 ameachia ngoma mpya ya Wapo Harmonize – AfroEast...

READ MORE

Mchezo wa Arsenal vs Chelsea Kuteka Jiji la London

Msimu huu wa siku kuu kunogeshwa zaidi na michezo ya EPL. Kumekuwa na utamaduni wa muda mrefu kwenye msimamo wa...

READ MORE

Robo Fainali Ya EFL Cup: Arsenal vs Man City, Everton vs Man United, Hapatoshi!!!

Mwezi Disemba ni mwezi wenye burudani kwa mashabiki wa soka. Kunako Ligi Soka ya Uingereza, robo fainali ya EFL Cup...

READ MORE

Diamond, Nandy, Rayvanny Wang’ara Tuzo Marekani

WASANII watatu  nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’,  Faustina Mfinanga ‘Nandy’ na  Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, usiku wa Desemba 20, 2020,  wamefanikiwa kuipeperusha...

READ MORE

Maua Sama Afafanua Bifu Na Nandy

MSANII wa Bongo Fleva, Maua Sama, amefungukia kuhusu madai ya kuwa na tofauti na msanii mwenzake Faustina Charles ‘Nandy’.  ...

READ MORE

Pati ya Tanasha Yamzulia Jambo Kwa Zari

UNAAMBIWA ilikuwa ni shangwe shangwena kutoka kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Kenya, Tanasha Donna Oketch ambaye pia...

READ MORE

Video Mpya: Pam D Ft Patricia Hillary – Mambeza

 MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameachia wimbo wake wa Mambeza ambao amemshirikisha Patricia Hillary. Usipitwe na...

READ MORE

Mondi Atamtoa Roho Harmo… Mashabiki Wafunguka

ANAWEWESEKA! Ndivyo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva nchini wanavyomtafsiri msanii wa muziki huo, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ ambaye ameendelea kujinasibu...

READ MORE

Bondia Mrembo Mbaroni Kwa Kumuua Mumewe

BONDIA mwanamama wa ngumi za kulipwa nchini Brazil ambaye alipigania mara tatu ubingwa wa dunia, Vviane Obenauf anashikiliwa na Jeshi...

READ MORE

Marioo Akiri Kwenda Kwa Mganga

MSANII anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Omary Mwanga ‘Marioo’ amesema ameshawahi kwenda kwa mganga ili...

READ MORE

Ebitoke Amlipua Nai Kisa ‘Do You Love Me’

MSANII wa vichekesho nchini,ambaye pia ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ kwa mara ya kwanza ameropoka...

READ MORE

Dkt. Abbasi Awatembelea THT, Aahidi Kuenzi Ndoto za Ruge

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, jana Desemba 4, 2020,   amekutana na...

READ MORE

Sarah Atupa Kijembe kwa Harmonize

MUDA mfupi baada ya Harmonize kushea picha na ujumbe wa kumtambulisha mtoto wake wa kike, Zulekha Kondegir,l aliyempata na mwanamke...

READ MORE

Aslay Ataja Sababu za Kuwa Singo

MWANAMUZIKI Bongo Fleva, Aslay Isihaka ameeleza sababu ya kukaa bila mpenzi (kuwa singo), Aslay anasema kuwa, kwa sasa ameamua kuwa...

READ MORE

Hoteli ya Kitalii ya Ngurdoto Yageuzwa Hosteli

HOTELI ya kitalii ya Ngurdoto Mountain Lodge yenye hadhi ya nyota tano iliyopo Arumeru mkoani Arusha, imegeuzwa hosteli ya Chuo...

READ MORE

Ndoa ya Harmo, Sarah Yadaiwa Kuvunjika

NDOA ya msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ au Harmo na mkewe Sarah Michelotti ipo gizani na...

READ MORE

Aunt: Acheni Kuita Wapenzi Wa Wenzenu Wadogo

Ukitaja mmoja wa wasanii walioweza kuifanya Bongo Muvi kusonga mbele, kamwe huwezi kuacha kulitaja jina la mwamama mrembo, Aunt Ezekiel...

READ MORE

King98: Natamani Busti ya Mondi Kupata Mashabiki Bongo

MSANII wa Zimbabwe, Ngonidzashe Dondo (22) ambaye ni maarufu kama King98, ametua nchini hivi karibuni kufanya ziara fupi kwa lengo...

READ MORE

Carabao Cup; Liverpool vs Arsenal Uso kwa Uso Kwa Mara ya 3 Kesho

Baada ya kufungua msimu mpya wa EPL kwa Mchezo wa Ngao ya Jamii nakisha kukutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

READ MORE

Mwanaheri Na Siri Ya Mafanikio Kwenye Ndoa!

MUIGIZAJI mahiri wa filamu Bongo, Mwanaheri Ahmed amefunguka kuwa, aliamua kujishughulisha zaidi punde tu, alipoingia kwenye ndoa kwa sababu alifundwa...

READ MORE

Esma Afunguka Kumrudisha Tanasha Kwa Mondi

DADA wa mwanamuziki maarufu ndani na nje ya nchi, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Esma Khan, amesema kuwa japokuwa ameolewa lakini hawezi...

READ MORE

EPL Inarejea Tena ni Ni Liverpool dhidi ya Chelsea ‘Darajani’

Msimu wa 2020/21 umeanza kwa kasi, timu mbalimbali zimeanza kwa matokeo mazuri kwenye michezo yao ya kwanza. Tukiwa kwenye michezo...

READ MORE

Gigy Money Amvaa Shabiki Kisa Kuhojiwa

MSANII wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amemcharukia vibaya mmoja wa mashabiki wake aliyehoji kuhusu ukimya wake kwenye muziki....

READ MORE

Logic; Amewapaisha NANDY, MAUA na Kuambulia Patupu!

MUZIKI una nafasi kubwa kwenye maisha yetu ya siku. Muziki umetumika kuleta hamasa kubwa mno ya ufanyaji kazi, kuliwaza baada...

READ MORE

Harmo Amfunika Mondi Kibabe Uwanja wa Mkapa

Dawa ya moto ni moto! Ndivyo unavyoweza kusema, kufuatia, Rais wa Kruu la Konde Gang, Rajab Abdul ‘Harmonize’ kumuonesha bosi...

READ MORE

Darey arejea na Jah Guide Me

  MKALI wa muziki wa Afro Beat, Mnigeria Dare Art Alade a.k.a Darey, baada ya kimya cha miaka minne amerejea na singo...

READ MORE

Onja Furaha ya Gemu la Sic Bo Kupitia Meridianbet

Kama ni mpenzi wa Craps, basi utaipenda Sic Bo kwasababu zinamfanano. Kama ilivyo kwenye Craps, gemu hili linatumia kete kutambua...

READ MORE

Irene Robert – “Shepu Yangu Inanipa Changamoto”

Miongoni mwa mastaa waliobarikiwa kuwa na shepu bomba ni mwanamuziki wa injili, Irene Robert, ambaye licha ya kuvaa nguo za...

READ MORE

Mzee Yusuf Aandika Historia, Aujaza Dar Live (Picha +Video)

BAADA ya kukaa nje ya jukwaa la burudani ya muziki kwa muda mrefu,  hatimaye mfalme wa taarab, Mzee Yusuf na...

READ MORE

Zamaradi: Waigizaji Wenyewe Wameua Bongo Muvi -Video

  MTANGAZAJI maarufu Bongo, Zamaradi Mketema,  amesema kilichoua sanaa ya Bongo Muvi ni waigizaji wenyewe kwa kutochukulia ‘serious’ kazi hiyo....

READ MORE

VIDEO: Exclusive Nandy Azungumzia Ngoma Yake Na Harmonize

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Faustina Mfinanga (Nandy) amefanya Exclusive Intervie Kupitia kipindi cha Bongo 255 kinachoruka kupitia Global...

READ MORE

Video: CARRY MASTORY Amvaa DIAMOND – “Ile SUTI Mbaya, TANASHA Asingeimba”

 MDAU maarufu wa mitandao, Carry Mastory, amepiga stori na Global TV na kuichambua ngoma mpya ya mwanamuziki, Diamond Platnumz...

READ MORE

Wema: Diamond Tunaongea, Sijam-follow Instagram – Video

 MUIGIZAJI  nyota wa Bongo Movie, Wema Sepetu, jana Februari 21, 2020,   amesema msanii Diamond Platnumz ni rafiki yake na...

READ MORE

Vanessa Mdee Amefanya Nini Kwenye Muziki?

VANESSA MEDEE aka Cash Madame au VeeMoney, ni msanii wa kurekodi mwenye asili ya Arusha Tanzania. Vanessa ni mwimbaji, mwandishi...

READ MORE

Kanye West Aokoka, Aja Na Albamu Ya ‘Gospo’

SIKU chache baada ya mwanamitindo wa Marekani, Kim Kardashian, kuthibitisha kuwa yeye na mumewe Kanye West wameokoka, Kanye  amethibitisha tarehe...

READ MORE

Rekodi Nyingine Ya Cardi B Na Bodak Yellow

BODAK YELLOW ambayo ilikuwa ladha ya kwanza kutokea kwenye albamu yake ya kwanza ya  Invasion Of Privacy, imetengeneza rekodi nyingine...

READ MORE

Ebitoke: Muvi ya Mapenzi Yangu na Mlela Inakuja

MKALI wa vichekesho kwa lafudhi ya Kihaya, mwanadada Ebitoke, amesema kuwa wanaandaa muvi itakayoonyesha mahusiano yake na mpenzi wake wa...

READ MORE

John Legend Ajikita katika Biashara Ya Bangi

MWANAMUZIKI Mmarekani, John Legend,  ameungana na kampuni moja nchini Marekani kama mwekezaji kwenye biashara ya bangi ambayo itazinduliwa rasmi Jumanne...

READ MORE

Rostam Na Nay Wa Mitego Wanatuambia Nini Kwenye Kijiwe Nongwa?

Soka la bongo linakwama wapi, TFF Maana yake nini?, ameuliza Stamina kwenye line ambayo Roma amejibu kwa kusema TFF ni...

READ MORE