Wiki hii nimeona nikupe mambo ambayo yanaweza kukufanya ukachanganyikiwa na wakati mwingine kuiona dunia ni chungu. Nafanya hivi kwa sababu...
READ MORENapenda kumshukuru Mola kwa pumzi aliyonipa nikaweza kuandika makala haya na wewe msomaji ukapata kile unachokipenda. Wiki iliyopita nilianza kuzungumzia...
READ MOREKushinda nyumba hii mpya yenye fanicha ndani ni rahisi sana! Nunua Gazeti la Championi, Ijumaa, Uwazi, Amani, Ijumaa Wikienda au...
READ MORENAAM mpenzi msomaji wa Sindano za Mahaba, tumekutana tena, kwa wale wagonjwa siku zote nimekuwa nikiwapa pole na kwa wale...
READ MORENi wiki nyingine tunakutana tena kupitia ukurasa huu nikiamini kuwa umzima na unaendelea na mishemishe zako za kila siku kama...
READ MOREAmrani Kaima Assalam aleikum mpenzi msomaji wangu. Uhali gani wewe uliyepata bahati ya kunisoma tena wiki kupitia ukurasa huu? Ni...
READ MORENAPENDA kumshukuru Mungu kwa kila jambo katika maisha yangu ya kila siku kwani ni kwa rehema zake tu ndizo zinanifanya...
READ MOREAmran Kaima NI wiki nyingine tena tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba kwa rehema zake Mwenyezi Mungu umzima...
READ MORENilishawahi kuandika makala moja kwenye gazeti dada na hili la Ijumaa kwenye safu ya Saikolojia, Maisha na Wewe iliyokuwa inahusu...
READ MOREHaya mambo ya kuiga haya yatatupeleka pabaya. Halafu kiukweli mi nazilaumu sana TV zinatuonesha mambo mengi na sisi tunaiga hapo...
READ MOREAsalaam aleikum wapendwa wasomaji wa safu yetu hii ya Shangingi Mstaafu. Najua mlikuwa mnanisubiri kwa hamu nije niwape mbili tatu...
READ MORENAAM naam! Leo ni Jumanne nyingine ambapo naamini wasomaji wangu wote mmeamka salama u-salimini. Kama ni kweli namshukuru Mungu kwa...
READ MOREKWA rehema zake Mungu, Jumamosi nyingine anatukanisha wadau wa Love Story. Hapa tunapeana elimu ya uhusiano. Wiki iliyopita tulijifunza kuhusu...
READ MOREMwishoni mwa wiki iliyopita nilikuwa kijijini kwetu Mlalo, Lushoto mkoani Tanga ambako nilikuwa na matatizo kidogo. Niliposhuka tu stendi, nilikutana...
READ MOREWapo ambao wamekuwa wakisema maisha ni magumu na wanafikia hatua ya kukufuru kwamba bora hata wajifie tu kuliko kuendelea kuishi...
READ MORESHUKRANI na sifa ziende kwa Maanani kwa kunipa nafasi nyingine ya kukutana nawe msomaji wangu Jumanne hii. Ukiachia mbali changamoto ...
READ MORETUMSHUKURU Mungu wa Mbinguni kwa kuendelea kutupa pumzi ambayo hatuilipii hata senti moja. Mimi na wewe tunakutana kwa mara nyingine...
READ MORENianze kwa kusema asante Mungu kwa kila jambo ingawa machoni tuna furaha lakini mioyoni mwetu tumejeruhiwa vibaya sana. Ni wiki...
READ MOREHivi karibuni nilikutana na vijana wanaosoma katika shule moja ya sekondani iliyopo Lushoto mkoani Tanga iitwayo Mlalo Sekondari. Wanafunzi hao...
READ MOREMpenzi msomaji wa XXLove ni Jumatatu nyingine murua tunakutana hapa jamvini kwa ajili ya mwendelezo wa mada yetu ya wiki...
READ MOREChausiku Salumu ‘Bi. Chau’. MAMBO vipi mpenzi msomaji wa safu yetu ya Mpaka Home, kama ilivyo kawaida mpenzi msomaji wangu...
READ MOREKuna makala kama mbili hivi niliwahi kuandika na kueleza jinsi baadhi ya watu wanavyotumia pesa zao nyingi kwenye ulevi huku...
READ MOREMambo vipi shoga yangu. Na kwa wewe Muislam umejiandaaje na mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani? Baada ya salamu napenda...
READ MORELupita Nyong’o Muuza nyago mwenye jina kubwa duniani ambaye pia ni Mshindi wa Tuzo ya Oscar, Lupita Nyong’o hivi karibuni...
READ MORENi wiki nyingine tunakutana kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na mishemishe za maisha. Mimi...
READ MOREKajala Masanja BAADA ya kukiri katika gazeti hili kuwa ameamua kuokoka na kumrudia Mungu, mrembo kunako filamu za Kibongo, Kajala...
READ MOREJoyce Kiria MTANGAZAJI wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia EATV, Joyce Kiria ameweka wazi kuwa hivi sasa yuko kwenye...
READ MOREAsalam Alaikumu mpenzi msomaji wa safu hii, hakika utakuwa vema kiafya mimi namshukuru Mungu siku zinasonga. Nawashukuru wasomaji wangu mnaoendelea...
READ MOREKazi imekuwa ni kigezo cha msingi sana ili ndoa ziweze kuwepo. Hata hivyo, wakati wengine wakijitahidi kutafuta wachumba wanaofanya kazi,...
READ MORENi ukweli kwamba asilimia kubwa ya watu hutoka vijijini kwao na kwenda mijini, lengo likiwa ni kutafuta maisha. Kwa mfano,...
READ MORENamshukuru Jalali kwa kunijalia uzima ulioniwezesha kuonana nawe katika uga wetu huu tunaozungumzia ishu za chumbani zaidi. Baada ya wiki...
READ MOREKatika maisha lipo suala la kufanikiwa lakini kwa waliofanikiwa si jambo la ajabu kusikia wamefilisika. Wapo ambao kipindi cha nyuma...
READ MOREMpenzi msomaji wangu, ni ukweli ulio wazi kwamba wengi unaowaona wana maisha mazuri walichagua kuishi hivyo! Waliuchukia umaskini kiasi cha...
READ MOREAsalaam aleykhum! Leo shoga yangu nataka kuzungumza na wenzetu ambao utulivu kwao ni ziro yaani ambao licha ya kwamba wapo...
READ MORENi wiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii ambayo tunapata fursa ya kuelimishana na kukumbushana juu ya mambo mbalimbali yanayogusa...
READ MOREWIKI iliyopita nilishia pale ambapo Mkwere alipokuwa akisisitiza kila msomaji kujichunguza na kujiuliza nini anapaswa akifanye kwa kutumia kipaji chake...
READ MOREAsalam alaikum wapenzi wasomaji wa safu hii, bila shaka mko poa mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, tunashukuru Mungu...
READ MOREWiki iliyopita utakumbuka nilianza kuzungumzia umuhimu wa kila mmoja wetu kujitahidi kuishi vizuri na watu wanaomzunguka. Kwamba kama uko ofisini,...
READ MORESuala la mwanafunzi kujifunza ni endelevu, halina kikomo na kamwe haliishii darasani kama wanafunzi wengi wanavyofikiria. Mwanafunzi mwenye malengo ya...
READ MOREMpenzi msomaji, baada ya wiki iliyopita kufikia tamati kwa simulizi ya Mwanamuziki Ambwene Yessaya ‘AY,’ leo tunamleta kwenu mchekeshaji maarufu...
READ MORE