×

Habari

Kurasa za Magazeti ya leo Julai 18, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine.   Tunatoa zawadi...

READ MORE

Rais Samia Aiagiza NFRA Ianze Kununua Mahindi kilo moja kwa shilingi 700 – (Video +Picha)

Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) kuanzia kesho Julai 18, 2024 ianze kununua...

READ MORE

Meridianbet Kasino Ushindi wa Mamilioni

Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibuka mshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaoni huku ukivuna mabonasi ya...

READ MORE

Mkuu Wa Majeshi Ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda Apokea Ujumbe Wa Jeshi La China

Ujumbe wa Makamanda walioongozana na meli ya matibabu kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi...

READ MORE

Dada Wa Kazi Adaiwa Kumchinja Mtoto Wa Bosi Wake Dar, Akimbia Atafutwa na Polisi- Video

Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, anadaiwa kumchinja shingoni na...

READ MORE

Msigwa Awalipua Chadema, Akiri Upinzani Kupoteza Dira – Video

Ndani ya Miaka 20 nimejitahidi kuzungumza haki,demokrasia na Uhuru ndani ya Chama cha Chadema lakini sijaviona kwani mambo hayo imekuwa...

READ MORE

Nilimfuma Mama Mkwe ‘Live’ Akiweka Hirizi Chumbani Kwetu

Jina langu ni Sarah mkazi wa Kandara huko Muranga nchini Kenya. Nimekuwa nikiishi katika hali ya misukosuko ya mara kwa...

READ MORE

Haya Hapa Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu 2024 Yaliyotangazwa na NECTA

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Julai 13, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita pamoja na ualimu....

READ MORE

CCM ni Chama Kinachofuata Demokrasia na Kinashinda Kwa Haki-CPA Makalla

Chama cha Mapinduzi kinaamini kwenye Uhuru na haki na demokrasia na  CCM haiwezi kuharibu ila Kitafuata taratibu zote za Uchaguzi...

READ MORE

Bilionea Elon Musk Atangaza Kumpa Trump Mabilioni ya Fedha Kugharamia Uchaguzi

Bilionea namba moja duniani, Elon Musk amesema kwamba anapanga kutoa takriban Dola za Kimarekani milioni 45 (sawa na takribani shilingi...

READ MORE

RC Chalamila Apokea Melivita Ya Matibabu Ya Jeshi China Maarufu Kwa Jina la ‘Peace Ark’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace Ark...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Awasalimia Wananchi Wa Namanyere Mkoa Rukwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwasalimia Wananchi wa Namanyere Mkoa Rukwa ikiwa ni sehemu...

READ MORE

Trump amteua Seneta JD Vance kuwa mgombea mwenza

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema Seneta wa Ohio James David Vance (JD) Vance, mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Kagame ashinda katika uchaguzi wa urais Rwanda

Rais Paul Kagame wa Rwanda ameshinda muhula wa nne katika uchaguzi wa urais na bunge uliofanyika Rwanda Julai 15. Wapiga...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Mitambo Ya Kisasa Ya Kurushia Matangazo na VAR

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya...

READ MORE

Kurasa za magazeti ya leo Julai 16, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Rais Mwinyi Azitaka Wizara, Taasisi Kuondoa Urasimu Kwenye Biashara na Uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka Wizara na Taasisi zinazohusika na biashara...

READ MORE

TRA Yaendelea na Utekelezaji wa Maagizo ya Waziri Mkuu

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wanaendelea na utekelezaji wa maagizo yaliyowekwa na Serikali wakati...

READ MORE

Mkuu wa Shule atoboa Siri ya Ufaulu matokeo ya kidato cha sita, Nidhamu Na Ushirikiano Nyenzo Ya Matokeo Mazuri

Nidhamu kwa wanafunzi ,ufundishaji mzuri unaofanywa na walimu wa shule hiyo ndiyo sababu pekee iliyofanya shule hiyo kupata matokeo mazuri...

READ MORE

Mradi wa Kituo Cha Biashara na Usafirishaji Ubungo Kitachochea Ukuaji wa Uchumi Kwa Nchi Yetu

CPA Makalla amesema *EAST AFRICA COMMERCIAL & LOGISTICS CENTER* ni Kituo ambacho kinakwenda kuwa kiunganishi Kati ya China na Afrika...

READ MORE

Fuata Njia Hizi Kushinda Meridianbet Kasino

Moja ya habari njema kuwahi kutokea ni uwepo wa historia ya kale kuhusiana na miungu, na maisha ya zamani, hadithi...

READ MORE

PanAfrican Energy Tanzania Yatoa Mitungi 500 ya Gesi Kuchangia Nishati Safi ya Kupikia

Dar es Salaam, 14 July 2024 – Katika hatua kubwa ya kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia, kampuni ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Alipongeza Kanisa La TAG Kwa Kukuza Watoto Kiimani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amelipongeza Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) kwa mkakati wake wa kukuza watoto kiimani huku...

READ MORE

Jinsi Nilivyonusurika Kukatwa Titi Baada ya Kugundulika Kuwa na Saratani

Jina langu ni Leodina kutoka Nairobi nchini Kenya, takribani miezi minane iliyopita, nilianza kupata maumivu yasiyo ya kawaida kwenye titi...

READ MORE

Mtoto Adaiwa Kutekwa Na Mtu Asiyejulikana ”Alimfuata Shuleni – Video

Mtoto Angel Kamugisha (6) mkazi wa Kinondoni Shamba, amechukuliwa shuleni alipokuwa akisoma, Shule ya Msingi Oysterbay jijini Dar, siku ya...

READ MORE

DC Magoti Alivyotatua Kero Za Wananchi Papo Hapo, Awapa Maagizo Watumishi Wa Umma – Video

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amepigilia msumari kauli yake aliyoitoa hivi karibuni ya kupiga marufuku watoto wadogo wa...

READ MORE

RC Makonda Akabidhi Milioni 38 Kwa Washindi Wa Samia Motocross Championship (Picha +Video)

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda Julai 14, 2024 amekabidhi jumla ya fedha taslimu shilingi Milioni 38 za...

READ MORE

Tume ya Haki za Binadamu Imeanza Kukusanya Maoni ya Mpango Kazi wa Taifa wa Binadamu na Biashara 

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeanza kutekeleza  jukumu la  kukusanya maoni juu ya mpango kazi wa taifa...

READ MORE

Kurasa za Magazeti Leo Julai 15, 2024 Jumatatu

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lawataka Wazazi Kusimamia Malezi ya Watoto Kupunguza Uhalifu Kwenye Jamii

Jeshi la Polisi limeiomba jamii na kuikumbusha kujikita katika malezi ya watoto ili kujenga jamii inayochukia uhalifu na yenye hofu...

READ MORE

DC Magoti Atoa Mifuko 300 ya Saruji Kwenye Vituo Viwili Vya Misikiti Alivyofungia

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama, ametoa mifuko 300 ya saruji kwenye...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaungana na Wapanda Mlima Kutoka Nchi 8 Kampeni ya Kilimanjaro Expedition

Kampuni ya Sukari ya Kilombero (Kilombero Sugar), kwa kushirikiana na wapanda mlima 17 kutoka nchi 8 tofauti wanaoiwakilisha ABF Sugar...

READ MORE

Mwenezi Makalla Baada ya Kuunguruma Ilala, Sasa Zamu ya Ubungo

Katibu wa Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa na Mlezi wa Mkoa wa Dar es salam (Kichama) Ndugu CPA...

READ MORE

GF Trucks Yachukua Ushindi wa Jumla Katika Sekta ya Magari na Mitambo

Wakati maonyesho ya biashara ya ya kimataifa yakihitimishwa rasmi  zaidi ya makampuni 300 ya ndani na nje ya nchi yameshiriki maonyesho...

READ MORE

Waendesha Bodaboda Korogwe Tanga Wapewa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Shirika la Amend Tanzania kupitia ufadhili wa Ubalozi wa Uswiss nchini limetoa mafunzo na elimu ya usalama barabarani kuhusu sheria...

READ MORE

Mgogoro wa Ardhi Tangu 1970, Mzee Atoa kilio Kwa Waziri Jerry Silaha – Video

Mzee Bahari Seif Mpendu ni mzaliwa wa eneo la Vijibweni-Kibada jijini Dar es Salaam tangu mwaka 1957 ambaye ametoa kilio...

READ MORE

Biden Alaani vikali Shambulizi la Bunduki dhidi ya Trump – Video

Rais Joe Biden alilaani vikali shambulio la kutumia bunduki dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump akisema kwamba...

READ MORE

Trump Ajeruhiwa na Risasi Akihutubia Mkutano wa Kampeni Pennsylvania – Video

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alijeruhiwa Jumamosi jioni wakati akihutubia mkutano wa hadhara mjini Butler, Pennsylvania. Trump, ambaye...

READ MORE

Adinani Hussein na Wenzake Anatafutwa na Polisi Kwa Tuhuma za Utekaji

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Muliro J. Muliro amesema Jeshi la Polisi linaendelea kuchunguza na...

READ MORE

Rais Samia: Acheni Kuvamia Maeneo Ya Hifadhi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kuacha kuvunja sheria kwa kuvamia maeneo ya...

READ MORE