×

Habari

Tanzania kushirikiana na Korea kusini kujenga bandari ya uvuvi Bagamoyo

Serikali ya Tanzania imetolea ufafanuzi juu ya mkopo iliyopokea kutoka Korea Kusini, ulioambatana na makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya...

READ MORE

Bei Za Mafuta Zapanda, Kuanza Kutumika Leo Juni 5, 2024… Dar Petrol ni Tsh. 3261, Dizeli Tsh. 3122

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya...

READ MORE

Taifa Gas Yapewa Tuzo Kutambua Jitihada Zake Utunzaji wa Mazingira Nchini

    Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya...

READ MORE

FAO, EU, Wizara Ya Kilimo Wazindua Kampeni Ya Lishe Bora Kwa Njia Ya Daladala

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), kwa kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) na Wizara...

READ MORE

Aweso, Bashe Wakutana Kuweka Mikakati Maelekezo ya Rais Samia

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso(MB) amefika ofisi ya Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe(MB) Wizara ya Kilimo jijini Dodoma...

READ MORE

GGML Inavyoendeleza Uhifadhi Endelevu wa Mazingira Geita

Na Mwandishi Wetu SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza...

READ MORE

Hotel ya Ramada Resort Yakanusha Kuhusika na Vitendo Vya Kinyume na Maadili

Hivi karibuni tulipata taarifa za madai kutoka katika baadhi ya mitandao ya kijamii kuhusu hoteli yetu, Ramada Resort Dar es...

READ MORE

Uwekezaji Wa Kweli ni Katika Sekta ya Nishati Safi ya Kupikia, Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameiambia dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni...

READ MORE

Waziri Aweso amtumbua Mkurugenzi Mtendaji wa ROMBOWSSA

TAARIFA KWA UMMA Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb) amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Ahitimisha Ziara Kwa Kishindo Arusha

NCHIMBI AHITIMISHA ZIARA KWA KISHINDO ARUSHA

READ MORE

Access Microfinance Bank Sasa Kutambulika Kwa Jina Selcom Microfinance Bank

Tunayofuraha kutangaza hatua muhimu katika safari yetu ya kuelekea kukuhudumia vyema, Benki ya Access Microfinance Tanzania Limited inaendelea kukua, kuimarika...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki ufunguzi wa mkutano wa Korea na Afrika uliofanyika Kintex

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2024 ameshiriki katika ufunguzi wa mkutano...

READ MORE

Sako Kwa Bako Ya Tigo Na Energizer Kutambulisha Simu Mahiri Inayolingana Na Mahitaji Ya Wateja

Dar es Salaam, Juni 4, 2024 – Tigo, kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali nchini Tanzania, inafuraha kuzindua...

READ MORE

Kampuni ya Saruji Mbeya Yatangaza Malipo ya Gawio kwa Wanahisa Wake

Kampuni ya Saruji Mbeya (Mbeya Cement Company Limited-MCCL) imetangaza malipo ya gawio kwa wanahisa wake muongo mmoja baada ya malipo...

READ MORE

Waziri Bashe Kufunga Maonesho Wiki Ya Nishati Jadidifu Juni 7

TANZANIA RENEWABLE ENERGY ASSOCIATION (TAREA) Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA), kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati kwa...

READ MORE

Mama Samia Legal Aid Campaign Yaendelea Kusaidia Wananchi Wa Ludewa

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) Wilayani Ludewa, katika Kata ya Madilu ambapo...

READ MORE

Heineken Yaendelea Kutangaza Moja Ya Shindano Maarufu Zaidi La Kandanda Ya Vilabu Ulaya-UEFA

01 Juni, 2024, Dar es Salaam.Wakati Heineken ikiendelea na ushiriki wake wa muda mrefu wa udhamini wa UEFA Champions League...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Asepa na Kijiji Arusha, Maelfu Wamiminika Kumsikiliza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi ameweka historia katika Jiji la Arusha wakati akiingia...

READ MORE

Mwanajeshi Aangua Kilio Baada ya Mkewe Kuuza Mali Zake Zote

Ilikuwa ni Jumamosi ya huzuni kwa Mwanajeshi wa Jeshi la Kena, KDF baada ya kufika nyumbani kwake na kuangua kilio...

READ MORE

Waziri Mkuu: Tutaendelea Kuwashirikisha Wavuvi Na Wafugaji Kwenye Mipango Ya Maendeleo

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo....

READ MORE

Wizara ya Ardhi Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kuvunjwa kwa nyumba Mbezi, Kinondoni

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuvunjwa kwa...

READ MORE

Makampuni 130 Afrika Yapewa Tuzo

TUZO za makampuni bora barani Afrika (ACOYA) zilizoandaliwa na The Global CEOs Institute wakishilikiana na Eastern Star Consulting Group Tanzania...

READ MORE

Rais Ramaphosa awataka wanasiasa kuwa na umoja baada ya ANC kushindwa kupata wingi wa viti bungeni

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Jumapili aliwataka viongozi wa vyama vya Afrika Kusini kufanya kazi pamoja kwa maslahi ya...

READ MORE

Kesi ya Walalamikaji Prof. Anna Tibaijuka na wenzake 9 Kutajwa Juni18

BARAZA la Ushindani la Taifa ( Fair Competition Commission) leo tarehe 3 Juni 2024 limehairisha usikilizaji wa kesi ya  mgogoro...

READ MORE

Wasanii Wa Tanzania Na Korea Kucheza Filamu Kwa Pamoja

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye...

READ MORE

Compact Energies Yashinda Tuzo Ya Huduma Bora Afrika

Kampuni ya  Compact Energies Limited inayohusika na uzalishaji wa umeme Jua imeshinda tuzo ya makampuni makubwa barani Afrika katika utoaji...

READ MORE

Dkt. Nchimbi; Tuendelee Kusimamia Umoja wa Nchi Yetu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Wananchi wa Kata ya Mataves, katika...

READ MORE

Vodacom Yaibuka Kidedea Katika Tuzo za Tanzania Digital Awards

KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini ya Vodacom, imetunukiwa tuzo na Kampuni ya Serengeti Bytes kupitia programu...

READ MORE

Waziri Mkuu: Undeni Vikundi Ili Mnufaike Na Mikopo inayotolewa na Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 02, 2024 amezindua jengo la kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi katika halmashauri ya wilaya...

READ MORE

Rais Samia na Rais wa Jamhuri ya Korea Washudia utiaji wa saini wa Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Korea, Yoon Suk Yeol...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Azindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali wa Tarime Group Monduli

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akizindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali wa Tarime Group,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atua Arusha Ziara ya Kikazi

            Msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi,...

READ MORE

Benki ya NBC, Wachezaji wa Simba na Twiga Stars Waendesha Msimu wa Pili wa Kliniki ya Michezo kwa Watoto

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi ya Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premiere League)  imeendesha  msimu...

READ MORE

Wananchi Wakosa Makazi Nyumba Zao Zikibomolewa Kibaha

Zaidi ya Nyumba 200 zilizoko eneo la Mtamba, ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Mji, mkoani Pwani, zinadaiwa kubomolewa...

READ MORE

NBC Yazidua Akaunti Ya Mfugaji Mahususi Kwa Wadau Wa Sekta Ya Ufugaji

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini...

READ MORE

Waziri Mkuu Kushiriki Mazishi Ya Mama Mzazi Wa Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Juni 01, 2024 amewasili Tarime mkoani Mara ambapo atashiriki kwenye mazishi ya Bi. Amina Nyanda Juma...

READ MORE

Katibu Mkuu Dk. Nchimbi Aongoza Mkutano wa ndani Wa Wanachama, Viongozi wa Chama na Serikali Manyara

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama na Viongozi wa Chama na...

READ MORE

BetPawa Yafanya Amshaamsha ya Mashabiki wa Mwanza Kuelekea Fainali UEFA

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa imezawadia vifaa vya michezo timu mbalimbali za mkoa wa Mwanza ikiwa sehemu ya...

READ MORE

Walioshinda Shindano La Wauzaji Bora Vilainishi Vya Oryx Wakabidhiwa Tiketi Kwenda Dubai

KAMPUNI ya Oryx Services and Specialties Ltd iliyoendesha shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya...

READ MORE

Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswis Wamefanikiwa Kuweka Miundombinu Salama Barabarani

KATIKA jitihada za kupunguza ajali za barabarani kwa wanafunzi jijini Tanga ,Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswis...

READ MORE