×

Habari

Waziri Mkuu Aagiza Taarifa Maalum Ya Udhibiti Wa Uvuvi Haramu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza taarifa maalum ya udhibiti wa vitendo vya uvuvi haramu iwasilishwe kabla ya Wizara ya Mifugo...

READ MORE

Mwili wa marehemu Gardner G Habash Wawasili Nyumbani Kwake Kijitonyama – (Video+Picha)

Mwili wa marehemu Captain Gardner G Habash leo Aprili 21, 2024 umewasili nyumbani kwake Kijitonyama ambapo utafanyiwa ibada maalum ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Safari ya Kwanza ya Treni Kutoka Dar- Dodoma

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada...

READ MORE

Ofisi ya Wakili Mkuu Yaokoa Zaidi ya Shilingi Trilioni 3.4

Serikali kupitia Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi trilioni 3.4 baada ya kufanikiwa kushinda mashauri...

READ MORE

Waziri Mkuu: Rais Samia Kulihutubia Taifa Aprili 25, 2024

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kulihutubia Taifa Aprili 25, 2024, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano....

READ MORE

Ratiba ya mazishi ya Mtangazaji Gardner G. Habash

Ratiba ya mazishi ya Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner G. Habash...

READ MORE

Arsenal Yarejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England

Arsenal imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Wolverhampton katika dimba la Molineux....

READ MORE

Mwigizaji Bi Ubwa Wa Zahanati Ya Kijiji Afariki Dunia

Mwigizaji mkongwe nchini Tanzania aliyepata umaarufu zaidi kupitia Tamthiliya Zahanati ya Kijiji, Bi Ubwa amefariki dunia. Kwa mujibu wa mtayarishaji...

READ MORE

RC Makonda Alivyowasili AICC kwa ajili ya kuongoza kikao kazi cha watumishi wa Mkoa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiwasili kwenye Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha, kwa ajili ya...

READ MORE

Mawakala Zaidi 200,000 Wakumbushwa Wajibu Wao

KAMPUNI ya simu ya Tigo Tanzania imeendelea kuboresha huduma zake  kwa kukaa pamoja na mawakala na kuwakumbusha jinsi ya kuhakikisha...

READ MORE

Aliyejichoma moto New York nje ya mahakama ya kesi ya Trump afariki

Mwanamme mmoja aliyejichoma moto nje ya mahakama ambako kesi ya rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, inafanyika amefariki dunia...

READ MORE

Waziri Katambi Ateta Na Kamati Ya Maandalizi Kuelekea Sherehe Za Mei Mosi Kitaifa 2024

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana na wenye Ulemavu, Patrobas Katambi (Mb) amekutana na kufanya kikao na...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Studio Za Kidijiti Za Redio barabara ya Nyerere Dar

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua studio za kidijiti za redio ikiwa ni sehemu ya mradi wa maboresho ya studio za...

READ MORE

RC Makonda Awaalika Wanaarusha Kushiriki Sherehe Za Mei Mosi 2024 Kwenye Uwanja Wa Sheikh Amri Abeid

Mkuu wa Mkoa wa Arusha amewaalika wananchi wa Mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani kuungana na Wafanyakaizi wote nchini...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Awasha Moto Dhidi ya Serikali, Apinga Ufisadi – Video

Mbunge wa jimbo la Buchosa ambalo liko wilayani Sengerema, Eric Shigongo ndani ya Bunge la Bajeti katika Wizara ya Utumishi...

READ MORE

Baadhi ya Maeneo Pwani kukosa Umeme Kesho

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wakazi wa Mkoani Pwani katika Wilaya ya Mlandizi kuwa linatarajia kufanya maboresho...

READ MORE

URA SACCOS Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Tsh. Mil 235.5 Hospitali ya Polisi Kilwa Road

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchi, IGP. Camillus Wambura amepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 235.5...

READ MORE

Kuwaheshimisha Mabalozi ni Kukirudisha Chama Kwa Wananchi

> _Awapongeza wana Ruvuma kwa kujitoa kimasomaso kwa mapenzi ya dhati kwa CCM_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapiduzi (CCM)...

READ MORE

Kurasa za magazeti ya leo Mei 24, 2024

MSIMU MPYA MAMBO MAPYA!   Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara moja kwa wiki Ijumaa, sasa limekuja kivingine....

READ MORE

#Breaking: Mtangazaji Clouds FM, Gadner G. Habash Afariki Dunia

Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash Amefariki Dunia Leo Aprili 20, 2024. Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu...

READ MORE

Rais Samia Awakaribisha Wafanyabiashara Wa Uturuki Kushiriki Maonesho Ya Sabasaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa mwaliko rasmi kwa Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wawekezaji...

READ MORE

Balozi Nchimbi: Miaka 3 ya Rais Samia, Kama Miujiza

*Asisitiza uadilifu na uwajibikaji kwa mali za umma* *Apongeza Serikali Njombe mrejesho kwa wananchi, chama kwa usimamizi* Katibu Mkuu wa...

READ MORE

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika jijini Arusha

Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio...

READ MORE

Meridianbet Ndani Ya Makongo jijini Dar-es-salaam

Magwiji wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet imetembelea eneo la Makongo tawi la Mlalakua kwajili ya kutoa msaada wa...

READ MORE

Meridianbet Kasino Mgodi Wa Madini Na Maokoto

  Dhahabu ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao,...

READ MORE

Balozi Dk. Nchimbi, Ashiriki Kikao cha Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu Mkoa wa Njombe

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye Kikao cha Kamati ya Siasa ya...

READ MORE

Wauguzi Hospitali Ya Mwananyamala Wakabidhiwa Mitungi Ya Oryx Gas Na Taasisi Ya Doris Mollel

Dar es Salaam 19 Aprili 2024: Kampuni  ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungi ya gesi...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Kenya Afariki Kwa Ajali ya Helikopta

Rais William Ruto wa Kenya amethibitisha taarifa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (CDF) Francis Ogolla amefariki dunia...

READ MORE

Waendesha Bodaboda Jiji La Dodoma Wametakiwa Kuithamini Kazi Yao Na Kujijali

WAENDESHA bodaboda jijini Dodoma wametakiwa kuithamini kazi yao na kujijali wenyewe ili kuondoa dhana iliyojengeka kuwa kundi hilo limekuwa likivunja...

READ MORE

Vodacom Yazindua Simu Janja Maalum Itakayowasaidia Wateja Wenye Ulemavu

  Ili kuimarisha ushirikishwaji na kuongeza matumizi ya huduma na bidhaa za kidijitali nchini, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Alakiwa Kwa Shangwe na Mkutano Mkuu Mkubwa Ubaruku, Mbarali

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali,...

READ MORE

Rais Samia Atunukiwa Udaktari Wa Heshima, kutoka Chuo Kikuu cha Ankara, Uturuki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshiriki hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Heshima kutoka Chuo Kikuu...

READ MORE

Miaka 20 Iliyopita Runinga Ilikuwa Ni Ishara ya Utajiri

Ukiniuliza nikutajie idadi ya vifaa vya umeme mashuhuri vilivyokuwa vinatumiwa na Watanzania wengi nyumbani kwa kipindi cha miongo miwili iliyopita...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaguswa Na Athari za Mafuriko Yaliyotokea Kilombero Yatoa Mkono Wa Pole Milion 15

Morogoro-Kilombero, 17 April 2024. Kampuni ya sukari ya kilombero imetangaza ushiriki wake katika kutoa msaada wa kibinadamu kwa jamii inayoishi...

READ MORE

Maelfu Waendelea Kujinyakulia Tiketi Za Tamasha La Hadhi Ambalo Diamond Atapaform

Maelfu waendelea kujinyakulia tiketi za tamasha la vibe bites ambalo msanii mkali wa Bongo Fleva wa hapa nchini Diamoind Platniumz...

READ MORE

Rais Samia alivyowasili uwanja wa Ndege wa Ankara Esenboga Uturuki kwa ajili ya Ziara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Dkt Samia Suluhu Hassan yupo nchini Uturuki kwa ajili ya Ziara...

READ MORE

Video: Nyumba Zabomolewa Kimakosa Arusha, Rais Samia Aitwa, Kaya saba Zakosa Makazi

Mwanamama Frida Nicholaus, mkazi wa Arusha ameangua kilio akimuomba Rais Samia, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lasema Wadudu OG wa Arusha Siyo Wahalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linao wajibu wakisheria wa kuwalinda raia na mali zao huku likibainisha kuwa limepokea...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Awatembelea Waathirika wa Mapolomoko Mlima Kawetele, Mbeya

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akimkabidhi mmoja wa waathirika na maporomoko fedha Tsh. Mil 10...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Athari Za Maafa Rufiji mkoani Pwani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji...

READ MORE