×

Habari

Balozi Dkt. Nchimbi Azindua Kiwanda Cha Mwekezaji ‘Tanga Cable’

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Chama hicho kitaendelea kusimamia Sera yake itakayohakikisha kuwa...

READ MORE

Vyama vya Afrika Kusini vyakutana kujadili serekali ya umoja wa kitaifa

Vyama vya upinzani vya Afrika Kusini vimekutana Ijumaa na vitaendelea na mazungumzo hadi wiki ijayo kutafakari pendekezo la chama tawala...

READ MORE

Bonasi za Kasino na Mgao wa Tsh 4,750,000 Zinakusubiri! Cheza Expanse Tournament

Unaijua Milioni 4,750,000/= wewe, pesa hii unaipata kirahisa tu kwa kucheza michezo ya Expanse inayopatikana Meridianbet kasino ya Mtandaoni, promosheni...

READ MORE

Rais Dkt.Samia ashiriki Mkutano Maalum wa 23 wa Wakuu wa Nchi Wanachama EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano Maalum wa 23 wa Wakuu wa Nchi Wanachama...

READ MORE

Wananchi Wazidi Kunufaishwa na Zigo La Euro na Hisense Ya Tigo

Dar es Salaam 7 Juni 2024: Wanachi wazidi kuneemeshwa wamezidi kuneemeshwa na Kampeni ya Zigo la Euro na Hisense inayoendeshwa...

READ MORE

Umati Mkubwa Wafurika Mkesha wa Kiboko ya Wachawi Buza, Dar

Dar es Salaaam 7 Mei 2024: Mkesha mkubwa unaofanyika usiku huu kwenye Kanisa la Nabii Domonic maarufu Kiboko ya Wachawi...

READ MORE

Balozi Nchimbi Asimamishwa Hedaru, Asisitiza Umoja wa Kitaifa

Msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo Ijumaa Juni 07, 2024 akiwa...

READ MORE

Tamasha La Utamaduni Na Utalii Kanda Ya Ziwa Lazinduliwa Dar

Dar es Salaam 7 Mei 2024: Tamasha kubwa la kimataifa la utamaduni na utalii linalojulikana kama Lake Zone Cultural and...

READ MORE

Safari za Treni zifike Hifadhi ya Saadan ili kuongeza Utalii

MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian, ameishauri Hifadhi ya Taifa ya Saadani kuangalia uwezekano wa kuwasiliana na Shirika...

READ MORE

Taharuki Kwa Wakazi Wa Tungutungu Mapinga – Wazimia Baada Ya Nyumba Zao Kupigwa X

WAKAZI wa Tungutungu Kata ya Mapinga Wilaya ya Bagamoyo leo Juni 7, 2024 wamejikuta kwenye taharuki kubwa na wengine wakipoteze...

READ MORE

Wanawake Wachapana Makonde Sokoni Kisa Mwanaume

Katika hali ya kutatanisha, wanawake wawili katika Mji wa Nyeri nchini Kenya, Aisha Wanjiru na Ivana Wangui, wameingia kwenye vichwa...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aongoza Mkutano wa Ndani Wa Wanachama na Viongozi wa CCM, Same

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano wa ndani na Wanachama na...

READ MORE

Nchimbi Awasili Tanga, Kuhitimisha Mikoa 5

Matukio mbalimbali katika picha wakati Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi alipowasili na kupokelewa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ataka Uwiano Sawa Wa Walimu Kati Ya Mijini Na Vijijini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Elimu na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini wafanye mapitio ya ikama zao kuangalia mlundikano...

READ MORE

Azam Yathibitisha Kumsajili Mshambuliaji Adam Adam kwa mkataba wa mwaka mmoja

Klabu ya Azam fc imethibitisha kumsajili mshambuliaji Adam Adam kwa mkataba wa mwaka mmoja kutoka Mashujaa Fc. Adam ambaye anarejea...

READ MORE

TEMESA Yasitisha Huduma za Kivuko cha MV. Kigamboni

Huduma zote za Kivuko cha MV. Kigamboni kinachovusha Abiria kati ya Magogoni Kivukoni na Kigamboni zimesitishwa kuanzia Juni 7, 2024,...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi na Uhamisho wa Viongozi, Petro Magoti Ateuliwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Petro Magoti Itozya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akichukua nafasi ya Fatma Almas Nyangasa...

READ MORE

Rais Samia Amteua Zuhura Yunus kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Zuhura Yunus kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye...

READ MORE

TAREA Yaomba Serikali Kupitia Upya Sera Ya Nishati

JUMUIYA ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA) imeiomba serikali kupitia Wizara ya Nishati kufikiria kupitia upya Sera ya Nishati...

READ MORE

Sahara Consult And The Mastercard Foundation EdTech Fellowship Reveal The First Cohort Of 10 Start-ups Set To Transform Tanzania’s Education Sector

Dar es Salaam, Tanzania – June 7, 2024 – Sahara Consult has named the 10 homegrown Tanzanian EdTech companies that...

READ MORE

Dk.Nchimbi Aweka Historia Mwanga-Kilimanjaro

Melfu ya  Wananchi wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro wamejitokeza kwa wingi kumpokea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Waziri Silaa Azuia Utapeli Eneo la NSSF

*Ni baada ya NSSF kuweka mtego wa kuwakamata matapeli hao *Walitaka ‘kumpiga’ Mama milioni nane, wakaishia mikononi mwa polisi Waziri...

READ MORE

Msafara wa Dkt. Nchimbi Wasimamishwa Himo-Moshi

Mamia ya Wananchi wa wamejitokeza kwa wingi kumpokea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel pamoja na...

READ MORE

Samsung, Watu Simu Waungana Kuwawezesha Wananchi Kupata Simu Kwa Mikopo Nafuu

Katika jitihada za kuongeza matumizi ya simu janja, Samsung Electronics East Africa imeungana na Watu Simu kuzindua kampeni inayojulikana kama...

READ MORE

Waziri Silaa Azuia Utapeli Eneo La NSSF, Walitaka ‘Kumpiga’ Mama Milioni Nane

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amempa siku 14 Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Msemaji Mkuu wa Serikali Afunguka Ziara Ya Rais Samia Korea – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi, leo Juni 6, 2024 amefanya mahojiano na...

READ MORE

Chama tawala Afrika Kusini Chawasiliana na Wapinzani Kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress (ANC) Jumatano kilisema kimewasiliana na wapinzani ili kuunda serikali ya umoja...

READ MORE

Zuhura Yunus Na Viongozi Wengine Wazungumza kuhusu Ziara ya Rais Samia Korea – Video

Mkurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus pamoja na Viongozi wengine wa Serikali wakizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 6, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

GGML inavyoshirikisha wazawa katika uchimbaji endelevu wa madini

  Na Mwandishi Wetu Msukumo wa serikali wa kushirikisha wazawa katika mnyororo wa fursa kwenye sekta ya madini umezidi kuleta...

READ MORE

Wale Jamaa wa 666 Jiunge Na Chama Huru Cha Freemason, Tunarudisha Mke Waburutwa Kisutu

WAKAZI 12 wa Sumbawanga Mkoani Rukwa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la...

READ MORE

Balozi Dk. Nchimbi Alivyoongoza Mkutano wa Ndani na Wananchama wa CCM Kilimanjaro

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama wa CCM, wawakilishi wa...

READ MORE

Tigo Yatambulisha ‘Sako Kwa Bako’ Kwa Upatikanaji Wa WhatsApp Bila Malipo

Dar es Salaam, Juni 6, 2024 – Tigo, kampuni inayoongoza nchini Tanzania ya maisha ya kidijitali, inajivunia kutangaza uzinduzi wa...

READ MORE

Sherehe Ya Ukuaji Wa Ecobank Tanzania Ulioambatana Na Mafanikio Ya Ecobank Group

Dar es Salaam, June 2024 – Ecobank Tanzania inayo furaha ya kutangaza ukuaji na mafanikio yake lukuki katika mwaka wa...

READ MORE

Korea Yatoa Bilioni 422 Ujenzi wa Hospitali ya Binguni

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Shilingi bilioni 422.16 kwa ajili...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Biashara katika Hoteli ya Lotte Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 5, 2024 pamoja na Viongozi mbalimbali wameshiriki Mkutano...

READ MORE

Maagizo ya Dr Nchimbi Kuhusu Boom Tutatekeleza Haraka- Prof Mkenda

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara yake imepokea maelekezo ya Katibu Mkuu wa CCM...

READ MORE

Sitasahau Mume Wangu Alivyotaka Kunipa Talaka Baada ya Kuishi Naye kwa Miaka 17

Jina langu ni Anna, na miezi michache iliyopita, mimi na mume wangu tulikaribia kutengana. Iliniogopesha sana kwa sababu nilimpenda sana....

READ MORE

Mama Mwenye Watoto 11 Amuomba RC Makonda Msaada Ili Aweze Kimudu Kuwahudumia Watoto

Mama mwenye watoto 11 mkazi wa kata ya Mateves halmashauri ya Arusha, Wilaya ya Arumeru amemuomba Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE