×

Habari

Samsung Tanzania Yaunga Mkono Serikali Ueneaji wa Matumizi ya Simu Janja Nchini

Kwa mujibu wa ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Watanzania wengi zaidi wamehamia kwenye matumizi ya vifaa vya kisasa...

READ MORE

Dankidanki Auawa Na Kukatwa Sehemu nyeti Kwa Kosa La Kumlawiti Mgonjwa – Video

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Wakudankidanki, mkazi wa Kinondoni Shamba, mwishoni mwa wiki iliyopita alifanya kitendo cha kinyama...

READ MORE

Mchengerwa: Nitavunja Mabaraza ya Madiwani Yenye Mivutano inayokwamisha Maendeleo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amesema atavunja mabaraza ya madiwani...

READ MORE

Waziri Ummy Apiga Marufuku Uuzaji Wa Dawa Ya Amoxicillin Kwa Watoto

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa onyo kwa baadhi ya wahudumu wa afya wanaouza dawa za Amoxicillin DT kwa watoto...

READ MORE

Video: Maelfu ya raia nchini Iran Wauaga Mwili wa Aliyekuwa Rais wa nchi Hiyo

Maelfu ya raia nchini Iran wamelizunguka Jeneza lililokuwa limeubeba mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi aliyefariki Dunia...

READ MORE

Tigo Hakupoi, Yaja Na Jipya: Sako kwa Bako

Afisa mkuu wa Biashara wa Tigo, Isaack Nchunda, akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa kampeni mpya ya Tigo iitwayo ‘Sako kwa...

READ MORE

Bolt Yajipanga Kuvutia Makampuni na SME Kwa Safari Zilizoratibiwa Hadi Kabla ya Siku 90

Katika hatua ya kujibu maoni ya wateja, kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa njia ya mtandao, Bolt imejipanga kupanua...

READ MORE

Vodacom Yaahidi Kuwekeza Zaidi Katika Maswala Ya Uvumbuzi

Kampuni ya Vodacom Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za ubunifu wa aina mbalimbali unaofanywa nchini Tanzania. Ahadi hiyo imetolewa...

READ MORE

Kenya Yatetea Gharama ya Ndege kwa Safari ya Rais Ruto Marekani

Serikali ya Kenya imetetea gharama ya safari ya Rais William Ruto nchini Marekani. Bei ya kukodisha ndege ya kibinafsi ya...

READ MORE

Tanzania yafungua milango ya ushirikiano na Indonesia katika Sekta ya Maji

Waziri wa Maji Tanzania, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ambaye yuko nchini Indonesia kumwakilisha Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Heineken Yatangaza Jarida Mpya Nchini Tanzania Kufuatia Kununua Kampuni Ya Distell Na Namibia Breweries

Dar es Salaam, Tanzania, Mei 22, 2024 – Kampuni inayoongoza duniani ya kutengeneza vinywaji, Heineken, leo imetangaza rasmi kuzindua rasmi...

READ MORE

Tigo, Parimatc Na Hisense Tanzania Waja Na Mchongo Wa Kusisimua “Zigo la Euro Cup Na Hisense”

Dar es Salaam, Mei 21, 2024 – Tigo Tanzania, Kampuni ya mtandao wa simu hapa nchini ya Tigo kwa kushirikiana...

READ MORE

MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili...

READ MORE

”Amazing Tanzania” Yawashangaza Wengi Guangzou, Wachina Kuanza Kumiminika Tanzania

Maadhimisho ya Miaka 60 kati ya Tanzania na China katika sekta za Utalii na Utamaduni yaliyoambatana na Misafara ya Kutangaza...

READ MORE

Kuboresha Malipo ya Ada za Shule: Benki ya Exim Yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Katika juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’...

READ MORE

Waziri Mkuu, Nape Wakoshwa na Banda la Global TV katika kongamano la Wanahabari wa Mitandao (JUMIKITA) – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya…

READ MORE

Mtu mmoja afariki baada ya ndege ya Singapore Airlines kukumbwa na msukosuko

Abiria mmoja amefariki na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa kwenye ndege ya shirika la ndege la Singapore kutoka London kuelekea...

READ MORE

Iran yatangaza siku tano za maombolezo ya kifo cha rais wake

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ametangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa nchi hiyo, Ebrahim...

READ MORE

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaamua Zuma hawezi kuwania ubunge

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini imesema rais wa zamani Jacob Zuma anayekabiliwa na kashfa ya ufisadi hastahili kuwania ubunge...

READ MORE

Kanisa La Ubungo TAG Yaiboresha Ofisi Ya Serikali Za Mitaa National Housing

Kakika Kuadhimisha miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God ni Kanisa lililotokana na uamsho mkubwa ulioanza huko mtaa...

READ MORE

Benki ya NMB Yapata Idhini Kuwa Wakala wa Madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam

Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA)...

READ MORE

Aweso ashiriki kupitisha Azimio la Mawaziri la Kongamano la 10 la Maji Duniani

  Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani katika Kongamano la 10 la Maji Duniani (10th World Water Forum) ambalo limepitisha...

READ MORE

EQUITY Bank Yazindua Dirisha La Wanawake Liitwalo Mwanamke Plus

BENKI ya Equity imezindua Dirisha la Wanawake – Mwanamke Plus ambalo ni mpango maalum unaolenga kuwainua wanawake katika sekta ya...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ataka Maofisa Utumishi Kuacha Uonevu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu...

READ MORE

Milion 2.5 Kushindaniwa Meridianbet Kasino Mtandaoni

Expanse Tournament kasino moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kibao kama bonasi za kasino, mizunguko...

READ MORE

Rais wa Iran Ebrahim Raisi Afariki Dunia Katika Ajali ya Helikopta

Rais wa Iran Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali...

READ MORE

Mtu mmoja afariki dunia katika ajali ya msafara wa rais Ghana

Mtu mmoja amethibitishwa kufariki huku wengine wakipata majeraha tofauti tofauti kufuatia ajali iliyohusisha magari kadhaa ya msafara wa Rais Nana...

READ MORE

CCM Yamteua Suzan Kunambi, Kuwa Katibu Mkuu Wa Jumuiya Ya Wanawake (UWT)

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha Khamis Yussuf Mussa (Pele) kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mdogo...

READ MORE

Tanzania Yang’ara Ajenda Ya Maji Kwa Ustawi Wa Wote, Aweso Atoa Kauli

  Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amemuwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Helikopta Iliyombeba Rais wa Iran Yapata Ajali, Juhudi za Kuitafuta Zapamba Moto

Helikopta iliyokuwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi imeripotiwa kupata ajali leo Jumapili, Mei 19, 2024 Mashariki mwa Azerbaijan. Shirika...

READ MORE

Mashindano ya CAF African Schools Football Championship Kutimua Vumbi Zanzibar

Msimu wa pili wa fainali za mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu kwa wanafunzi Africa, CAF African Schools Football...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Aongoza Kikao Cha Kamati ya CCM Zanzibar

Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum...

READ MORE

Mshindi wa Tuzo ya Nobel aliye gerezani Iran akabiliwa na kesi mpya

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Iran aliyefungwa gerezani, Narges Mohammadi, anakabiliwa na kesi mpya kuhusu tuhuma alizotoa...

READ MORE

Serikali Kuongeza Shule Za Sekondari Kidato Cha Tano Na Sita

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba (Mb) Serikali imefanya jitihada...

READ MORE

RC Makonda Aagiza Takukuru Kufanya Uchunguzi Tuhuma Za Rushwa Kwa Watumishi Wa Jiji La Arusha – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Arusha...

READ MORE

Kamati 115 Zaundwa Kufuatilia Ukatili Wa Kijinsia

Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imeunda kamati maalumu 115 za kufuatilia kwa karibu viashiria na kukomesha matukio ya ukatili...

READ MORE

Msaada wa Vyakula Watolewa na Meridianbet Chamazi

Jumamosi ya leo Meridianbet wametua pale Chamazi Magengeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wakazi wa hapo hasa kwa...

READ MORE

Watu 9 wafariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Kenya

WATU tisa wamethibitishwa kufariki baada ya basi walimokuwa wakisafiria kutumbukia kwenye mto Mbagathi uliopo jijini Nairobi, vimeripoti vyombo vya habari...

READ MORE