×

Habari

Benki ya NBC Yaitambulisha Rasmi ‘NBC Connect’  Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya...

READ MORE

Meridianbet Yafikia Makubaliano na Nasdaq Marekani

Umepita Mwaka mmoja tangu yafanyike makubaliano ya maridhiano ya kibiashara kati ya Meridianbet na Golden Matrix Group, ilikuwa ni Januari...

READ MORE

NMB Yazindua Akaunti ya Uwekaji Kifuta Jasho Kidijitali kwa Wajasiriamali

BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu...

READ MORE

Chama Cha Msalaba Mwekundu Na EXIM Bank, Wapanda Miti Na Kuchangisha Damu

Dodoma, 11th May 2024: Exim Bank imeshirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) pamoja na Mpango wa Damu Salama...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Mkunda Akutana na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la...

READ MORE

NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’, Yakabidhi Trekta kwa Mshindi

 BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha msimu wa tatu wa kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ maalum kwa...

READ MORE

Watu watatu wamefikishwa mahakama ya London kwa kusaidia ujasusi

Watu wote kutoka kusini mashariki mwa Uingereza walikamatwa mwezi huu na kushtakiwa kwa uingiliaji wa kigeni Watu watatu walifikishwa katika...

READ MORE

TRA, ZRA Zaweka  Mikakati ya Kuimarisha Utendaji Kazi

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani...

READ MORE

NBC Yazindua Kadi Uanachama Msalaba Mwekundu, Dkt Biteko Aguswa na jitihada zake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi Sekondari Ya Mbeya Girls

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mbeya (Mbeya Girls) na...

READ MORE

Kukosekana Kwa Intaneti Shida Ni Mkongo Wa Baharini

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amesema kukosekana kwa huduma ya Mtandao wa...

READ MORE

Putin Amuondoa Sergei Shoigu kama Waziri wa Ulinzi wa Urusi

Rais wa Urusi Vladimir Putin amemuondoa mshirika wake wa muda mrefu Sergei Shoigu kama waziri wa ulinzi katika mabadiliko aliyoyafanya...

READ MORE

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Afunga Maadhimisho Juma la Elimu Kitaifa

Sehemu ya wanafunzi toka sshule za msingi na Sekondari wakiwa kwenye maandamano ya kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada Siku Ya Mama Duniani mji mwema Kigamboni

Kauli pekee ambayo unaweza kutumia ni kua furaha imetawala siku ya kina Mama duniani eneo la Kigamboni, Kwani mabingwa wa...

READ MORE

Kassim Majaliwa: Michezo Ni Afya na Fursa Ya Ajira, Afunga hafla ya Tulia Marathon Mbeya

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa...

READ MORE

Boing787 Dreamliner ya ATCL Iliyoko Malaysia Kurejea Junia 2024

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inaujulisha umma kuwa taarifa inayosambaa kuhusu ndege yake aina ya Boeing 787- 8 yenye usajili...

READ MORE

Bibi Maligo Daimon Akabidhiwa Nyumba ya Kuishi na Taasisi ya Tulia Trust

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepongeza Bibi Maligo Daimon baada ya kukabidhiwa Nyumba ya kuishi na Chakula na Taasisi isiyo ya...

READ MORE

Rais Samia Kuhutubia Jukwaa La Nishati Safi Ya Kupikia Paris, Ufaransa Mei 14

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuendesha Mkutano wa Kimataifa wa Nishati safi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Mbio Za Mbeya Tulia Marathon 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na...

READ MORE

ATCL Yakanusha Taarifa Inayosambaa Kwenye Mitandao Kuhusu Ndege Yake Ya Boeing 787- 8

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu ndege yake aina ya Boeing 787- 8...

READ MORE

Waziri Nape Ahudhuria Ibada Maalum Ya Mwaka Mmoja Wa Kifo Cha Hayati Bernad Membe

Dar-es-Salaam, 11 Mei 2024: Ikiwa ni mwaka mmoja tangu kufariki kwa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe hapa nchini, Hayati Benard Membe, Waziri...

READ MORE

TLS Kusimamia Upatikanaji wa Sheria na Punguzo la Tozo Asasi za Kiraia

TLS Kusimamia upatikanaji wa sheria  na Punguzo la Tozo Asasi za kiraia   Morogoro.Chama cha wanasheria Tanganyika TLS kupitia kwa...

READ MORE

Marekani na Tanzania Zaandaa Kwa Pamoja Kongamano la Intelijensia ya Kijeshi

Kamandi ya Afrika ya Jeshi la Marekani (AFRICOM) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliandaa kwa pamoja...

READ MORE

Ushirikiano wa Mfuko wa Abbott na Wizara ya Afya Kwenye Tiba ya Dharura Ulivyookoa Maisha ya Watanzania

Miaka 14 tu iliyopita, Tanzania haikuwa na hospitali hata moja yenye kitengo maalumu cha kutoa huduma za tiba ya dharura...

READ MORE

Mbio Za Tulia Ackson 2024 Zilivyonoga Jijini Mbeya, Tigo Nao Washiriki

Mkuu wa Mkowa wa Mbeya, Juma Omera (mwenye miwani) kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, MwanaFA...

READ MORE

Waziri Jerry Silaa Awapa Siku 30 Wasiolipa Kodi Ya Pango La Ardhi – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ametoa siku thelathini (30) kwa wamiliki wote wa ardhi wanaodaiwa...

READ MORE

Harry na mke wake Meghan Waanza Ziara ya Siku Tatu nchini Nigeria

Mwanamfalme Harry na mke wake Meghan wamewasili nchini Nigeria kwa ziara ya siku tatu. Hii ni safari yao ya kwanza...

READ MORE

RC Makonda Awataka Wakuu Wa Wilaya Kutenga Siku Tatu Za Kusikiliza Kero Za Wananchi Kwenye Maeneo Yao

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa Missaile Albano Musa kuwaandikia barua rasmi ya kuwataka...

READ MORE

RC Malima awataka wanahabari Morogoro kuwa Mabalozi wa Utalii

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari mkoani humo kuwa mabalozi wa utali Kwa kuandika Habari na makala mbalimbali...

READ MORE

Tajirika na Meridianbet Kasino| Cheza Promosheni Hii

Kimbunga Hiadaya kilikuja na madhara makubwa sana katika maeneo ya ukanda wa pwani hususani Lindi, lakini Kimbunga cha Meridianbet Kasino...

READ MORE

Wananchi Wasisitizwa Kutunza Vyanzo Vya Maji

Mwananchi wasisitizwa kulinda vyanzo vya maji Bodi ya maji Bonde la Wami Ruvu imeendelea kusisitiza wananchi kuacha kufanya shughuli za...

READ MORE

Soma Msimamo wa CCM Kuhusu Mikopo Kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Siku chache baada ya Mbunge wa Bunda Vijijini (CCM), Mwita Getere kutoa hoja bungeni iliyozua mjadala mzito akipendekeza Wanachuo waondolewe...

READ MORE

RC Makonda Aahidi Kumjengea Nyumba ya Vyumba Viwili Bibi Penina Petro – Video

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameahidi kumjengea nyumba ya vyumba viwili bibi Penina Petro (70) Mkazi wa Kijiji...

READ MORE

Washindi promosheni ya Twenzetu Dubai na Parimatch wapatikana, kupaa Jumatatu kwenda Dubai

Washindi wawili wa promosheni ya Twenzetu Dubai na Parimatch inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch wamepatikana na...

READ MORE

Mabaki ya Panya Yapatikana Kwenye Mkate, Kampuni Yatoa Agizo

Kampuni moja inayotengeneza mkate maarufu nchini Japani imetoa agizo la kurejeshwa kwa mikate elfu kadhaa na wateja kurejeshewa pesa zao...

READ MORE

Unayeitamani Ndoa, Mume Bora Anapaswa Kuwa Hivi!

IJUMAA nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu katika ukurasa wetu huu, tujadiliane na kuzungumza mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.  Leo nataka...

READ MORE

Kiongozi wa kijeshi wa Chad ashinda uchaguzi wa urais

Mtawala wa kijeshi wa Chad Mahamat Déby ametangazwa mshindi rasmi wa uchaguzi wa urais, na hivyo kuhalalisha kushikilia kwake madaraka....

READ MORE

Mbunge Bunda Vijijini Awaomba radhi Wanafunzi Kuhusu ‘Boom’

Mbunge wa jimbo la Bunda Vijijini Mwita Getere amewaomba radhi wanavyuo wote ambao waliguswa na kauli yake ya kwamba wapo...

READ MORE

Marekani kusitisha usambazaji wa baadhi ya silaha kwa Israel iwapo itaendelea na uvamizi Rafah

Rais Biden anaonya kuwa ataacha kusambaza baadhi ya silaha iwapo Israel itaanzisha operesheni ya ardhini. Rais Joe Biden ameionya Israel...

READ MORE