×

Habari

Mnadhimu Mkuu Wa JWTZ Amkabidhi Zawadi Rais Wa Baraza La Michezo Ya Majeshi Duniani

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Salum Haji Othman amemkabidhi zawadi Rais wa...

READ MORE

Mshindi Parimatch Kitaa Cup 2024 Kupata Zawadi Nono

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch imezindua  michuano maalum ijulikanayo kwa jina la Parimatch Kitaa Cup 2024 yenye lengo...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Pugu Marathon

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 18, 2024 ameshiriki kwenye Mbio za Hisani za Pugu (Pugu Marathon) za kuchangia Uendelezaji...

READ MORE

Mamia Wafunguliwa Kimiujiza Kwa Kiboko Ya Wachawi, Simu Zajaa Miamala Ghafla, Wengine Waitwa Kazini

Amini usiamini ushirikina upo na uchawi upo na binaadamu tunafungana saana kiuchawi. Umati mkubwa wa waumini uliofurika kanisani kwa Kiboko...

READ MORE

NMB ‘Yafunga Ndoa’ Na Wanawake Wanaomiliki Shule, Vyuo Tanzania

BENKI ya NMB imeingia makubaliano rasmi (MoU) na Chama cha Wanawake Wamiliki wa Shule na Vyuo Tanzania (TAWOSCO), yaliyosainiwa sambamba...

READ MORE

Jenerali Mahamat Idriss Deby ameshinda uchaguzi wa rais nchini Chad

Baraza la Katiba lililotangaza ushindi huo pia lilikataa ombi lililotolewa na Waziri Mkuu Succes Masra la kutaka kufutwa matokeo hayo....

READ MORE

NBC Yazindua Bima ya Afya kwa Wakulima, Yatambulisha Kampeni ya Kuhamasisha Kilimo cha Ufuta Lindi na Mtwara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya...

READ MORE

Wiki ya Sekta Binafsi Tanzania 2024 Imewadia! 

Ni wakati mwingine wa kusherehekea na kutambua mchango wa Sekta Binafsi katika katika kujenga uchumi wa Taifa letu tukio hili...

READ MORE

Majaliwa: Michezo Ni Nyenzo Muhimu Inayodumisha Amani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika...

READ MORE

Meridianbet Promosheni Ya Expanse Inatoa Tsh 400,000,000/= Cheza Kasino Na Ushinde!

Maokoto yameongezeka kwenye promosheni ya Expanse inayoendelea kutimua vumbi kupitia Meridianbet Kasino ya mtandaoni, mpaka sasa washindi wanaweza kujinyakulia kitita...

READ MORE

TMA Yatoa Taarifa ya Uwepo wa Kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa...

READ MORE

RC Makonda Amuomba Rais Wa Zanzibar Kushirikiana Katika Sekta Ya Utalii – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, amemuomba Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kushirikiana...

READ MORE

Waziri Ndejembi Atoa Onyo Kwa Waajiri Wasiowasilisha Michango ya Wafanyakazi Wao NSSF

Serikali imesema haitawavumilia waajiri wote wa sekta binafsi ambao wanakata michango ya wafanyakazi wao bila kuiwasilisha katika Mfuko wa Taifa...

READ MORE

Dkt. Msonde Akutana Na Walimu Zaidi Ya 1,900 Karatu, Ataja changamoto Kuu 6 zinazowakumba

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dr. Charles E. Msonde amekutana na walimu...

READ MORE

Kutoka Simu Janja Mpaka Runinga, Umuhimu wa Usalama wa Taarifa Zako Mitandaoni

Nani alishawahi kufikiria kwamba itafika siku ambayo vile unavyolinda simu yako dhidi ya uhalifu wa mtandaoni ndivyo itakavyokuja kuwa sawa...

READ MORE

Mwanamke wa Marekani atuhumiwa kuiba vitambulisho ili kuwapa kazi Wakorea

Waendesha mashtaka wa Marekani wamemshutumu mwanamke wa Marekani kwa kuwasaidia Wakorea Kaskazini kupata kazi nchini Marekani wakiwa mbali na kisha...

READ MORE

Kassim Majaliwa: Tanzania Imepiga Hatua Kwenye Mawasiliano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia...

READ MORE

Serikali ya Rais Samia Yaishukuru Canada Kwa Misaada Inayotoa

Tanzania imeishukuru Canada kwa misaada inayotoa kwa Serikali ambayo imekuwa ikiunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Anadi Utamaduni Wa Tanzania China

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ametoa rai kwa watanzania waishio nje ya nchi kutangaza Utamaduni wa...

READ MORE

Benki Ya CRDB Yamkabidhi RC Makonda Pikipiki 20 Kuimarisha Usalama

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amekabidhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda jumla ya Pikipiki...

READ MORE

Jukwaa Sekta ya Madini Kufanyika Arusha Mei 22

  JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024...

READ MORE

Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Apokea Misaada Ya Waathirika Wa Mafuriko Kutoka Kwa Wadau

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mh. Dadi Harace Kolimba amepokea misaada ya vitu mbalimbali kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo...

READ MORE

Roboti Eunice Awa Gumzo Mitandaoni, Awakaribisha wageni Bungeni

Miongoni mwa mambo yaliyokuwa kivutio kikubwa nje ya Ukumbi wa Bunge asubuhi ya leo, ilikuwa ni uwepo wa roboti Eunice...

READ MORE

Shigongo: Mkitupa Ruzuku Mtatufunga Midomo, Kwa Nini TBC Ishindane Na Private Kwenye Matangazo – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema vijana wengi wa Kitanzania wana vipaji vikubwa vya ubunifu lakini wanakosa mitaji na kusisitiza...

READ MORE

Waziri Nape Awasilisha Makadirio Ya Bajeti Wizara Ya Habari – Video

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema serikali imedhamiria kuleta mapinduzi ya Kidigitali kupitia Mpango wa...

READ MORE

Amazing Tanzania Yazinduliwa Kwa Kujaza Mastaa Beijing Opera House

Nyota wa filamu nchini China Jin Si Sui, akijulikana zaidi kwa jina la Jin Dong, ambaye ndiye mgeni mashuhuri katika...

READ MORE

Mwili Wakutwa na Silaha Bila Kibali Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili Nerbat Mwasile (33) Mkazi wa Ifumbo na Isaya Julias Zumba (38) Mkazi...

READ MORE

TENMET Wachanga Zaidi ya Mil 18.6 Kutatua Changamoto Za Elimu, Geita

Mwenyekiti wa Bodi ya wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TenMeT), Bi. Faraja Nyalandu akitoa hotuba yake kwenye kilele cha Madhimisho ya Juma...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Slovakia Apigwa Risasi Mashariki Mwa Bratislava

Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico anapambania maisha yake hospitalini baada ya kupigwa risasi katika mji mdogo kaskazini-mashariki mwa Bratislava....

READ MORE

Wakulima Wa Chai Nchini Kuwezeshwa Na Benki Ya Azania Kupitia Akaunti Maalum

Benki ya Azania hii leo imetiliana saini na Chama kilele cha Ushirika wa Wakulima wa Chai, TASTGCU, mkataba ambao Benki...

READ MORE

App Ya Kisasa Kabisa Ya Kufanya Miamala ‘Super App’ Yazinduliwa Na Tigo

Kadili siku zinavyozidi kusonga ndivyo teknolojia nayo inavyozidi kushika kasi na hapo ndipo Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo...

READ MORE

Hatifungani ya Kijani ya Tanga UWASA Yasajiliwa Rasmi Soko la Hisa

    Hatifungani ya Kijani ya Miundombinu ya Maji Tanga inayosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga...

READ MORE

PSSSF Yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania Jinsi ya Kuwasilisha Nyaraka Kidijitali

  MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo ya namna ya kuwasilisha madai kupitia mifumo ya...

READ MORE

Waziri Ndejembi Atembelea OSHA, Asisitiza Uwekezaji Zaidi Katika TEHAMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi amefanya ziara katika Ofisi za...

READ MORE

Jeshi la Polisi, PSSSF Wawajengea Uwezo Maafisa Namna ya Kushughulikia Mafao Kidigitali

KAMISHNA wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali watu, CP. Suzan Kaganda Mei 13, 2024, Jijini Dar es Salaam, amefungua mafunzo...

READ MORE

Vodacom kuwarejesha Vifurushi Wateja Waliokosa Huduma ya Intaneti Tangu ilipokatika

Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania imesema imefanikiwa kurejesha Mawasiliano yote ikiwemo Huduma ya...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali, Tume ya Utumishi, TADB, TCB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Viongozi kama ifatavyo:-

READ MORE

Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB...

READ MORE

Rais Biden Atangaza Ongezeko la Ushuru kwa Magari ya Umeme ya China

Katika juhudi za kufufua viwanda vya ndani, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne kwamba anaweka ongezeko kubwa la ushuru kwa magari...

READ MORE

Rais Samia Afanya mazungumzo na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron – Video

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron katika...

READ MORE