×

Habari

Makonda Amtembelea Askofu Dkt Malasusa, Amhakikishia Viongozi Wa Kiroho Kumwombea Rais Samia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Taifa, Ndugu Paul Christian Makonda amemtembelea Mkuu wa Kanisa la Kiinjili...

READ MORE

Fao La Huduma ya Utengamao Kuongeza Faraja: Prof. Ndalichako

SERIKALI kupitia Mfuko wa Fidia kwa Wafanmyakazi (WCF) imetangaza Fao jipya la Huduma ya Utengemao wa Kijamii (Social Rehabilitation) kwa...

READ MORE

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi, maambukizi mapya yashuka

NA MWANDISHI WETU Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Azindua Programu ya Nishati safi ya Kupikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia...

READ MORE

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

NA MWANDISHI WETU Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi...

READ MORE

Mbunge Mahawanga Awaonya Wanawake Na Mikopo Ya ‘Kausha Damu’, Awapongeza Wanavicoba

Dar es Salaam Mbunge wa Wanawake mkoa wa Dar es Salaam, Janeth Elius Mahawanga amewaonya wanawake na watu wengine wanaoona...

READ MORE

Wahitimu 15 Shahada ya Udaktari HKMU Wapewa Neno

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha...

READ MORE

Azam Media Yavunja Ukimya Tuhuma Ya Rushwa Iliyotolewa Na Mwigizaji Shija, Yatoa Tamko Hili Zito – Video

Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigizaji na mtengeneza filamu,...

READ MORE

Tanesco Yatangaza kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa

Shirika la Umeme (Tanesco) limetangaza taarifa ya kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa, hatua itakayosababisha...

READ MORE

#Exclusive: Haya Ndiyo Maisha Halisi Ya Loveness – Anavaa Khanga Na Kupika Dikodiko – “Mimi Ni Pisi”

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika. Global TV imefanya...

READ MORE

UAE yatangaza ufadhili wa dola bilioni 30 kutafuta muarubaini wa mabadiliko ya hali ya hewa

Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan amesema uhaba wa ufadhili umekuwa ni suala linalodumaza uchukuaji wa hatua kuhusu mabadiliko ya...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Kuzindua Programu ya Nishati safi ya Kupikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia...

READ MORE

Daktari Mdogo Kuliko wote HKMU atoa Neno Kuhitimu Akiwa na Umri Mdogo

MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki...

READ MORE

Kampuni ya Vivo Energy Yawakumbuka Wanafunzi Wenye Uhitaji Sekondari Ya Jangwani

Dar es Salaam, 1 Desemba 2023: Kampuni ya mafuta ya Vivo Energy inayomiliki vituo vya mafuta vya Engen, leo imefanya...

READ MORE

Harmonize Awafunika Diamond, Mbosso Kusikilizwa Zaidi Boomplay

Wakati mwaka 2023 ukielekea ukingoni, mtandao wa kustream muziki wa Boomplay, umetoa orodha ya wasanii waliofanya vizuri kwa kusikilizwa zaidi...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai

Rais Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai ambapo pamoja na...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa shambani kwake Msoga mkoa wa Pwani

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake kijijini Msoga mkoa wa Pwani...

READ MORE

Kasino ya Shaolin Crew Ndani ya Meridianbet

Taifa la Uchina limebebwa na historia kubwa sana, wengi wanaijua ile Movie inaitwa Shaolin Soccer ilikuwa balaa sana, jamaa walikuwa...

READ MORE

Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally Amfanyia Dua Maalum Makonda – Picha

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023...

READ MORE

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano, TCRA Yaitembelea Global TV

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo Desemba 1, 2023 imetembelea Ofisi za Global TV zilizopo Sinza...

READ MORE

Nigeria Yaridhishwa Na Utendaji Wa Serikali Ya Awamu Ya Sita

Nigeria imeoneshwa kuridhishwa na utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Tanzania Kuwa Mwenyeji Mkutano  wa Kimataifa Kujadili Changamoto za Usonji na Utindio wa Ubongo

Tanzania inatazamiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimatifa unaolenga kujadili changamoto zinazohusiana na usonji na utindio wa ubongo utakaofanyika tarehe...

READ MORE

Dkt. Biteko: Fedha Za Ndani Ziwe Tegemeo Katika Mapambano Dhidi Ya Ukimwi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini...

READ MORE

Kinana: Ni Muhimu Kwa Viongozi Waliochaguliwa Na Kuteuliwa Kuwasikiliza Mabalozi

Makamu Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi (CCM,  Abdulrahman Kinana, amewapongeza mabalozi wote wa jimbo la Rufiji kwa mchango wao mkubwa...

READ MORE

Mwanamke wa miaka 70 ajifungua mapacha Uganda

Mwanamke nchini Uganda mwenye umri wa miaka 70 amejifungua watoto mapacha, daktari wake alisema siku ya Alhamisi, katika kile ambacho...

READ MORE

Athari Za Mirija Ya Uzazi Kushindwa Kufanya Kazi

DK. CHALE SIMU: +255713350084 | IJUMAA | AFYA TATIZO la mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi huitwa Tubal Dysfunction ,...

READ MORE

Tigo Tanzania Yaibuka Mlipakodi Bora Katika Sekta Ya Mawasiliano Tanzania Mwaka 2022/23

Katika Maadhimisho ya Siku ya Kuthamini Walipakodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yaliyofanyika tarehe 24 Novemba Mlimani City na...

READ MORE

Washindi Wa ‘Magifti Dabodabo’ Waanza Kupatiwa Zawadi Zao

Dar es Salaam 1 Desemba 2023: DROO ya kwanza ya kampeni ya ‘Magifti Dabodabo’ imefanyika juzi ambapo washindi 21 wamepatikana...

READ MORE

NBAA Yatoa Milioni 15, Hospitali Ya Muhimbili Kwaajili Ya Watoto Wanaogua Saratani

Dar-es-Salaam, 30 Novemba 2023: Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo Upanga Dar, Dk. Julieth Magandi amepokea...

READ MORE

Ndege ya Kijeshi ya Marekani, Osprey Yaanguka Baharini, Yaua Mtu mmoja

Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine wakiwa hawajulikani walipo baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani, Osprey kuanguka baharini Kusini...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Dubai Kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aagana na Viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa...

READ MORE

Dkt. Tulia Aiagiza Kamati Ya IPU Kushughulikia Mgogoro Wa Israel Na Palestina

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameielekeza Kamati inayoshughulikia Masuala ya Mashariki ya Kati ya...

READ MORE

Polisi Arusha Waja na Mbinu Mpya Kukabiliana Na Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika Mkoa huo ambapo...

READ MORE

Spika wa Bunge la Kenya apiga marufuku mavazi yasiyofaa

Spika wa bunge la Kenya amepiga marufuku kile alichokieleza kuwa mavazi yasiyofaa yanayovaliwa na wabunge, hata kupiga marufuku vazi la...

READ MORE

Bibi Harusi Mtarajiwa, Mama Na Mfanyakazi Wafariki Kwa Ajali Siku Chache Kabla Ya Harusi -Video

Bibi harusi, Rehema Chao mkazi wa Morogoro, amefariki dunia akiwa na mama yake mzazi na dada wa kazi wakati wakielekea...

READ MORE

Mapya Yaibuka, Polisi Wanaodaiwa Kuua Mlinzi Wa Bar Ya Board Room Sinza, Kaimu Kamanda Dsm Aeleza – Video

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumpiga risasi...

READ MORE

Tigo Pesa Na Benki Ya DCB Wazindua Huduma Ya Kibenki Ya Wakala

Dar Es Salaam, tarehe 30 Novemba 2023— Tigo, kwa kushirikiana na DCB Bank Plc, wametangaza kuleta mapinduzi katika sekta ya...

READ MORE

Rais Samia Apokea na kuridhia barua ya kujiuzulu ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea na kuridhia barua ya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha...

READ MORE

#UPDATES: Watu 13 wafariki na wengine 36 Kujeruhiwa baada ya basi la Ally’s Star kugonga treni

Watu 13 wamefariki dunia na wengine 36 wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Ally’s Star lililokuwa likitoka Dar es...

READ MORE