×

Habari

Meridianbet Yaibukia Kijitonyama Kutoa Msaada

Hatimae wakazi wa Kijitonyama jijini Dar-es-salam wamefikiwa na kampuni bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet na hiyo ni...

READ MORE

Serengeti Breweries Kupitia Pilsner Lager Sasa ni Mdhamini Mkuu wa Simba SC

Kampuni inayoongoza ya kuzalisha bia, Serengeti Breweries Limited (SBL), imesaini makubaliano ya miaka mitatu kudhamini Klabu ya Michezo ya Simba...

READ MORE

Petroli Yashuka Kwa Tsh. 7, Dizeli Tsh. 74, Mafuta Ya Taa Yapanda Kwa Tsh. 480 Dar

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za Mafuta zilizoanza kutumika leo Novemba 1,...

READ MORE

Tanzania Yashiriki Maonesho ya Kimataifa ya Japan Tourism Expo

Tanzania imeshiriki kwa mafanikio makubwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Japan (Japan Tourism EXPO 2023), yaliyoanza Oktoba 26,...

READ MORE

Uhusiano Kati ya Misri na Zanzibar ni Mzuri Licha ya Kufunga Ubalozi Mdogo Zanzibar

Serikali imeeleza leo kwamba, Uhusiano kati ya Misri na Zanzibar umeendelea kukua na kuimarika licha ya Serikali ya Misri kufunga...

READ MORE

Mfalme Charles III wa Uingereza awasili Kenya

Mfalme Charles wa tatu na mkewe Malkia Camilla waliwasili nchini Kenya Jumatatu usiku kwa ziara ya siku nne. Wawili hao...

READ MORE

Rais wa Ujerumani Frank-Walter Stainmeier Alivyotua Nchini Kwa Ziara Ya Kikazi – Picha

Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier amewasili nchini Oktoba 30, 2023 kwa ziara ya kikazi ya siku...

READ MORE

NMB Yapata Faida Kabla ya Kodi ya TZS Bilioni 569 Robo ya Tatu ya Mwaka 2023

  Benki ya NMB Yapata Faida Kabla ya Kodi ya TZS Bilioni 569 Robo ya Tatu ya Mwaka 2023, ambao...

READ MORE

Shija Grace Godfrey aachia video mpya “Mimi Nimebarikiwa” – Audio

Msanii chipukizi wa nyimbo za Injili nchini, Shija Grace Godfrey ameachia wimbo wake mpya uitwao, ‘Mimi Nimebarikiwa’ kupitia mtandao wa...

READ MORE

Wanafunzi waaswa kujiepusha na wizi wa mitihani Mwanza

Wakati mitihani ya kitado ya taifa kwa Kidato cha pili na ile ya Kidato cha nne ikitarajia kuanza kufanyika kuanzia...

READ MORE

Naibu Waziri Mwanaidi: Serikali Kuendelea Kujenga Jamii Yenye Usawa Wa Kijinsia

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis amesema Serikali inaendelea kuwekeza na kutekeleza...

READ MORE

Serikali Yamkabidhi Majukumu Spika Tulia Kuhusu IPU

SERIKALI imemtaka Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, kutumia nafasi hiyo kuhakikisha analinda maslahi ya Tanzania...

READ MORE

Shinda Mkwanja Ukicheza God of Coins kutoka kasino ya mtandaoni Meridianbet

Wakati ambao unajiuliza ufanye nini ili bajeti zako ziende sawa, ndio wakati ambao wenzako wanajipigia hela kutoka kasino ya mtandaoni...

READ MORE

Ahmed Ally Afungukua Kuelekea Derby -”Tutampelekea Pumzi Ya Moto, Azam Washamaliza Mwendo”- Video

MENEJA wa Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo. “Mchezo dhidi ya Yanga SC utachezwa...

READ MORE

TADB, BoT Zazindua Programu ya Mafunzo Kuboresha Ukopeshaji Sekta ya Kilimo

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Chuo cha Benki Kuu (BoT Academy) wamezindua programu ya mafunzo...

READ MORE

Jafo, Shirika La Mazingira La Korea Wajadili Teknolojia Ya Usimamia Wa Taka Nchini

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na...

READ MORE

Jinsi Nilivyobaini Kuwa Bosi Wangu Anataka Kuzaa na Mke Wangu na Kumdhibiti

Ama kwa hakika ukistaajabu ya Musa utayaoana ya Firauni, ndivyo waswahili wa hapo kale walipata kusema, ni msemo ambao hadi ...

READ MORE

Miaka 8 ya Halotel, Wateja zaidi ya 1000 Kushinda Zawadi KemKem

    Miaka 8 ya Halotel, Wateja zaidi ya 1000 kushinda zawadi KemKem Dar es Salaam, tarehe 10 Oktoba 2023…...

READ MORE

Shinda Kasino Ukicheza Sloti ya FoxPot

Sloti ya Foxpot Unaweza ukawaza ni wapi hela zinakotoka kwa jinsi ambavyo zinatiririka, usiwaze hiyo ni sloti ya kijanja ya...

READ MORE

Serikali Imevitaka Vyuo vya elimu ya Juu kuandaa Vijana wa Ajili ya Kushiriki Katika Soko la Ajira

Serikali imevitaka vyuo vya elimu ya juu na kati nchini kuandaa vijana kuwa na ujuzi kwa ajili ya kushiriki katika...

READ MORE

Makamu wa Rais Atembelea Banda la Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Njombe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Isdori Mpango ametembelea Banda la Ofisi ya Kamishna...

READ MORE

Kituo cha Masaji Chafungiwa na Serikali, Mmiliki Atozwa Faini

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imechukua hatua kadhaa ikiwemo kukifungia kituo kimoja cha...

READ MORE

Serikali Kuendelea Kuboresha Sekta ya Anga : TCAA

SERIKALI inaendelea kuhakikisha sekta ya anga inafanyiwa maboresho makubwa kwa ununuzi wa ndege, kuboresha viwanja vya ndege na ununuzi wa...

READ MORE

Rais Ajivunia Huduma Za WCF Kwa Wananchi

  WAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, wameridhishwa na huduma zitolewazo na Mfuko...

READ MORE

Waziri Kairuki Aipongeza Tawiri Kwa Zao Jipya La Utalii Wa Kitafiti

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameipongeza Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) kwa zao jipya la...

READ MORE

Rais Samia Atoa Heshima Za Mwisho Msiba Wa Marehemu Zelothe Stephen – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Oktoba 28, 2023 alifika kutoa heshima za mwisho nyumbani kwa...

READ MORE

Wizara ya Fedha Yaziasa Taasisi Kutumia Masoko ya Mitaji

Wizara ya Fedha imeziasa taasisi za umma na binafsi kutumia masoko ya mitaji ili kuchochea uchumi. Akizungumza jijini Dar es...

READ MORE

ACT Wazalendo Washinda kiti cha Uwakilishi Jimbo la Mtambwe

CHAMA cha ACT Wazalendo kimelinda kiti cha uwakilishi jimboni Mtambwe lakini kimelalamikia mbinu chafu za makada wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Baba Amnyonga Mwanaye Kwa Kamba Ya Viatu Na Kupiga Naye Selfie – Aacha Ujumbe Mzito -Video

Mkazi wa Mtaa wa Kota, Kata ya Mlandege Mkoani Iringa, Goodluck Mgovano aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 33 anadaiwa...

READ MORE

Ajali ya basi yaua zaidi ya watu 32 nchini Misri

Basi moja la abiria limegonga gari lililokuwa limeegeshwa barabarani wakati kukiwa na ukungu mwingi mapema Jumamosi kwenye barabara kuu inayounganisha...

READ MORE

Mtoto Warda Mohammed Apatikana Chamazi Dar

Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19,...

READ MORE

Benki ya Dunia Yapongeza Wizara ya Elimu Kwa Kusimamia  na Kutekeleza Mradi wa Elimu ya Juu

Benki ya Dunia imeipongeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kusimamia  na kutekeleza Mradi wa Elimu ya Juu kwa...

READ MORE

Upendezeshaji Wa Mji Wa Dodoma, Coral Paints Kuongeza Nguvu

Dodoma, 29 Oktoba 2023: Serikali, taasisi na watu binafsi wamepongezwa kwa kuendelea kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu yakiwemo majengo ya...

READ MORE

Shigela anadi fursa za GGML zinazoipaisha Geita katika kongamano la madini

  NA MWANDISHI WETU WAKATI Kongamano la Kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2023 likifikia tamati tarehe 26...

READ MORE

Wizara ya Fedha Yaipongeza CMSA Kutunuku Watendaji Wanaokidhi Kimataifa

NAIBU Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, ameipongeza Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA) kwa kuendesha kozi ya...

READ MORE

Rais Samia Agawa Magari Ya Kubebea Wagonjwa, Vifaa Tiba (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto...

READ MORE

Wazazi Wangu Walikuwa Wanapigana Kila Siku na Kuumizana Mbele Yangu

Jina langu ni Sheila, suala la ugomvi lilikuwa limekita mizizi kwenye ndoa ya wazazi wangu, kila mara walipigana makonde nisijue...

READ MORE

Kilombero Golf Open 2023 Yaanza leo ikiwa na udhamini kutoka NMB Bank

Kilombero Golf Open 2023 imeanza leo tarehe 28 Oktoba 2023 huku wapenzi wa mchezo wa gofu wakijiandaa kwa mwisho wa...

READ MORE

Jokate Awavaa Wabunge Viti Maalum CCM Wasiofanya Mikutano Ya Hadhara, Atoa Tamko – Video

JOKATE Mwegelo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), amewataka wabunge wa viti maalumu kufanya mikutano...

READ MORE

Piga Mtonyo Mrefu Meridianbet Kasino ya Mtandaoni

  Sloti ya Blackjack Live      Moja kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana...

READ MORE