×

Habari

Chalamila Awapongeza Wenye Viwanda Nchini

·      CTI yaomba kupunguzwa tozo magari yanayoingia mjini Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Dkt. Tulia Ackson Rais Mpya Wa Umoja Wa Mabunge Duniani (IPU)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangazwa kuwa Mshindi wa nafasi hiyo Octoba 27,...

READ MORE

Sheria ya Local content inavyonufaisha wawekezaji wazawa GGML

  NA MWANDISHI WETU Miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa kwa Sheria ya Uwezeshaji Wazawa (Local Content) mafanikio yameanza kuonekana...

READ MORE

Dkt. Mpango Akabidhi Hatimiliki za Kimila Makete

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Philip Isdori Mpango amekabithi Hati ya Hakimiliki za Kimila...

READ MORE

Majaliwa atembelea banda la GGML kwenye maonesho ya madini, aipa tano utekelezaji CSR

NA MWANDISHI WETU Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwenye...

READ MORE

Makonda, Rabia Waripoti Kwa Chongolo, Awapatia Rungu Kuanza Kazi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo amesema CCM iko salama na imara katika kusimamia misingi,...

READ MORE

Waziri Mkuu Mstaafu wa China Li Keqiang Afariki Dunia kwa Mshtuko wa Moyo

Waziri mkuu wa zamani wa China Li Keqiang amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo akiwa na umri wa miaka 68....

READ MORE

Benki ya I&M Kuanza Kutoa Huduma za Miamala, Kutoa Fedha ATM Bila Malipo

BENKI ya I&M imezindua huduma mpya ya mikopo binafsi isiyokuwa na masharti ikiwamo ada ya mikopo na akaunti tatu mpya...

READ MORE

Kijani Bondi ya Benki ya CRDB Yakusanya Sh. Bil 171.82, Yaorodheshwa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE)

Benki ya CRD leo imetangaza matokeo ya mauzo ya hatifungani yake ya kijani “Kijani Bond” ambayo imekusanya zaidi ya shilingi...

READ MORE

Wanawake Wajasiriamali Wapewa Mitungi 600 ya Gesi ya Oryx na Majiko Yake

Katika kuunga mkono jitihada za Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia Kampuni ya Oryx Gas...

READ MORE

Majaliwa: Wadau Wa Madini Tumieni Teknolojia Ya Kisasa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa madini wajielekeze katika kutumia teknolojia za kisasa katika uchimbaji madini ili...

READ MORE

Halotel Yasherehekea Miaka 8

  Yatoa Zawadi kwa Shule ya Msingi ya Oyster Bay Dar es Salaam, 24 Oktoba 2023 – Kampuni ya Mawasiliano...

READ MORE

Maskini Mtoto Warda Bado Siri Nzito, Familia Yaishiwa Nguvu, Yamlilia Kwa Uchungu – Video

Sakata la binti mdogo, Warda Mohammed (16), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu, Kibaha kupotea tangu April 19, 2023 bado...

READ MORE

Chama tawala cha ANC Afrika Kusini chapoteza zaidi ya nusu ya wanachama

Uungwaji mkono kwa chama tawala cha Afrika Kusini cha African National Congress (ANC), kilichokuwa madarakani tangu mwaka 1994, umepungua hadi...

READ MORE

Mapokezi Ya Makonda Yatikisa Dar, Akabidhiwa Ofisi Kwa Mara Ya Kwanza (Picha +Video)

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, leo Oktoba 26, 2023 amepokelewa rasmi katika...

READ MORE

Uso Wangu Uliharibika Mpaka Nikawa Sitoki Nje Ila Sasa Nimepona

Jina langu ni Anyango kutoka katika kauti ya Kisumu, nilikuwa mwanamitindo ambaye nilienda katika mashindano katika ukanda huu wa Afrika...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Afurahishwa Na Mchango Wa Tigo Sekta Ya Madini, Kongamano La Madini Na Uwekezaji 2023

Waziri Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Leo Oktoba 26 ametembelea banda la Tigo katika Kongamano...

READ MORE

Dk. Saada Mkuya: Kuzinduliwa Mfumo wa Malipo Kwa Njia ya Mtandao wa Airpay Kuongeza Ufanisi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na mipango Zanzibar Dk. Saada Mkuya Salum, amesema kuwa  kuzinduliwa kwa mfumo wa...

READ MORE

GGML yanyakua tuzo mbili Usiku wa Madini

JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika kuzingatia uwajibikaji wake kwa jamii pamoja na kuzingatia masuala ya...

READ MORE

Ummy Mwalimu: Rais Samia Amedhamiria kuleta Mapinduzi sekta ya Viwanda

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amedhamiria kuleta mapinduzi sekta ya viw anda hususani viwanda...

READ MORE

Taarifa Mpya: TCRA Yatoa Tahadhari kwa Watumiaji wa Mawasiliano Nchini -Video

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Sekta ya Mawasiliano katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Septemba,...

READ MORE

Trump apigwa tena faini kwa maoni yake nje ya mahakama

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trumo, aliitwa kwenye kizimba cha utetezi kutoa ushahidi, na kupigwa faini ya dola 10,000...

READ MORE

Rais Samia Alivyohutubia Bunge la Zambia wakati Akihitimisha Ziara

Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipa nchi hiyo hekta 20 za ardhi kwa ajili...

READ MORE

Mama’s Beach Party Yafana Dar

Mama’s Day Out  Beach Party wameadhimisha siku ya Afya ya akili  kwa  kuwakutanisha kina mama 170 Jijini Dar es Salaam...

READ MORE

NMB Yawezesha Wakulima Tabora Kulipwa Fidia Sh. 374 Milioni

Benki ya NMB imesaidia wakulima wa tumbaku zaidi ya 400 mkoani Tabora kulipwa kwa wakati fidia ya hasara waliyopata baada...

READ MORE

Programu Ya Smashed Yazinduliwa Mkoani Tanga Na SBL Kudhibiti Unywaji Pombe Na Umri Mdogo

Tanga 26 Oktoba 2023: Kampuni ya Bia ya Serengeti Limited (SBL) inapenda kutangaza muendelezo wa Programu ya Smashed katika Mkoa...

READ MORE

Kongamano La Madini Na Uwekezaji 2023 Lawezeshwa Mtandao Wa Bure Na Tigo

Kampuni namba moja nchini kwa utoaji wa huduma za kidigitali, Tigo Tanzania imewezesha na kutoa Huduma katika Kongamano la Madini...

READ MORE

Zanzibar Kusambaziwa Internet Na CCTV Kamera Majumbani, SMZ Kupitia Shirika La Mawasiliano ZICTIA Na TIGO-ZANTEL Wasaini Makubaliano

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia shirika la mawasiliano ZICTIA na kampuni ya mtandao wa Simu TIGO-ZANTEL zimesaini mkataba wa...

READ MORE

Hii Ndiyo Mikataba 8 ya Ushirikiano Iliyosainiwa Kati ya Tanzania na Zambia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya Kitaifa ya siku tatu ya...

READ MORE

Taasisi ya Lalji Foundation Yaendesha Kambi ya Macho, 100 Wafanyiwa Upasuaji

Taasisi ya LALJI FOUNDATION inayojishughulisha na kutoa misaada mbalimbali kwa jamii imefadhili kambi ya macho iliyofanyika katika Hospitali ya Halmashauri...

READ MORE

Rais Samia Awapa Hekta 20 Zambia Kujenga Bandari, Atua Ikulu ya Lusaka (Video+Picha)

Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipa nchi hiyo hekta 20 za ardhi kwa ajili...

READ MORE

Bill Nas, Ester Raphael Wawatangaza Washindi wa Maokoto Ndani ya Kizibo

Meneja wa Chapa ya Serengeti Premium Larger na Serengeti Lite Ester Raphael pamoja na Balozi wa Maokoto Ndani ya Kizibo,...

READ MORE

Waziri Mavunde: Tanzania Iko Tayari Kushiriki Uchumi wa Madini Ya Bahari

*#Asema Tanzania imepokea fursa ya Bahari kwa mikono miwili* Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa Tanzania iko tayari...

READ MORE

Wateja wa Gas Fasta Sasa Kuagiza Gesi Kupitia Aplikesheni ya M-Pesa

Wateja wa Vodacom Tanzania na Gas Fasta wamerahisishiwa upatikanaji wa gesi kupitia ushirikiano wa kampuni hizo mbili unao wawezesha kuagiza,...

READ MORE

Aweso aagiza mradi wa Maji Nzuguni ukamilike ndani ya siku 30 – Video

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso(MB) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Maji na Viongozi wa Mkoa wa Dodoma amemuelekeza...

READ MORE

Mjane wa Mrema Aonja Urithi wa Mali, Utata wa Ndoa Wamalizwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke kimetoa uamuzi juu ya urithi wa mali za marehemu Augustino...

READ MORE

China Yamfukuza kazi Waziri wake wa Ulinzi Li Shangfu, Kufanya mkutano wa usalama

China imemfukuza kazi Waziri wake wa Ulinzi Li Shangfu miezi miwili tangu kutoweka kwake kwenye maisha ya umma. Hakuna maelezo...

READ MORE

Waziri Mkuu Awataka Madereva Wa Serikali kuzingatia Sheria za usalama barabarani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka madereva wa Serikali kuwa mfano wa kuzingatia sheria zote kwa sababu kuendesha gari ya Serikali...

READ MORE

Meta yafunguliwa mashitaka na majimbo 33 ya Marekani

Majimbo 33 ya Marekani yanashitaki kampuni inayomiliki mitandao ya kijamii ya Meta, ikishutumu kuathiri afya ya akili ya vijana kupitia...

READ MORE

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Akutana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mifugo na...

READ MORE