×

Habari

Rais Samia Atunukiwa Shahada Ya Heshima Ya Udaktari Wa Falsafa, India – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 10, 2023 ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima...

READ MORE

White House: Hakuna mpango wa kutuma wanajeshi wa Marekani nchini Israel

Katika dakika chache zilizopita, tumesikia kutoka kwa msemaji wa Baraza la Usalama la Kitaifa la White House, John Kirby. Kirby...

READ MORE

Rais Biden ahojiwa kuhusu nyaraka za siri ikulu ya Marekani

Rais Joe Biden, wa Marekani, amehojiwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi huru kuhusu jinsi alivyoshughulikia nyaraka za siri, ikulu ya...

READ MORE

Naibu Waziri wa Uchukuzi: Mchakato wa Kutafuta Mfumo Bora wa Namna ya Kupeleka Mifugo nje Umeanza

Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile amesema Wizara ya Uchukuzi imeanza mchakato wa kutafuta mfumo bora wa namna ya...

READ MORE

Watanzania Waaswa Kujitokeza Monesho ya Dar Constructions EXPOctions

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa...

READ MORE

Hekari 807 Za Bangi Zateketezwa Mkoani Mara

  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni...

READ MORE

Watanzania Wawili Hawajulikani Walipo Mapigano Ya Nchini Israel, Balozi Afunguka

  Wakati mapigano yakiendelea nchini Israel kati ya Taifa hilo na kundi la wanamgambo la Hamas la nchini Palestina, imetoka...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Hassan Amezuru Kaburi La Baba Wa Taifa India

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Leo Oktoba 09, 2023 akiwa kwenye ziara yake...

READ MORE

Biashara Kati ya India na Tanzania Kufanyika Kwa Shilingi na Rupia

Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, wamekubaliana kuongeza matumizi ya fedha za nchi...

READ MORE

Mbunge Wa Arusha Mjini, Afunguka Miladi Mradi Wa TACTIC, Wadau Wapongeza – Video

Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo amesema kuwa mradi wa TACTIC kwa jiji hilo tayari umeiva na mkandarasi ameshasaini mkataba...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Wafanyabiashara Akiwa njiani Kuelekea India – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara pamoja na Wawekezaji mbalimbali wa Tanzania wakati...

READ MORE

Kamati Ya Siasa CCM Kibiti Yakangua Miradi Ya Maendeleo, Yaridhika Na Utekelezaji Wa Ilani Ya Chama

Kibiti Pwani 8 Oktoba 2023: Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiongozwa na Mwenyekiti wake...

READ MORE

Kocha wa Yanga Gamondi Atamba Kuwa na dawa ya wapinzani Ligi ya Mabingwa Afrika

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuwatambua wapinzani wao katika hatua ya...

READ MORE

Msanii wa Gospel, Noella Alain Atoa Ushauri kwa Wasanii wa Muziki wa Injili

Msanii wa muziki wa Gospel, Noella Alain @noelamartha anayefanya vizuri na wimbo wa Roho ya Mazoea, amesema kuimba muziki wa injili ni...

READ MORE

Elimu ya Matumizi Huduma ya PSSSF Kiganjani Yatua “Waajiri Health Bonanza”

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, ameshiriki katika michezo...

READ MORE

Simbachawene: Takukuru Zuieni Rushwa Kabla Haijatokea

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka Wahitimu wa Mafunzo...

READ MORE

Athanas Myonga Ashinda Tsh. Milioni 7 za Shindano la Stories Of Change 2023

Athanas Myonga amefanikiwa kuwa Mshindi wa kwanza katika Shindano hilo lililoandaliwa na Taasisi ya Jamii Forums ambapo Wananchi mbalimbali walipata...

READ MORE

Wanajeshi 6 wa Afrika Kusini wafariki katika ajali ya moto

Wanajeshi sita wa Afrika Kusini walifariki baada ya moto kuzuka katika kituo cha mafunzo cha jeshi kaskazini mashariki mwa nchi,...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Biteko Atembelea Kaburi La Hayati Magufuli Chato Na Kutoa Salamu Za Heshima – Video

GEITA; Oktoba 7, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezuru na kufanya Sala kwenye kaburi...

READ MORE

Ziara ya Rais Samia Nchini India Itaimarisha Utalii wa Kitiba na Kufungua Fursa za Masomo

WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) imetaja fursa kem kem ambazo Tanzania itanufaika nazo kupitia ziara...

READ MORE

Mhandisi Mshauri Wa Umeme Aishauri Jambo Zito Tanesco Kuhusu Changamoto Ya Uhaba Wa Umeme Na Majanga Ya Moto

Dar es Salaam, 7 Oktoba 2023: Mhandisi Mshauri wa masuala ya umeme, Mhandisi Ester William leo amelishauri jambo shirika la...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani, Rais Samia Aahidi Kutatua Changamoto Kuleta Ufanisi

*️Maadhimisho yafanyika kitaifa wilayani Bukombe* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itaendelea...

READ MORE

Jerry Silaa: Mipango ya Kupima Viwanja Iendane na Miundombinu

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wataalamu wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha mipango...

READ MORE

Mke wa Sir Alex Ferguson Cathy Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 84

Lady Cathy Ferguson, mke wa meneja wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson, amefariki dunia akiwa na umri wa...

READ MORE

Mwanaharakati aliyeko kifungoni Narges Mohammadi ashinda tuzo ya Amani ya Nobeli

Anapigania wanawake dhidi ya ubaguzi wa kimfumo na ukandamizaji, alisema Berit Reiss-Andersen, mwenyekiti wa Kamati ya Nobel ya Norway ambaye...

READ MORE

Lavaud Agonga Kolabo ya Kibabe na Tiwa Savage, Reekado Banks, Patoraking Kwenye Roll On Me

STAA wa kike kwenye uwezo mkubwa katika kuimba na kutunga, Lavaud amerejea kwa kishindo baada ya kuachia singo kali inayokwenda...

READ MORE

Benki ya UBA Yahitimisha Wiki ya Huduma Kwa Wateja Kwa Kuwashukuru Na Kuwapongeza Wateja Na Watoa Huduma Wake

Dar es Salaam, 6 Oktoba 2023: Benki ya UBA imehitimisha ‘Wiki Ya Huduma Kwa Wateja’ kwa kuwapongeza wateja wake pamoja...

READ MORE

Watu 7 Wafariki, 22 Wajeruhiwa, Magari Yagongana Uso Kwa Uso, Lindi – Video

Watu 7 wamefariki dunia na wengine 22 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Basi la namba T.604 DJJ aina ya Scania mali...

READ MORE

UWT Taifa Yawahasa Vijana Kuwa Wazalendo

Jumuiya ya umoja wa wanawake Taifa (UWT) imewahasa vijana na  wanafunzi wa shule mbalimbali hapa nchini kuwa na uzalendo ili...

READ MORE

Mwandishi Wa Habari Aliyeandamana Ahukumiwa Miaka 8 Jela Urusi

Marina Ovsyannikova ambaye alishiriki maandamano wakati wa Matangazo Mubashara ‘Live’ kwenye Runinga akipinga uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine amepewa...

READ MORE

Wanafunzi watano wa kike watekwa nyara Nigeria, Polisi Wafunguka

Watu wenye silaha wamewateka nyara wanafunzi watano kaskazini mwa Nigeria, polisi walisema, siku chache baada ya wanafunzi wengine zaidi ya...

READ MORE

Jeshi la Polisi Laungwa Mkono Dhidi ya Ajali za Barabarani

  Mashindano ya kimataifa ya “VIA CREATIVE” yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa shule za msingi kujifunza kuhusu usalama barabarani yazinduliwa rasmi...

READ MORE

Waziri Silaa Akerwa Mfanyabiashara Kusumbuliwa

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza mmiliki wa mgahawa unaojulikana kama Fresh Restaurant uliopo Manispaa...

READ MORE

NBC Yazindua Msimu wa Tatu wa Kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde’’, Kuchochea Kasi ya Kilimo cha Korosho Mtwara, Lindi

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa tatu wa kampeni yake  maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara na Lindi...

READ MORE

SGA Yapokea Tuzo Ya Juu Kwa Kuwekeza Katika Teknolojia

Tuzo hiyo ilitolewa kwa SGA wakati wa maonesho ya Kimataifa ya Madini yaliyomalizika Mjini Geita hivi karibuni. Maonesho hayo ya...

READ MORE

Fahamu Maajabu Ya Infinix Zero 30, Simu Mahususi Kwa Content Creators

‘Infinix Zero 30 5G’ ni simu kali ambayo inaweza kurekodi video ya 4K kwa 60fps kutumia lens mpya ya 50MP...

READ MORE

Mkakati Bandari ya Mtwara Waanza Rasmi

Serikali imeanza rasmi kutekeleza mkakati wa kuhakikisha bandari ya Mtwara inatumika katika kusafirisha zao la korosho na bidhaa nyingine za...

READ MORE

Hamza Johari: Anga la Tanzania Liko Salama

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari amesema hakuna mlipuko wowote wa volcano utakaosababisha viwanja...

READ MORE

Mbwa wa Rais Joe Biden Atimuliwa Ikulu Kwa Kuwang’ata Wafanyakazi na Walinzi

  Mbwa wa familia ya Rais Joe Biden wa Marekani, Commander ametimuliwa ikulu kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mfululizo wa...

READ MORE