×

Habari

JK Ampongeza Rais Samia maandalizi ya Uzinduzi wa Programu ya Uwekezaji Sekta Maji 2024-2030

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Rais DK.Mwinyi Akutana na Uongozi wa Shirika la kimataifa la Christian Blind Mission (CBM)

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kuboresha mazingira wezeshi kwa watu wenyeulemavu kwenye sekta zote za jamii zikiwemo Usafiri...

READ MORE

Kamishna wa Bima Nchini Aomba Kupelekewa Taarifa Za Wateja Wanaocheleweshewa Malipo Yao Kizembe

Dar es Salaam, 26 Juni 2023: Kamishna wa Bima nchini, Dkt. Baghayo Saqware amesema sababu kubwa inayochelewesha wadai fidia za...

READ MORE

Kipa Simba Azipambanisha Azam, Singida Azungumza na Spoti Xtra

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba, kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida...

READ MORE

Mdau Ashirikiana na Bodaboda Kujenga Choo, Afichua Mipango Yake – Video

Katika kile kinachoonekana ni kuwasaidia vijana wenzake wa Muheza, Hamisi Sadiki Rajabu amekamilisha ndoto ya siku nyingi ya Waendesha Pikipiki...

READ MORE

Bilionea wa Microsoft Atua Bongo Kufanya Royal Tour

  Mmoja wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala...

READ MORE

Kituo cha Uwekezaji (TIC), Kampuni ya Sukari Kilombero Wasaini Mkataba wa Utekelezaji

Juni 23, 2023, Serikali ilishuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na wawekezaji...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (mstaafu) IGP Said Ally Mwema azindua kitabu chake kinachokwenda kwa Jina Utawala na Usimamizi wa Sheria Tanzania

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura...

READ MORE

Yanga Yawafanyia Kitu Mbaya Waarabu Kuuboresha Mkataba wa Mayele

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga juzi ilianza mazungumzo na mshambuliaji wake Mkongomani, Fiston Mayele huku ikipanga kuuboresha mkataba wake mpya watakaompa ili...

READ MORE

Hicho Chuma Kilichosaini Simba, Mtatafutana Asubiria Utambulisho

DEAL done! Ndiyo utakavyoweza kusema kwa beki kushoto wa Ihefu FC ya Mbalari, Mbeya, Yahya Mbegu ambaye usajili wake umekamilika...

READ MORE

Titan: Harakati za kutafuta sababu zilizochangia nyambizi kupasuka zaanza

Nahodha wa zamani wa manowari ya Royal Navy Ryan Ramsay ametaja baadhi ya sababu ambazo huenda zilipelekea nyambizi ya OceanGate...

READ MORE

Polisi Kutoka Ujerumani na Thailand wabadilisha Uzoefu katika Maswala ya Polisi Jamii

Askari Polisi kutoka Ujeruman na Thailand wametoa uzoefu wao katika maswala ya Polisi Jamii na namna ambavyo wanatoa huduma kwa...

READ MORE

Hatimaye Mwanafunzi Aliyepotea Mbeya Apatikana

Mwanafunzi Ester Noah Mwanyiru aliyepotea kwa muda wa siku 20 tangu asubuhi ya tarehe 18 Mei 2023 hatimaye amepatikana ndani...

READ MORE

Familia Zaomboleza Abiria Waliokufa Katika Nyambizi ya Titan

Shangazi yake Suleman Dawood, ambaye alikuwa kwenye nyambizi ya Titan chini ya maji na baba yake Shahzada, anasema kijana huyo...

READ MORE

Waziri Mkuu Aaagiza Uchunguzi Ufanyike Kisa Cha Binti Kupotea Shuleni Mbeya

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera na Kamati ya Usalama ya Mkoa huo wafanye...

READ MORE

Mwanamke Ajifungua Ndani ya Treni Ikielekea Mombasa, Kenya

MWANAMKE  mmoja nchini Kenya amejifungua wakati akiwa kwenye treni ya Madaraka Express iliyokuwa ikielekea Mombasa. Kwa Mujibu wa mtandao wa...

READ MORE

Tantrade Yapokea Vizimba Vya Mabanda ya Kisasa Maonesho ya 47 ya Biashara Sabasaba

Mkurugenzi Mkuu  wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) Bi. Latifa Khamis leo tarehe 22 Juni, 2023 amepokea udhamini...

READ MORE

Watu Wote 5 Waliokuwa kwenye Chombo cha Majini cha Titan Wamefariki – Maafisa

Idara ya walinzi wa pwani ya Marekani imesema chombo cha majini kilichotoweka kikiwa karibu na mabaki ya meli ya Titanic,...

READ MORE

Mayele: Nataka Pesa, Kuhusu Yanga Azungumza na Championi

MSHAMBULIAJI wa Yanga Mkongomani, Fiston Mayele alipishana na kocha wake Mtunisia, Nasreddine Nabi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Waokoaji Wahaha Kuipata Titan Kabla ya Kuishiwa Oksijeni

Waokoaji wanaoitafuta nyambizi iliyopotea karibu na Titanic wameelekeza nguvu zao katika eneo la mbali la Atlantiki ambapo kelele za chini...

READ MORE

RC Simiyu Aagiza Jeshi la Polisi Kumsaka Mtumishi Aliyeibiwa Pikipiki

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo, kuhakikisha linamsaka afisa wa Halmashauri ya...

READ MORE

Wanawake 46 Wauawa Kwenye Gereza la Wanawake Nchini Honduras

Takribani Wanawake 46 wameuawa katika ghasia iliyozuka kwenye Gereza la Wanawake nchini Honduras. Walionusurika katika tukio hilo wameeleza kuwa mapigano...

READ MORE

Mke wa Afisa Mkuu Mtendaji wa OceanGate ni Kitukuu wa Abiria Wawili wa Titanic

Wendy Rush ni mke wa Stockton Rush, bosi wa OceanGate ambaye yuko kwenye nyambizi iliyotoweka baharibi ambayo inasakwa . Yeye...

READ MORE

Watoto Wenye Ulemavu Wanastahili Kuoneshwa Utu na Kuthaminiwa

  Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini, inayomzuia mtu kutekeleza shughuli Fulani katika maisha...

READ MORE

DC Kilombero Azindua Msimu Mpya Wa Uzalishaji Kiwanda Cha Sukari Kilombero

  JUNI 19, 2023, Kampuni ya Sukari Kilombero ilizindua msimu wa uzalishaji kwa mwaka 2023/24 katika moja ya viwanda vyake...

READ MORE

Airtel Afrika Yaitaja Tanzania Miongoni Mwa Nchi Tatu Kuwashwa Masafa ya Mawasiliano ya kasi ya 5G

Airtel Tanzania miongoni mwa himaya tatu za Airtel zitakazohamia teknolojia ya 5G hivi karibuni  Airtel Africa, kampuni inayoongoza katika kutoa...

READ MORE

Waziri Aweso Atengua Uteuzi wa Meneja wa Ruwasa Dodoma

  Waziri wa Maji, Jumaa H. Aweso (Mb) ametengua uteuzi wa Meneja wa Maji Mkoa wa Dodoma, (RUWASA) Mhandisi Godfrey...

READ MORE

Mtoto wa Rais Biden Akiri Mashtka Katika Makubalino na Idara ya Sheria

Mtoto wa rais wa Marekani, Hunter Biden, Juni 20, 2023 alifikia makubaliano na Idara ya Sheria ya kukiri mashtaka matatu...

READ MORE

Wateja Wa Total Energies Kurudishiwa 10% Kupitia Ushirikiano Na LIPA KWA M-PESA

Dar es Salaam – Juni 21, 2023. Kupitia dhamira ya kuendeleza mfumo wa maisha wa kutotumia pesa taslimu nchini, huduma...

READ MORE

Mtuhumiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda aomba hifadhi nchini Afrika Kusini

Mawakili wanaomwakilisha mshukiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda Fulgence Kayishema, ambaye alikuwa mtoro kwa miaka 22 kabla ya kukamatwa...

READ MORE

Wawekezaji Viwanda Waaswa Kuzingatia Sheria na Miongozo ya Kazi

Wawekezaji wa sekta ya viwanda wametakiwa kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya kazi nchini ikiwemo kuboresha mifumo ya usimamizi wa...

READ MORE

Benki Kuu Yapiga Marufuku Malipo ya Fedha za Kigeni Nchini

Benki Kuu ya Tanzania imeukumbusha umma kuwa kifungu cha 26 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 2006...

READ MORE

Tantrade na Ubalozi wa Misri Kuandaa Mikutano Ya B2B Katika Sekta ya Hotel na Vifaa Vya Nyumbani

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi. Latifa Khamis leo tarehe 20 Juni, 2023 katika ofisi za TanTrade amekutana na Maafisa kutoka...

READ MORE

TFF Yatoa onyo kali kwa Wanaoshirikiana na Wadau Waliofungiwa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linawakumbusha wanafamilia ya mpira wa miguu kuwa ni kosa kushirikiana na wadau ambao...

READ MORE

Mabasi 6 Ya Allys Star Na 3 Ya Katarama Express Yapigwa ‘Stop’ Kusafiri Usiku

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imesema imepokea taarifa na pia kuthibitisha uwepo wa baadhi ya watoa huduma wa mabasi...

READ MORE

Watu 20 wakamatwa kuhusiana na mauaji ya wanafunzi Uganda

Polisi nchini Uganda walisema Jumatatu kuwa watu 20 wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na kundi la wanamgambo linalolaumiwa kufanya shambulio...

READ MORE

Lema, Zitto Waishauri Serikali Mkataba DP World “Hatupingi Uwekezaji Bandari”- Video

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kurekebisha baadhi ya vifungu vinavyolalamikiwa na wananchi katika mkataba wa ushirikiano wa kuendesha bandari ya Dar...

READ MORE

Rostam, Kitila Wamvaa Mbowe kwa Kauli za Ubaguzi – Video

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe,...

READ MORE

Makampuni Kuwania Tuzo Zaidi Ya 70 Kwenye Consumer Choice Awards Afrika 2023

Dar es Salaam 18, Juni 2023. Ikiwa ni sehemu ya kusaidia walaji kutoa maoni yao juu ya ubora wa bidhaa...

READ MORE