×

Habari

GGML Yadhibitisha Dhamira Yake ya Kuendeleza Wahandisi Wanawake

NA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na...

READ MORE

Wanasheria, wanasiasa washinikiza kamera ziruhusiwe ndani ya chumba cha mahakama kwenye kesi za Trump

Wakili wa Trump John Lauro alisema angependelea kesi ionyeshwe kwenye runinga lakini alisisitiza kuwa hayo yalikuwa maoni yake binafsi Wito...

READ MORE

Rais Samia Alivyopigiwa Shangwe Uwanja Wa Mkapa (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wachezaji wa timu ya...

READ MORE

Kiongozi Wa Upinzani Wa Senegal Alazwa Hospitalini Baada Ya Kususia Chakula Akiwa Jela

KIONGOZI wa upinzani wa Senegal Ousmane Sonko, ambaye amekuwa akisusia chakula wakati akiwa gerezani kama njia ya kulalamikia mashitaka ya...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya azindua NMB ‘Onja Unogewe’ kwa Mkoa wa Nyanda za Juu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya – Mhe. Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB...

READ MORE

Wakulima Wanufaika Na Simu Janja Za Tigo Kwa Buku Tu

KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Tigo imekuja na njia ya kidigitali ya kumrahisishia mkulima kujifunza namna ya uzalishaji wa...

READ MORE

Katibu Mkuu Kiongozi Aipongeza TADB Kwenye Maonesho Ya NaneNane

Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwenye maonesho ya NaneNane...

READ MORE

Waziri Biteko Ampa Heko Rais Samia Ujenzi wa ICU Wilaya ya Bukombe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fesha kiasi cha shilingi 300,000,000 kwa...

READ MORE

Stamico Yangara Afrika, Yanyakua Tuzo Ya Kampuni Bora Ya Madini 2023

Na Mwandishi Wetu Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limenyakua tuzo ya Kampuni bora ya mwaka Afrika kwenye sekta ya...

READ MORE

Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge kufanyika Agosti 14 hadi 25, 2023

Vikao vya kawaida vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza kufanyika Jumatatu tarehe 14 hadi 25 Agosti, 2023 Jijini Dodoma...

READ MORE

Lori la Kubeba Mafuta Laanguka na Kuwaka Moto Kimara Kibo Dar – Video

Habari zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa lori la kubeba mafuta limeanguka na kuwaka moto muda mfupi uliopita katika eneo la...

READ MORE

Majaliwa: Mfuko Wa Watu Wenye Ulemavu Haujaunganishwa Na Mifuko Mingine

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mfuko wa Taifa kwa Watu wenye Ulemavu haujaunganishwa na mifuko mingine ya makundi maalum kama...

READ MORE

Ufaransa yaahidi kuunga mkono kurejeshwa kwa utawala wa kiraia Niger 5 Agosti, 2023

Ufaransa ilisema Jumamosi itaunga mkono juhudi za kurejesha uongozi wa kiraia nchini Niger kufuatia mapinduzi ya kijeshi, siku moja baada...

READ MORE

Trump Aililia Mahakama ya Juu Kuingilia Mapambano yake ya Kisheria

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amelalamikia muda na gharama iliyotumika katika mapambano yake mengi ya kisheria na kuitaka...

READ MORE

Waagizaji Mafuta: Serikali Iongeze Nguvu Kwenye Upatikanaji wa Dola

Katika kuendelea kuhakikisha bidhaa ya mafuta ya petroli inapatikana kwa uhakika maeneo yote nchini, Chama cha Waagizaji na Wasambazaji Mafuta...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Apongeza Jitihada za NBC Utoaji Mikopo Zana za Kilimo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuendelea kubuni huduma zinazolenga kutatua changamoto zinazowagusa wakulima huku...

READ MORE

TARI Imejipanga Kuwanufaisha Wakulima Kwa Kupata Mbegu Bora Zenye Tija

Morogoro, Agosti 4 mwaka 2023: TARI Ilonga imekuja na teknolojia mbalimbali ambazo zinazalishwa na kituo cha Ilonga  pamoja na vituo...

READ MORE

Cherehani Awataka Wana CCM Kujenga Mshikamano Kuacha Fitina

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ushetu, wametakiwa kujenga ushirikiano na kuacha vitendo vya majungu na fitina ndani ya...

READ MORE

Compact Energies Yashinda Tunzo Ya Mwaka

Kampuni ya usambazaji na ufungaji wa vifaa vya umeme jua nchini, Compact Energies imeshinda tuzo ya ’First Runner Up- Solar...

READ MORE

SGA Security Yashinda Tuzo Ya Kampuni Bora Ya Ulinzi Afrika

Kampuni ya ulinzi ya SGA Security imetangazwa mshindi wa jumla kati ya makampuni ya ulinzi Afrika katika tuzo za kampuni...

READ MORE

Benki ya NMB Yatenga Sh. Bil 20 BBT, Yamwaga Mikopo Kwa Wakulima

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana na wanawake kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT),...

READ MORE

Simba: Balaa La Chama, Luis, Ngoma Ni Zito Ahmed Ally Azungumza na Spoti Xtra

UONGOZI wa Simba, umebainisha kuwa, balaa la nyota wa kikosi hicho kinachofundishwa na Roberto Oliveira kwa msimu mpya ni zito....

READ MORE

Rais Dkt. Samia Mgeni Rasmi Simba Day Jumapili Uwanja wa Mkapa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye siku muhimu kwa Klabu...

READ MORE

Trump Akana Hana Hatia Kwa Mashtaka Dhidi Yake Yanayohusiana Na Uchaguzi Wa 2020

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekana mashitaka ya jinai yanayomkabili, juu ya kuhusika kwake katika njama za kutaka...

READ MORE

Niger: Rais wa Niger aiomba Marekani msaada baada ya mapinduzi

Rais wa Niger aliyetimuliwa ameitaka Marekani na jumuiya nzima ya kimataifa kusaidia “kurejesha… utaratibu wa kikatiba” baada ya mapinduzi ya...

READ MORE

GF Trucks Yang’ara Tuzo Za Africa Company Of The Year 2023

Kampuni ya Gf Trucks & Equipment’s Ltd  imeibuka mshindi wa Tuzo  za ACOYA 2023  kwa  Uzaaji wa Magari nchini Tanzania na Unganishaji kupitia Kiwanda...

READ MORE

Mbeya yafurika banda la Lake Gas Nanenane

Wakazi wa Mkoa wa Mbeya wamefurika katika banda la kampuni ya Lake Gesi lililopo katika viwanja vya nanenane mkoani humo...

READ MORE

Mtumiaji wa intaneti ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumkosoa mfalme wa Morocco

Mtumiaji wa intaneti raia wa Morocco amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumkosoa mfalme kwenye mtandao wa Facebook juu...

READ MORE

Kiongozi wa Mapinduzi Niger Apinga Shinikizo la Kurejesha Utawala kwa Rais Bazoum

Kiongozi wa mapinduzi nchini Niger Jumatano amesema utawala wa kijeshi hautatishwa na shinikizo la kumrejesha madarakani Rais Mohamed Bazoum, na...

READ MORE

Kampuni ya Societe Petroliere Kutoka Rwanda Yatua Tanzania

KAMPUNI ya Societe Petroliere Rwanda, imepiga hatua kubwa kwa kufungua tawi la kwanza nchini Tanzania, ikiashiria dhamira yake ya kuwa...

READ MORE

Papa Francis akutana na waathirika wa Unyanyasaji wa Kingono katika Mkutano wa Vijana Katoliki Duniani

Papa Francis Jumatano Agosti 2, 2023 alisema kanisa katoliki linahitaji “kujitakasa kwa unyenyekevu na kwa muda mrefu” ili kukabiliana na...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Canada Atangaza Kutengana na Mkewe Sophie Grégoire

Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau ametangaza kutengana na mkewe Sophie Grégoire (48) baada ya kudumu naye kwenye ndoa kwa...

READ MORE

Dkt. Mpango Aiopongeza NBC Utoaji Elimu ya Fedha, Mikopo kwa Wakulima, Atoa Wito.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini...

READ MORE

Mbunge Chelehani Ampa Tano Rais Samia Miradi ya Maendeleo

Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Dkt Emmanuel Cherehani amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Trump akabiliwa na Mashtaka Mengine ya Uhalifu Yanayohusiana na Uchaguzi wa 202

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump anakabiliwa na mashtaka mengine ya uhalifu kwa mara ya tatu katika kipindi cha...

READ MORE

Rais Wa Zamani Wa Ivory Coast Henri Konan Bedie Afariki Akiwa Na Umri Wa Miaka 89

Rais wa zamani wa Ivory Coast Henri Konan Bedie, mmoja wa wanasiasa wakongwe waliotawala siasa katika taifa hilo la Afrika...

READ MORE

Ewura: Kushuka Kwa Shilingi Dhidi Ya Dola Kumesababisha Mafuta Yapande Bei

Mamlaka ya Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 2, 2023 ambapo kuna ongezeko...

READ MORE

NMB Yashinda Tuzo Tatu za Kimataifa, Yatajwa Benki Bora Tanzania 2023 

Benki ya NMB  imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni: Benki Bora Tanzania 2023 (Kutoka Tuzo za Umahiri...

READ MORE

GGML: Tupo tayari kushirikiana na TANESCO

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa...

READ MORE

Infinix Yaibuka Kifua Mbele Tuzo Za Kimataifa

Kampuni ya simu za mkononi yenye makao makuu yake nchini Hong Kong yaendelea kupasua anga kimataifa hii ni kufuatia ushindi...

READ MORE