×

Habari

Mrisho Saleh; Mkimbizi Kutoka Kongo Anayeishi Marekani kwa Kuimba Qaswida

  Wahenga wanasema mlango mmoja ukifungwa, basi mwingine unafunguka! Hiki ndicho kilichotokea kwa Mrisho Saleh, Mkongomani anayeishi Illinois nchini Marekani,...

READ MORE

Rais Samia Awataka Vijana Kutumia Mitandao ya Kijamii Vizuri – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii vizuri kwani kuna uhuru...

READ MORE

Viongozi Wa Mbio Za Mwenge Wapanda Miti Bwawa La Mindu, Watoa Maagizo Kwa Bonde La Wami Ruvu

Morogoro: Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Abdala Shaibu Kaimu amewaasa wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu karibu na maeneo...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu kwa Kusafiri Kifahari Kuhudhuria Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

WAZIRI wa mambo ya nje wa Papua New Guinea, Justin Tkatchenko amejiuzulu baada ya kashfa ya matumizi ya fedha ya...

READ MORE

TECNO Kutambulisha Nyenzo Mpya “Magic Skin” Kwenye Simu za Mkononi Afrika

TECNO inakua brand ya kwanza ya simu za mkononi kuzindua nyenzo ya ngozi rafiki “Magic Skin” barani Africa ambayo ni...

READ MORE

China Yataka Mwanadiplomasia Wa Canada Aondoke Kabla Ya Tarehe 13

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imemtangaza mwanadiplomasia wa ubalozi mdogo wa Canada jijini Shanghai Jennifer Lalonde kama “mtu...

READ MORE

Breaking: Bernard Membe Afariki Dunia Baada ya Kuugua Kwa Muda Mfupi

  Habari mbaya zilizotufikia hivi punde leo Mei 12, 2023 zinaeleza kuwa, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Kamilius...

READ MORE

Pande Zinazopigana Nchini Sudan Zasaini Makubaliano Ya Kuzuia Kuwadhuru Raia

Shirika la Habari la Saudi Arabia, Al Arabiya limesema, wawakilishi wa jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka...

READ MORE

Onyango Aomba Kuondoka Simba Aandika Barua Kwa Uongozi

BEKI wa kati mkongwe wa Simba raia wa Simba, Joash Onyango, ameona isiwe shida, haraka ameandika barua kwa uongozi akiomba...

READ MORE

Wanaume Wote Walionikimbia Kisa Mvuto Sasa Wanataka Kurudiana na Mimi

Urembo huwa jambo la muhimu kwa kila mwanamke hasa pale anapotafuta mwanaume wa kuanzisha naye uhusiano, wanaume wengi hupenda mwanamke...

READ MORE

Elon Musk Amteua Mkuu Mpya wa Twitter Kuchukua Nafasi Yake

Elon Musk amesema kwamba amempata Mtendaji Mkuu mpya wa kuongoza Twitter. Alitangaza habari hizo kwenye mtandao wa kijamii, alioununua mwaka...

READ MORE

Furahia Sloti za Meridianbet Kasino; Sloti ya Circus Fever Deluxe

Safari ya mafanikio huanza kwa vikwazo vingi mtu wangu ukikata tamaa unaishia njiani, Meridianbet Kasino ya Mtandaoni inarahisisha safari yako...

READ MORE

Watu Wengine Kumi Wafariki Katika Maporomoko ya Ardhi DRC

Watu kumi wamefariki katika maporomoko ya ardhi baada ya mvua kubwa kunyesha huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,...

READ MORE

Spika Tulia Ackson Awaonya Wabunge Kuvua Nguo Bungeni

Wabunge wa Tanzania wameonywa kutovua nguo zozote wanapokuwa bungeni. Spika Tulia Ackson alitoa onyo hilo baada ya Mbunge Mwita Waitara...

READ MORE

GGML Kili Challenge-2023 kukusanya bilioni 2 kudhibiti VVU/UKIMWI

  NA MWANDISHI WETU KAMPENI ya GGML Kili Challenge inayoratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana...

READ MORE

Jimmy Khalili; Kutoka Gerezani Mpaka Kuwa Kinyozi Maarufu Nchini Italia

Baada ya kutoka gerezani na kuhama kutoka nchi yake ya Nigeria, kijana Jimmy Khalili almaarufu 360Kuts alihamia nchini Italia ambapo...

READ MORE

Trump Kulipa Fidia ya Dola Milioni 5 kwa Kumnyanyasa Kingono Mwanamke

Baraza hilo lenye wajumbe tisa, wanaume sita na wanawake watatu, lilifikia uamuzi wake baada ya saa tatu ya mashauriano, mara...

READ MORE

Uturuki Yaongeza Mishahara ya Wafanyikazi wa Umma kwa 45%

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan ameangaza nyongeza ya asilimia 45 ya mshahara kwa wafanyikazi wa umma 700,000 siku tano...

READ MORE

Hakielimu Yaishauri Serikali Kuongeza Bajeti Ya Elimu

TAASISI ya HakiElimu imeitaka Serikali kuongeza Bajeti ya Sekta ya Elimu ili kiwango cha fedha inayotengwa iwiane na viwango vilivyopendekezwa...

READ MORE

Wakaguzi wa Ndani Waanza Maadhimisho ya Mwezi wa Wakaguzi

TAASISI ya Ukaguzi wa ndani Tanzania (IIA) imeanza kuanzimisha mwezi wa wakaguzi wa ndani ulimwenguni ambao huadhimishwa kila ifikapo Mwezi...

READ MORE

PanAfrican Energy Tanzania Yakabidhi Majengo Ya Kituo Cha Afya Kwa Wilaya Ya Kilwa

Kilwa, Lindi Mei 5, 2023. Kampuni ya PanAfrican Energy Tanzania (“PAET”) inayofuraha kutangaza kuwa imemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kilwa...

READ MORE

NMB, ZIPA Zasaini Makubaliano ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka...

READ MORE

Tantrade na TCCIA Zafungua Fursa za Soko Huru La Afrika (AfCFTA)

Leo tarehe leo 9 Mei, 2023  katika ofisi za TCCIA Kaimu Mkurugenzi Ukuzaji Biashara wa Mamlaka ya Maendeleo ya biashara...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Imran Khan Akamatwa Nje ya Mahakama

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan amekamatwa na maafisa wa kijeshi nje ya mahakama mjini Islamabad. Khan alikuwa...

READ MORE

Aviator ya Meridianbet Yampa Utajiri Mshindi wa Tsh Milioni 60,000,000/=

Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kupitia mchezo pendwa Zaidi kwa majokeri Aviator/ kindege, umefanikiwa kumzawadia Mamilioni ya pesa bingwa huyo....

READ MORE

Wavuvi Watatu Wafariki na Wengine Watatu Wanusurika Kifo Mkoa wa Geita

Wavuvi watatu wamefariki dunia na wengine watatu wamenusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kuvulia samaki kuingiliwa maji na kuzama...

READ MORE

SADC Yakubali Kupeleka Vikosi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi Kusini mwa Afrika, SADC zimekubaliana kupeleka vikosi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo....

READ MORE

Waziri mkuu wa zamani wa Burundi azuiliwa jela kwa tuhuma za kuhatarisha usalama wa taifa

Waziri mkuu wa zamani wa Burundi mwenye ushawishi mkubwa Alain Guillaume Bunyoni alifikishwa mahakamani Jumatatu akituhumiwa kuhatarisha usalama wa taifa...

READ MORE

Magomeni Yamshukuru Awesu Baada ya Kufanya Jambo Hili

Aliyesema mpira wa Bongo kwa sasa unalipa ni kweli hakukosea, kwa kuwa wachezaji wengi wanapata madili na makampuni kama Meridianbet...

READ MORE

Sakata la Tanga Cement Kuuzwa, Chama Cha Walaji Chadai Hakikushirikishwa

  MKURUGENZI wa Chama cha Walaji Tanzania,Bernad Kihiyo, amesema kauli iliyotolewa bungeni kuwa wadau wote walishirikishwa na kuridhia suala la...

READ MORE

NMB Yakarabati Wodi ya Uzazi Muhimbili

Benki ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya uzazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati...

READ MORE

Kampeni ya Upandaji Miti Yapamba Moto Kijiji cha Green Village Estate Bunju Mabwepande

  Naibu Kamishna na Mkurugenzi wa Uzalishaji Mbegu Bora za Miti na Vipando wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS),...

READ MORE

Mapigano ya Sudan: Mwanafunzi Afariki Akirekebisha Umeme Katika Zahanati ya Darfur

MWANAFUNZI mhandisi wa umeme mwenye umri wa miaka 27 amefariki akijaribu kurekebisha umeme katika hospitali iliyoathiriwa na mapigano katika jimbo...

READ MORE

Naibu Waziri wa Maliasili Masanja Atoa Maagizo kwa Wananchi Tarime

Serikali imewataka wananchi wilayani Tarime mkoani Mara kuheshimu maeneo ya hifadhi kwa kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo....

READ MORE

Mbunge Shigongo Awapa Ujumbe Wanachuo ‘MUHAS’ ‘Usipuuze Kipaji Mungu Alichokupa”

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Wilayani Sengerema, Mhe. Eric Shigongoo  na Mhamasishaji Maarufu Afrika Mashariki na Kati, ambaye pia ni...

READ MORE

Katiba Mpya Hiyoo! Rais Samia Aagiza Msajili Kuitisha Kikao Maalumu

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuitisha kikao maalum cha...

READ MORE

Watu Tisa Wauwawa Kwa risasi Texas, Marekani Wengine Kadhaa Walijeruhiwa

Watu tisa wameuliwa baada ya kupigwa risasi na mtu aliyekuwa na bunduki katika mji wa Allen kwenye jimbo la Texas...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Ufafanuzi Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Aliyefariki Dunia

Jeshi la Polisi Nchini Tanzania limesema kuwa limeona mjadala katika mitandao ya kijamii ikuhusiana na kifo cha Mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Serikali Ya Tanzania Yaingia Makubaliano Na Klabu Ya Seattle Sounders Ya Marekani

SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano  klabu ya  Seattle Sounders inayocheza Ligi  Kuu ya mpira wa miguu ya Major (MLS) Seattle...

READ MORE