×

Habari

Rais Macron aahirisha ziara Ujerumani kutokana na ghasia Ufaransa

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ameahirisha ziara ya kitaifa nchini Ujerumani, iliyokuwa ianze Jumapili, ofisi ya rais wa Ujerumani ilitangaza,...

READ MORE

Meli ya uokozi ya Ujerumani Yaokoa Wahamiaji 200 Mediterania

Meli ya kiraia ya uokoaji ya Ujerumani iitwayo Humanity 1, imewaokoa wahamiaji 200 waliokuwa wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania karibu...

READ MORE

Niffer Afunguka Kumpigia Simu Mke Wa Kiba, Ugomvi Uliozuka Kisa Mtoto – Video

Mfanyabiashara maarufu wa vitu mbalimbali hapa Bongo Jenifer Jovin ‘Niffer’ ameweka wazi kuwa Ali Kiba ndiye mtu pekee ambaye humueleza...

READ MORE

Mbunge CCM Afariki Baada ya Kugongwa na Trekta

MBUNGE wa Jimbo la Mbarali Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Fransis Leonard Mtega (CCM) jana Jumamosi alasiri amefariki dunia baada...

READ MORE

Wafahamu Marais Afrika Waliouawa kwa Kupigwa Risasi Wakiwa Madarakani

Matukio ya kuuawa kwa viongozi wa juu wa nchi duniani yamekuwa yakipingua kasi katika miongo ya hivi karibuni, lakini hata...

READ MORE

Brazil: Bolsonaro Apigwa Marufuku Kuwania Urais kwa Miaka Minane

Mahakama ya Juu Zaidi ya Uchaguzi nchini Brazil imepiga kura kumzuia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Jair Bolsonaro kuwania kiti...

READ MORE

Serikali Yakabidhi Magari na Vifaa Vya Bilioni 4.3 OSHA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako ameukabidhi Wakala wa Usalama...

READ MORE

NMB, Agricom kukopesha wakulima Matrekta, Zana, Pembejeo za Kilimo

KATIKA kukuza mchango wa Sekta ya Kilimo kwa Pato la Taifa na kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa mkulima mmoja...

READ MORE

PSSSF Yavipatia Vifaa Tiba Vituo Sita Vya Afya, Bara na Visiwani

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetoa msaada wa vifaa tiba kwa vituo sita vya afya...

READ MORE

Mwanamfalme Harry na Mkewe Megan Wahama Kwenye Kasri ya Familia

Maafisa wa Kasri ya Buckingham, ya mflame wa Uingereza, wametangaza Alhamisi, kwamba Mwanamfalme Harry na mkewe Meghan hatimaye wamehama nyumba...

READ MORE

Mahakama ya New York yapinga ombi la Trump la kuondolewa mashitaka ya ubakaji

Jaji mmoja wa mahakama ya serikali mjini New York, ametupilia mbali juhudi za rais wa zamani wa Marekani Donald Trump...

READ MORE

Rais Samia Ateua Makamu NEC, Mkaguzi Mkuu wa Serikali – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Benjamin Magai kuwa Mkaguzi Mkuu...

READ MORE

Dar es Saalaam 30 Juni 2023: Ikiwa ni Takribani wiki sasa tangu kampuni ya Mawasiliano ya Tigo izindue Kampeni yake...

READ MORE

Waziri Mkuu Amuwakilisha Rais Samia Katika Swala ya Eid El Adh’haa Kitaifa Dar – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Leo 29, June 2023, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbunge Keisha: Msitishwe na Kuogopa Maneno DP World ni Fursa Kwa Wananchi

Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Khadija Shaaban Taya (Keisha) amewaomba watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo na kutoa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Tamko Sakata La Bandari Ya Dar, Huu Hapa Msimamo Wa Serikali – “Tutajadiliana”-Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya...

READ MORE

Msanii wa Bongo Fleva Anayeishi Nchini Uingereza Aachia Goma la Bad Vibes

Iicons ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania anayeishi nchini Uingereza ambaye anazidi kufanya makubwa katika gemu la...

READ MORE

Swala Ya Eid El Adha Kitaifa Kufanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed wa Sita Dar

Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania Bakwata limesema sikukuu ya Eid El Adha Kitaifa itaswaliwa katika Msikiti Mkuu wa Mfalme...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Hotuba Nzito Awapongeza Yanga na Mandonga Akihitimisha Shughuli Za Bunge -Video

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa hii leo amewapongeza wanamichezo mbalimbali ambao wamekuwa wakiiwakilisha nchi...

READ MORE

Wateja wa Airtel Kupata Punguzo la Asilimia 10 Wanunuapo Tiketi za Flydubai kwa Kutumia Airtel Money

Airtel money leo imetangaza ushirika wake na Flydubai, ambapo wateja waliounganishwa na Airtel Money wanaonunua tiketi za Flydubai watapata upendeleo...

READ MORE

Wakala wa Meli Tanzania Waunga Mkono Ujio wa DP World

CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World...

READ MORE

Waziri Nape aipongeza Vodacom Kufungua ofisi ya kisasa jijini Dodoma

  Waziri Mkuu wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amepongeza jitihada za Vodacom Tanzania kwa kufungua ofisi...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu, Wakaguzi wa Hesabu Yatangaza Matokeo Ya Mei 2023

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imeidhinisha matokeo ya mitihani ya 97...

READ MORE

Raila Odinga: Hatufanyi Maongezi Tena Na Ruto, Lazima Tumzuie Sasa

Kiongozi huyo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani kupitia Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amesema wamefuta mazungumzo yote...

READ MORE

Raia wa Uganda Waishataki Kampuni ya TotalEnergies ya Ufaransa mjini Paris

Raia 26 wa Uganda wameishtaki kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies mjini Paris wakida fidia kwa madai ya...

READ MORE

Chongolo Ahimiza UVCCM Kutimiza Wajibu Wake, Kukitangaza Chama kwa Wananchi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kutambua...

READ MORE

Chalamila ataka mabasi ya Mwendokasi Kuongezewa Muda wa Kufanya Kazi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amawataka Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) maarufu kwa jina la...

READ MORE

RC Makalla Azitaka Halmashauri Za Ilemela Na Mwanza Jiji kuboresha mapato ya stendi za Nyamhongolo na Nyegezi

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. CPA. Amos Makalla amezitaka Halmashauri za Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza kuandaa...

READ MORE

Rais Mwinyi Kufanya Ziara ya Kikazi Nchini China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea jijini Dar es Salaam tayari...

READ MORE

Oryx Gas Wakamilisha Ujenzi Wa Bomba Kubwa La Kusafirisha Gesi Kutoka Katika Meli Kwa Muda Mfupi

Dar es Salaam 26 Juni 2023: KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imekamilisha ujenzi wa bomba kubwa la kusafirisha nishati ya...

READ MORE

Rais Ruto Aidhinisha Ongezeko la Ushuru Kenya

Rais wa Kenya William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa kwanza wa fedha wa serikali yake, unaolenga kuongeza mapato...

READ MORE

Chalamila Azindua Huduma ya NMB Onja Unogewe, Aiita Akili Kubwa

BENKI ya NMB imezindua huduma mpya chini ya Mwamvuli wa Teleza Kidigitali iitwayo NMB Onja Unogewe, ambayo imepongezwa na Mkuu...

READ MORE

JK Ampongeza Rais Samia maandalizi ya Uzinduzi wa Programu ya Uwekezaji Sekta Maji 2024-2030

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Rais DK.Mwinyi Akutana na Uongozi wa Shirika la kimataifa la Christian Blind Mission (CBM)

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kuboresha mazingira wezeshi kwa watu wenyeulemavu kwenye sekta zote za jamii zikiwemo Usafiri...

READ MORE

Kamishna wa Bima Nchini Aomba Kupelekewa Taarifa Za Wateja Wanaocheleweshewa Malipo Yao Kizembe

Dar es Salaam, 26 Juni 2023: Kamishna wa Bima nchini, Dkt. Baghayo Saqware amesema sababu kubwa inayochelewesha wadai fidia za...

READ MORE

Kipa Simba Azipambanisha Azam, Singida Azungumza na Spoti Xtra

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba, kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida...

READ MORE

Mdau Ashirikiana na Bodaboda Kujenga Choo, Afichua Mipango Yake – Video

Katika kile kinachoonekana ni kuwasaidia vijana wenzake wa Muheza, Hamisi Sadiki Rajabu amekamilisha ndoto ya siku nyingi ya Waendesha Pikipiki...

READ MORE

Bilionea wa Microsoft Atua Bongo Kufanya Royal Tour

  Mmoja wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala...

READ MORE

Kituo cha Uwekezaji (TIC), Kampuni ya Sukari Kilombero Wasaini Mkataba wa Utekelezaji

Juni 23, 2023, Serikali ilishuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na wawekezaji...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (mstaafu) IGP Said Ally Mwema azindua kitabu chake kinachokwenda kwa Jina Utawala na Usimamizi wa Sheria Tanzania

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura...

READ MORE