×

Habari

Serikali Yashauri Vyama Vya Wafanyakazi Kujiunga TUCTA

Morogoro: Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeshauri vyama vya wafanyakazi ambavyo bado havijajiunga na Shirikisho...

READ MORE

Mke Wangu Aliyefariki Dunia kwa Ajali ya Gari, Ananitokea Ndotoni Usiku Nikilala

  Naitwa Juma kutoka Ichenjezya, Mbozi mkoani Songwe, nimekuwa na changamoto nyingi sana katika maisha yangu, ila kuna changamoto moja...

READ MORE

Benki Ya NBC Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 6 Kwa Serikali

Dar es Salaam Mei 17, 2023:  Benki ya NBC leo imetoa gawio la shilingi bilioni 6 kwa Serikali, ikiwa ni...

READ MORE

Mtoto afariki na watu 23 hawajulikani walipo baada ya kiboko kugonga mtumbwi Malawi

Mtoto mchanga amefariki na watu wengine 23 hawajulikani walipo baada ya kiboko kugonga mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Mto Shire nchini...

READ MORE

Msafara wa Ubalozi wa Marekani Washambuliwa, Watu Wanne Wauawa

Watu wenye silaha Jumanne walishambulia msafara wa wa magari ya Marekani katika jimbo la kusini mashariki mwa Nigeria la Anambra,...

READ MORE

Picha: Mazishi ya Bernard Membe Yalivyofanyika Kijijini Kwao Rondo

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kuongoza mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard...

READ MORE

Kamanda Muliro Atoa Onyo Kali… Hatawavumilia Watakaowasumbua Wafanyabiashara -Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi halitawavumilia watu watakaowasumbua wafanyabiashara walioamua...

READ MORE

Mbunge Aliyeruka Sarakasi Bungeni Atishia Kuruka Tena Kwenye Bajeti Ya Wizara Ya Ujenzi Na Uchukuzi -Video

Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay atishia kuruka sarakasi ili suala la barabara ya lami kujengwa katika baadhi ya sehemu...

READ MORE

Mwanamke Ashitakiwa kwa Utapeli wa Kimapenzi Marekani

MWANAMUZIKI mwenye ushawishi wa Ghana ambaye pia ni maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii Mona Faiz Montrage, al maarufu Hajia4Real,...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo Wakubali Kuendelea Na Biashara

Jumuiya ya Wafanyabiashara wa soko la Kimataifa la Kariakoo wamekubali kuendelea kufanya biashara katika soko hilo baada ya Serikali kuridhia...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Sudan Azuia Akaunti za Benki za Mpinzani wake wa RSF

Mkuu wa jeshi la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametoa agizo la kufungia akaunti za benki za kundi la wanamgambo...

READ MORE

Rais Ruto Apokea ombi la Pamoja la Kenya, Uganda na Tanzania Kuandaa Afcon 2027

Rais William Ruto wa Kenya Jumatatu alipokea ombi la pamoja la Kenya kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027...

READ MORE

Chalamila Mkuu Mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Achukua Nafasi ya Amos Makalla

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa wanne ambapo amemhamishia jijini Dar es Salaam, Albert Chalamila aliyekuwa...

READ MORE

Meridianbet Kasino Sloti Rahisi za Ushindi ni Hizi

Sloti ya Wild Hot 40            Kasino ya Mtandaoni inayokupa ushindi wa uhakika na rahisi, Meridianbet imekuongezea sloti nyingine rahisi...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Wafanyabiashara Kariakoo, Atoa Maagizo – Video

    Kufuatia mgomo wa wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei...

READ MORE

TRA Yafafanua Kinachoendelea Kuhusu Mgomo wa Wafanyabiashara na Kutaja Mikakati Yake

  Kama wewe siyo mkosaji na mkwepa kodi unatoa rushwa ya nini kwa Watumishi wa TRA. Dhana tuliyonayo sasa ni...

READ MORE

Ijue Mbinu Muhimu Unayoweza Kuitumia Kudhibiti Wezi Katika Biashara Yako

  Kazi yangu ni biashara ya kuuza nafaka mbalimbali hapa mtaa wa Buza, nimeifanya hii kazi kwa miaka sita ambayo...

READ MORE

Mwili wa Mwanamtandao William Malecela Maarufu kama ‘LeMutuz’ Waagwa Dar – Video

MWILI wa Mwanamtandao maarufu Nchini Tanzania William Malecela maarufu kama ‘LeMutuz’ ambaye pia ni Mmiliki wa Online TV ya LeMutuz...

READ MORE

Wafanyakazi wa Vodacom Wachangia Damu Katika Hospitali ya Rufaa Dodoma

  WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, Mei 15, 2023 walifika katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma (General)...

READ MORE

Mchezo wa Zombie Apocalypse Unapatikana Meridianbet

Kuna movie nyingi za kuvutia na kusisimua moja kati ya movie hizo ni Zombie huwa aktika aina yake ya masimulizi...

READ MORE

Madaktari Bingwa JKCI Wafanya Makubwaa Malawi 

MADAKTARI bingwa wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamefanikiwa kuwapatia matibabu ya kibingwa wagonjwa zaidi ya 724 wa...

READ MORE

Chad: Watu 11 Wanaoshtumiwa Kupanga Njama ya Mapinduzi Wahukumiwa Miaka 20

Watu 11 wanaoshutumiwa kupanga mapinduzi nchini Chad wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, mwanasheria mkuu mjini N’Djamena ameliambia shirika la...

READ MORE

Kampuni ya Saruji Ya Chalinze Cement Yafungua Kesi Kuitaka Brela Kuirudisha Kampuni hiyo

KAMPUNI ya saruji ya Chalinze Cement, imefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ili kumtaka Wakala wa Usajili...

READ MORE

Baada ya Kuibuka Kwa Sakata la Uuzwaji wa Hisa  za Tanga Cement kwa Twiga Cement,Wadau Wa Maendeleo Wahoji

UKWELI ni kwamba baada ya kuibuka kwa sakata la uuzwaji wa hisa  za Tanga Cement kwa Twiga Cement kumeendelea kuibua...

READ MORE

Toboa zaidi katika kipaji chako ukitumia TECNO Spark 10

  Ukiwa na TECNO Spark 10 yenye  32MP Glowing Selfie Camera unaweza kufanya mengi zaidi na kipaji chako. 32MP inaweza...

READ MORE

William Malecela ‘Lemutuz’, Mtoto wa Waziri Mkuu wa Zamani Afariki Dunia

Mtoto wa Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania, John Malecela, William Malecela almaarufu Lemutuz, amefariki dunia asubuhi ya leo, Mei...

READ MORE

Tigo Wasaini Mkataba Mpya Awamu Ya 8 Kupeleka Mawasiliano Kata 371

Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imesaini mkataba mpya wa awamu ya 8 wa kufikisha huduma za...

READ MORE

Mwenyekiti Jumuiya Ya Wazazi CCM Dar Afanya Ziara Wilayani Ubungo, Atoa Maagizo Kwa Viongozi

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Bi.Khadija Said amesema kipindi cha Wazazi Super Cup ni...

READ MORE

RC Mongela awataka wafanyabiashara kuunga mkono GGML Kili Challenge

          NA MWANDISHI WETU KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi/ Ukimwi, Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Reflector Zatolewa Kwa Bodaboda Maeneo ya Mbagala

“Hodi hodi bodaboda wa Mbagala Meridianbet tumekuja kwaajili yenu na hapa tulipo tumewaletea reflector zitakazowasaidia wakati mkiwa mnaendesha chombo hicho...

READ MORE

Vodacom Yatangaza Taarifa Ya Mwaka Unaoishia Machi 31, 2023, Yaonyesha Kuimarika Kifaida

Dares Salaam – Mei 12, 2023.Kampuni pekee ya mawasiliano ya simu iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam,...

READ MORE

Mrisho Saleh; Mkimbizi Kutoka Kongo Anayeishi Marekani kwa Kuimba Qaswida

  Wahenga wanasema mlango mmoja ukifungwa, basi mwingine unafunguka! Hiki ndicho kilichotokea kwa Mrisho Saleh, Mkongomani anayeishi Illinois nchini Marekani,...

READ MORE

Rais Samia Awataka Vijana Kutumia Mitandao ya Kijamii Vizuri – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii vizuri kwani kuna uhuru...

READ MORE

Viongozi Wa Mbio Za Mwenge Wapanda Miti Bwawa La Mindu, Watoa Maagizo Kwa Bonde La Wami Ruvu

Morogoro: Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Abdala Shaibu Kaimu amewaasa wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu karibu na maeneo...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu kwa Kusafiri Kifahari Kuhudhuria Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

WAZIRI wa mambo ya nje wa Papua New Guinea, Justin Tkatchenko amejiuzulu baada ya kashfa ya matumizi ya fedha ya...

READ MORE

TECNO Kutambulisha Nyenzo Mpya “Magic Skin” Kwenye Simu za Mkononi Afrika

TECNO inakua brand ya kwanza ya simu za mkononi kuzindua nyenzo ya ngozi rafiki “Magic Skin” barani Africa ambayo ni...

READ MORE

China Yataka Mwanadiplomasia Wa Canada Aondoke Kabla Ya Tarehe 13

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imemtangaza mwanadiplomasia wa ubalozi mdogo wa Canada jijini Shanghai Jennifer Lalonde kama “mtu...

READ MORE

Breaking: Bernard Membe Afariki Dunia Baada ya Kuugua Kwa Muda Mfupi

  Habari mbaya zilizotufikia hivi punde leo Mei 12, 2023 zinaeleza kuwa, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Kamilius...

READ MORE

Pande Zinazopigana Nchini Sudan Zasaini Makubaliano Ya Kuzuia Kuwadhuru Raia

Shirika la Habari la Saudi Arabia, Al Arabiya limesema, wawakilishi wa jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka...

READ MORE

Onyango Aomba Kuondoka Simba Aandika Barua Kwa Uongozi

BEKI wa kati mkongwe wa Simba raia wa Simba, Joash Onyango, ameona isiwe shida, haraka ameandika barua kwa uongozi akiomba...

READ MORE