×

Habari

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Kampeni ya Mama Samia, Atembelea Banda la NMB

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amewataka watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa...

READ MORE

NMB Yang’ara Maonesho ya OSHA, Yaibuka Benki Kinara Yenye Sera Bora ya Usalama, Afya Mahali pa kazi

Katika maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi duniani yanayoratibiwa kitaifa na Wakala wa Afya na Usalama...

READ MORE

Tigo Washinda Tuzo Ya Kuzingatia Usalama Na Afya Kazini Kwa Mara Nyingine

Morogoro: Kampuni Namba moja nchini kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Tigo Tanzania, Leo Aprili 28 , 2023 imetangazwa (...

READ MORE

Waziri Mwigulu Azindua Tawi Jipya La Kisasa La Benki Ya Mwanga Hakika Jijini Arusha

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amehudhuria hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la kisasa la Benki ya...

READ MORE

Kongamano La Biashara, Uwekezaji Kati ya Tanzania na Malawi Kufungua Biashara Zaidi

Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) pamoja na  Ubalozi wa...

READ MORE

Infinix, Vodacom Wazindua Infinix HOT 30 Na Chemsha Bongo Ya TECH Kwa Wanavyuo

  DAR ES SALAAM, Aprili 28, 2023 – Infinix kwa ushirikiano na kampuni inayoongoza ya teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania...

READ MORE

Mwenyekiti wa BBC Ajiuzulu Kisa Mkopo wa Dola Milioni Moja

Mwenyekiti wa shirika la utangazaji la BBC Richard Sharp alijiuzulu Ijumaa baada ya ripoti huru kubaini kuwa alikiuka kanuni kuhusiana...

READ MORE

GGML Yaibuka Muonyeshaji Bora Katika Maonyesho ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi 2023

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayoratibiwa na Wakala wa afya na usalama mahali pa...

READ MORE

Odds Kubwa za Ushindi Mechi za Jumamosi na Jumapili

Ligi nyingi zinaelekea ukingoni huku timu zote zikipambana kutopoteza michezo yao iliyosalia, Meridianbet inakufanya ufurahie wikiendi yako kwa odds kubwa...

READ MORE

Rais Paul Kagame Ahitimisha Ziara yake ya Kikazi ya Siku Mbili Nchini Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini...

READ MORE

Bondia Aliyeriki Dodoma Kwa Kipigo, Familia Yaibua Utata

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini Ibrahim Najum kutoka Mbeya amefariki juzi mchana katika hospitali ya rufaa ya Dodoma alipokuwa...

READ MORE

Ajali Mbaya: Prado Lagonga Lori Pwani, Mpishi Maarufu Lilian Catering Afariki… -Video

Mpishi maarufu wa vyakula na mpambaji kwenye shughuli mbalimbali mwenye makazi yake mkoani Morogoro anayejulikana kwa jina maarufu la Lilian...

READ MORE

Mzozo wa Sudan: Uingereza Yamhamishia Balozi Wake wa Sudan, Ethiopia

Uingereza inasema Giles Lever, balozi wake nchini Sudan, amehamishiwa katika nchi jirani ya Ethiopia baada ya kufungwa kwa ubalozi wake...

READ MORE

Fistoni Mayele Aongoza kwa Kupendwa na Wanawake Bongo

MCHEZAJI mahiri wa Yanga, Fistoni Mayele anaongoza kwa kupendwa na wapenzi wa mpira wa miguu wanawake Bongo. Utafiti uliofanywa na...

READ MORE

Mr Eazi na DJ Edu Watangaza Kuachia Wimbo wa Kwanza wa Choplife Soundsystem Uitwao Wena

  Baada ya kutangaza habari kubwa za ujio wa project ya Afrodance Soundsystem , wasanii wakubwa wa muziki, Mr Eazi...

READ MORE

Urusi Yamzuia Balozi wa Marekani Kumtembelea Mwandishi

URUSI imesema haitamruhusu balozi wa Marekani kumtembelea mwandishi wa habari wa Marekani aliyezuiliwa nchini humo Evan Gershkovich Waziri wa mambo...

READ MORE

Fiston Mayele Awapiga Mkwara Mzito Rivers United kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar

STRAIKA hatari wa Yanga raia wa DR Congo, Fiston Mayele, ameibuka na kusema kuwa, amesikia kauli za viongozi wa Rivers...

READ MORE

Wanajeshi 33 wa Burkina Faso Wauawa katika Shambulio la Wanamgambo wa Kiislamu

Shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kiislamu liliua wanajeshi 33 mashariki mwa Burkina Faso jana Alhamisi, jeshi limesema. Kikosi...

READ MORE

Nawashukuru WCF Kwa Kuniwezesha Kuyamudu Maisha” Mnufaika wa Fidia

MNUFAIKA wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Deus Anthony, ameushukuru Mfuko huo kwa kumuwezesha kuyamudu maisha licha ya...

READ MORE

GGML Yaja na Teknolojia za Kisasa Maonesho ya OSHA, Wananchi Wavutiwa Mifumo ya Usalama

  NA MWANDISHI WETU KATIKA kuadhimisha siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani – 2023 ambayo kitaifa yanafanyika...

READ MORE

Benki Ya NMB Yashiriki Wiki ya Ubunifu 2023 Dodoma

 Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono juhudi ya Serikali kupitia Wizara ya Sayansi, Elimu na Teknolojia, kwa kudhamini na kushiriki...

READ MORE

Blackjack Live ni Sloti Rahisi Kushinda Hela Meridianbet

Sloti ya Blackjack Live      Kasino ya Mtandaoni Meridianbet kwa kushirikiana Expanse Studios wamekuja na sloti ya kijanja ya Blackjack Live/...

READ MORE

Basata Yaungana na Kampuni ya Chapride Kunogesha Tuzo za TMA, Watu 1500 Kusafiri Bure

  Kuelekea kilele cha Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) zitakazotolewa April 29, 2023 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais Kagame Ikulu Dar, Apigiwa Ngoma Za Asili – (Video+Picha)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 27, 2023 amempokea Mgeni wake Rais wa Rwanda...

READ MORE

Chama: Uzoefu Unatubeba Dhidi ya Wydad Casablanca Morocco

KUELEKEA mchezo wao wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca, kiungo Mzambia wa Simba, Clatous...

READ MORE

Wami/Ruvu Kuwaondoa Wanaoishi Chini Ya Daraja La Mto Morogoro

Morogoro, 27 Aprili 2023: Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeanza oparesheni ya kusafisha mito iliyopo mkoani Morogoro pamoja...

READ MORE

Rais Paul Kagame Awasili Nchini Kwa Ziara ya Kikazi ya siku Mbili – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Rwanda leo Aprili 27, 2023 amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili. Katika uwanja...

READ MORE

Wanafunzi wa Kitanzania Waliokuwa Masomoni Nchini Sudan Waondolewa Kurudishwa Tanzania

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imefanikiwa kuwaondosha wanafunzi wote wa Kitanzania...

READ MORE

Wapinzani Wa Yanga Waingia Mchecheto Mchezo wa Marudiano kwa Mkapa

YANGA washindwe wenyewe kwani wapinzani wao, Rivers United wanatarajiwa kuwakosa wachezaji wao wawili tegemeo watakapokutana katika mchezo wa marudiano wikiendi...

READ MORE

Msafara Wa Viongozi Wa Chadema Wapata Ajali, Watano Wajeruhiwa – Video

Viongozi kadhaa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali majira ya...

READ MORE

Polisi Nchini Kenya Wamhoji Mchungaji Ezekiel Odero, Wafunga Kanisa lake

Polisi nchini Kenya wamemhoji mhubiri Ezekiel Odero na kufunga kanisa lake kuu la Mavueni ambalo lipo katika kaunti ya pwani...

READ MORE

Watanzania Waliokwama Sudan Warejea Nyumbani

Ndege iliyowabeba raia wa Tanzania waliokuwa wamekwama Sudan imewasili salama Jijini Dar es salaam. Watanzania hao waliookolewa waliondoka Sudan kwa...

READ MORE

Sekta Ya Mawasiliano Imefungua Fursa Mpya Ya Maendeleo Endelevu -Waziri Mohamed

Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serikali Mapinduzi Zanzibar Khalid Salum Mohamed miaka ya hivi karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa...

READ MORE

Mkuu Wa Mkoa Wa Iringa Apokea Msaada Wa Vifaa Vya TEHAMA Kwa Shule 14 Kutoka Vodacom

Iringa – Aprili 25, 2023. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Halima Dendego amepokea msaada wa vifaa 49 vya TEHAMA...

READ MORE

Rais wa Rwanda, Paul Kagame Kuanza Ziara ya Siku Mbili Nchini

Rais wa Rwanda, Paul Kagame anatarajiwa kufanya ziara yakikazi nchini Tanzania kuanzia kesho, April 27 hadi April 28. Taarifa iliyotolewa...

READ MORE

Watu waliogopa kumsogelea; Rais Samia akamshika mkono na kuokoa maisha yake

        HAYAWI, hayawi… sasa yamekuwa. Ndoto ya mtoto Hamimu Mustapha Baranyikwa (15) aliyokuwa akiililia kwa muda mrefu...

READ MORE

Kasino ya Mtandaoni Inakupa Mkwanja kwa Njia Hizi

Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa hela...

READ MORE

Simba Watuma Ujumbe Mzito kwa wapinzani wao Wydad Athletic Club

UONGOZI wa Simba umetuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao Wydad Athletic Club kutoka mji wa Casablanca nchini Morocco kuwa wanakwenda...

READ MORE

Afrika Kusini Yasasema Haina Mipango ya Kujiondoa kwenye Mkataba wa ICC kwa Ajili ya Putin

Ofisi ya rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaposa ametoa taarifa kwamba nchi yake haina mipango ya kujiondoa kwenye Mkataba wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Mtoto Hamimu Mwenye Matatizo Ya Ngozi, Ikulu Jijini Dar

Rais Samia Suluhu Hassan, leo April 26, 2023 amekutana na kuzungumza na mtoto Hamimu Mustapha Baranyikwa (15) ikulu jijini Dar...

READ MORE