×

Habari

Watu Wasiojulikana Wafukua Kaburi Usiku na Kuikata Maiti Sehemu za Siri Kisha Kuifukia

Watu wasiojulikana wamefukua kaburi na kuondoa sehemu za siri za mwili wa marehemu Ruben Kasala (74) uliozikwa majira ya saa...

READ MORE

GGML, halmashauri za Geita zasaini makubaliano ya CSR ya thamani ya Sh bilioni 19

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita,...

READ MORE

Rais wa Russia Akutana na Rais wa China Wajadili kusitisha Mapigano Ukraine

Rais wa Russia Vladimir Putin na mwenzake wa China, Xi Jinping, walitarajiwa kuijadili mapendekezo ya Beijing, kwa Russia kusitisha mapigano...

READ MORE

Rais Samia Aipongeza TADB Na Kuisisitiza Kuendelea Kuwezesha Mradi Wa BBT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB)...

READ MORE

Tigo, Selcom Na Mastercard Waja Na Suluhisho La Malipo Ya Kidigitali Mtandaoni

Dar es Salaam. Tarehe 21 Machi 2023. Tigo Tanzania, Selcom na Mastercard Inc. wametangaza ushirikiano wa kimkakati ambao utawafanya Taasisi...

READ MORE

Nchi Za SADC Zaweka Mikakati Ya Kujikwamua Kiuchumi

Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimidhwa jijini Kinshasa tarehe 19 Machi 2023,...

READ MORE

Miaka Miwili ya Rais Samia Yaweka Alama ya Mafanikio Makubwa Katika Sekta ya Masoko ya Mitaji

  Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo na...

READ MORE

Kampuni Ya Mabasi Ya Classic Coach Kutangaza Filamu Ya The Royal Tour Nchini DRC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax ameipongeza na kuishukuru kampuni ya Mabasi...

READ MORE

Tamasha La Pasaka Hakuna Kiingilio, Ni Bure Bila Kiingilio – Msama

Tamasha kubwa la Pasaka linanatarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Leader’s Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar, Aprili 9 mwaka huu. Akizungumza...

READ MORE

Polisi Kenya Wakataa Maandamano ya Chama cha Raila Odinga Kesho Nairobi

Polisi wa Kenya Jumapili wamepiga marufuku wa wapinzani kufanya maandamano kutokana na kupanda kwa gharama za maisha wakisema maombi ya...

READ MORE

Watu 15 Wafariki Dunia kwa Tetemeko la Ardhi Ecuador

Takriban watu 15 wamefariki dunia Jumamosi mchana baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye nguvu ambalo lilitikisa mataifa ya Ecuador...

READ MORE

Mradi Wa Uwezeshaji Wa Wasichana Na Wanawake Vijana Washinda Tuzo Katika Jukwaa La WSIS 2023

Mpango wa Tigo wa Uwajibikaji kwa Jamii kwa kushirikiana na Apps and Girls, shirika lisilo la kiserikali nchini limeibuka mshindi...

READ MORE

SBL Yakabidhi Pikipiki Na Zawadi Kadhaa Kwa Washindi Wa Kampeni Pilsner

Dar es Salaam, Monday March 20th, 2023: Serengeti Breweries Limited (SBL) kupitia kampeni ya bia yake ya Pilsner lager iliyopewa...

READ MORE

SBL Yamuaga Ocitti, Yabainisha Mafanikio Yake

Dar es Salaam. Jumapili, Machi 19, 2023. Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imesaidia mamia ya wakulima kote nchini na...

READ MORE

Kamati Ya Kudumu Ya Bunge ya Miundombinu Yavutiwa Na Maendeleo Ujenzi BRT II

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Selemani Kakoso imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya miundombinu inayosimamiwa na Wakala wa...

READ MORE

Rais Samia Awapisha Makatibu Tawala wa Mikoa na Kamishna wa Dawa za Kulevya Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala Mikoa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya...

READ MORE

Unataka ushindi Mkubwa, Njoo Huku | Expanse Kasino

Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza...

READ MORE

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump Asema Anatarajia Kukamatwa Siku ya Jumanne

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump anasema anatarajia kukamatwa Jumanne katika kesi kuhusu madai ya pesa inayosemekana ililipwa kwa...

READ MORE

Majaliwa Awataka Ma-Dc Kusimamia Ajenda za Kitaifa na Kufuata Maono ya Rais Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya nchini wakasimamie ajenda za kitaifa ikiwemo ya mapambano dhidi ya rushwa. Amewataka...

READ MORE

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu Yatoa Hati ya Kumkamata Vladimir Putin

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) Machi 17, 2023 imetoa hati ya kumkamata Rais wa Russia Vladimir Putin, ikimshtumu kuwa...

READ MORE

Wikendi Hii Tusua Pesa Ukiwa Na Meridianbet Mabingwa wa Odds Kubwa

EPL kuendelea Wikendi hii kwenye viwanja mbalimbali ambapo Everton watakuwa ugenini dhidi ya Chelsea ya Potter ambayo imekuwa na misukosuko...

READ MORE

Kadinali Polykarp Pengo Atembelea Kaburi la JPM Wilayani Chato

Wakati Taifa la Tanzania leo Machi 17/2023 likiadhimisha miaka miwili ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe...

READ MORE

Aussems: Nawaonea Huruma Horoya Kwa Kitakachowakuta

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems ameweka bayana kuwa haoni namna yoyote ya wapinzani wa Simba katika Ligi...

READ MORE

Rais Samia Afanya Ziara ya Kihistoria Afrika Kusini Ahimiza Ushirikiano wa Kiusalama na Biashara

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika ziara yake ya kiserikali nchini Afrika Kusini amehimiza ushirikiano zaidi wa kiusalama na...

READ MORE

Kagera: Ugonjwa Usiojulikana Waibuka Na Kuua Watano, RC Chalamila Afunguka – Video

Wizara ya Afya imepokea taarifa ya kuwepo Ugonjwa huo katika Wilaya ya Bukoba Vijijini, Kata ya Maruku na Kanyangereko, Vijiji...

READ MORE

Tanzania Iko Tayari Kuilisha Dunia

Kwa mujibu wa takwimu kutoka Benki ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Kilimo, Tanzania imeongeza mauzo ya nje ya chakula...

READ MORE

Mtoto wa Rais Yoweri Musevenia Kugombea Urais Uganda Mwaka 2026

Mtoto wa kiongozi wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema ananuia kugombea urais mwaka 2026, ikiwa ni mara ya kwanza kwa Jenerali...

READ MORE

Dkt. Kiruswa: GGML Inaibeba Geita, Wizara ya Madini Kutafsiri Vyema Maboresho Sheria ya Madini

NA MWANDISHI WETU NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesema mojawapo ya kampuni za madini zinazoongoza nchini kwa kutafsiri...

READ MORE

Bandari Ya Kilwa Masoko Yapongezwa Kwa Huduma Bora

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imepongezwa kwa Huduma bora zinazotolewa na Bandari ya Kilwa Masoko. Pongezi hizo zimetolewa...

READ MORE

CBE Yaanzisha Shahada 10 za Uzamili

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na taasisi mbalimbali kupeleka wafanyakazi wake kupata mafunzo yatakayowawezesha kuboresha...

READ MORE

Kenya: Rais Ruto Amuonya Odinga Dhidi ya Maandamano ya Umma

Rais wa Kenya William Ruto amemuonya kiongozi mkuu wa upinzani Raila Odinga dhidi ya kufanya maandamano ya umma yaliyopangwa na...

READ MORE

Waarab Watashangaa…. Nabi Aandaa Sapraizi Mpya Yanga SC

UPO uwezekano wa Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi kumuanzisha beki wake Ibrahim Hamad ‘Bacca’ katika kikosi chake cha...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chama Cha Mabenki Tanzania (TBA) Aongoza Maadhimisho Siku Ya Wanawake Duniani

Dar es Salaam, Machi 16, 2023: Chama cha Mabenki Tanzania (TBA)  kimeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kila Machi 8 kwa...

READ MORE

Kimbunga Freddy: Malawi Yatangaza siku 14 za Maombolezo

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera Jumatano alitangaza wiki mbili za maombolezo ya kitaifa kwa zaidi ya watu 200 waliofariki kutokana...

READ MORE

Hotuba Ya Katibu Mkuu Wizara Ya Nishati Katika Maonesho Ya LPG Afrika Mashariki – Tanzania 2023

Bw. Benoit Araman – Mwenyekiti, Chama cha LPG Tanzania na Mkurugenzi Mkuu Oryx Gas Tanzania; Bw. Amos Jackson – Tanzania...

READ MORE

Meridianbet Yashusha Neema Kwa Bodaboda Kawe Dar

Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa...

READ MORE

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa chakula na kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka...

READ MORE

Wizara Ya Nishati Yazindua Umoja Wa Wazalishaji Na Wasambazaji Wa Gesi Ya Kupikia Majumbani

Dar es salaam: 15 Machi 2023, Wizara ya Nishati Yazindua Umoja wa Wazalishaji na Wasambazaji wa Gesi za kupikia majumbani...

READ MORE