×

Habari

Waziri wa Afya Apendekeza Kubadilishwa kwa Jina la Hospitali ya Mirembe

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amependekeza kubadilishwa kwa jina la Hospitali ya Mirembe ili wananchi waweze kujitokeza kwa wingi kupata...

READ MORE

Serikali Yatoa Msimamo Vita ya Sudan, Mapigano Yasimama Kwa Saa 24 -“Hakuna Mtanzania Aliepata Madhara”-Video

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Stergomena Tax amesema hakuna Mtanzania aliyepo Sudan aliyepata madhara kutokana...

READ MORE

Putin Afanya Ziara Kwenye Makao Makuu ya Vikosi vya Russia nchini Ukraine

Kremlin imesema Jumanne kwamba Rais wa Russia Vladmir Putin alitembelea makao makuu ya vikosi vya Russia huko Ukraine. Picha ya...

READ MORE

FOX News Kulipa fidia ya Dola milioni 787 kwa Kampuni ya Dominion, Iliyodai Kuharibiwa jina

Shirika la Fox linalomiliki chombo cha habari ya Fox News hapa Marekani Jumanne limekubali kulipa fidia ya dola milioni 787.5...

READ MORE

Mgunda: Bahati Yao, Yanga Wangekula Za Kutosha Ligi Kuu

KOCHA Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, ametamba gemu plani yao ndio imewapa matokeo mazuri ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...

READ MORE

Kocha wa Yanga Atamba “Simba Wametufunga, Lakini Ubingwa Wasahau”

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amekubali kufungwa dhidi ya Simba katika Kariakoo Dabi, lakini amesisitiza hawatakubali kuuachia ubingwa...

READ MORE

Mwanafunzi Apigwa Risasi na Kuzikwa Katika chuo Kikuu cha Sudan

Mwanafunzi mmoja ameuawa katika Chuo Kikuu cha Khartoum baada ya kupigwa risasi huku kukiwa na mapigano makali katika mji mkuu...

READ MORE

Mbunge Wa Zamani, Nimrod Mkono Afariki Dunia – Video

Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya Aprili 18, 2023...

READ MORE

Jinsi Bolt Business Inavyosaidia Mashirika Na Biashara Katika Soko La Tanzania

Dar es Salaam Aprili 2023: Katika kuhakikisha ukuaji wa maendeleo ya uchumi au biashara yoyote inategemea sana ufanisi wa usafiri....

READ MORE

Shinda Tsh Milioni 90,000,000/= za Meridianbet Kila Siku

Siku zote kwenye Maisha unaambiwa usipende sana kuomba hela ya kula bali omba kazi, huwa iko hivi hata uchawa una...

READ MORE

Ubalozi wa Marekani Watoa Mbinu Kwa Jeshi la Polisi Kukabiliana na Wahalifu

  Ubalozi wa Marekani umetoa mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi Nchini ya namna ya kukabiliana na matukio ya...

READ MORE

Kampeni ya #MitiMilioni ya Benki ya NMB yatua Tabora!

Benki ya NMB inaendelea kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kupitia kampeni ya #MitiMilioni nchi nzima, na wiki...

READ MORE

Meli Kubwa ya Kitalii ya Seaborn Yawasili Dar Ikiwa na Watalii 715 Wa Royal Tour

Moja ya Meli kubwa za kifahari duniani, Seabaorn Sojourn iliyotengenezwa Genoa, Italia, imetua leo Dar es Salaam hii ikitokea visiwa...

READ MORE

Mwenyekiti UVCCM Awataka Vijana Kuchangamkia Fursa ya Kilimo cha Kisasa

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana UVCCM Taifa Mohamed Kawaida amewataka vijana nchini kutokidharau kilimo na badala yake wakikumbatie na kuiona...

READ MORE

NHC Yaanza Ujenzi wa Mradi wa Zaidi la Bilioni Moja Kahama Mkoani Shinyanga

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limekabidhi kwa Mkandarasi wa Shirika eneo kunapoanza kujengwa majengo ya kitega uchumi yakiwamo maduka,...

READ MORE

Vodacom Yazindua Programu Maalumu Ya Tuzo Kwa Mawakala Wa Mauzo, Kuwapeleka Afrika Kusini

Dar es Salaam – Aprili 13, 2023. Kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua programu maalumu ya tuzo...

READ MORE

Tigo Wafuturisha Mawakala Na Wateja Wake Wilaya Ya Temeke

Dar es Salaam: Kampuni namba moja nchini katika utoaji wa huduma za Kidigitali Tigo, leo Jumatatu ya Aprili, 17 imefuturisha...

READ MORE

Vodacom Yaondoa Tozo Kutuma Na Kutoa Pesa Kupitia Kampeni Yake Ya Zaidi Ya Mtandao

Dar es Salaam – Aprili 13, 2023. Katika jitihada za kuhakikisha jamii za Watanzania zinaendelea kunufaika na huduma bora za...

READ MORE

Vodacom Yaunga Mkono Kampeni Ya Chanjo, Yatoa Msaada Wa Mil. 690/= Sekta Ya Afya

Dar es Salaam 17 Machi 2022: Wizara ya Afya na Vodacom Tanzania wamekabidhi vyumba vipya 6 baridi ambavyo vitatumika kuhifadhia chanjo....

READ MORE

Umoja wa Afrika Wakutana Kujadili Hali ya Kisiasa na Usalama Nchini Sudan

Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limeitisha kikao cha dharura hii leo kujadiliana hali ya kisiasa na...

READ MORE

Wakazi wa Czech waandamana mjini Prague, kulalamikia ugumu wa maisha

Maelfu ya waandamanaji Jumapili walikusanyika mji mkuu wa Czech wa Prague, wakilalamikia kuongezeka kwa mfumuko wa bei na hivyo kuitaka...

READ MORE

Qatar Airways Yasitisha Safari zake Sudan Baada ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum Kufungwa

Shirika la ndege la Qatar limetangaza kusitisha safari zake za kuelekea Sudan kutokana na kufungwa kwa uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Askofu Maboya, Mgogo na Hananja Wanogesha Kongamano La Uamsho Wa Ndoa Mlima wa Moto  

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Mlima wa Moto, Mikocheni jijini Dar es Salaam, Bishop Rose Mgeta amesema Kanisa hilo...

READ MORE

Kampeni ya Upandaji Miti yawa Kivutio Iftar ya NMB Bungeni

Kampeni ya Benki ya NMB ya kuongeza miti milioni moja katika ajenda ya serikali ya kuyatunza mazingira na kupambana na...

READ MORE

Washindi 12 Wajizolea Zawadi nono na ‘NMB Bonge la Mpango’

Droo ya kwanza ya msimu wa tatu wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde iitwayo  ‘NMB Bonge la Mpango –...

READ MORE

Kampuni Ya The Squid Zanzibar Limited Yaanza Mkakati Wa Masoko Kuvutia Wawekezaji

Aprili 2023 –Kampuni ya biashara ya majengo, The Squid Zanzibar Limited, imeanza mkakati wa masoko ili kuvutia wawekezaji wa kitaasisi...

READ MORE

Sekta Ya Makaa Ya Mawe Yatakiwa Kuzingatia Sheria na Miongozo ya Usalama na Afya

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umetoa wito kwa wawekezaji na waajari wa sekta ya makaa ya...

READ MORE

Waziri Aweso Afanya Mabadiliko Mkurugenzi Mamlaka Ya Maji Korogwe

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amefika wilayani Korogwe mkoa wa Tanga na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate...

READ MORE

Waziri wa Fedha Uganda Akamatwa kwa Madai ya Kuiba Mabati

MABATI yalitengwa kwa ajili ya makazi ya gharama nafuu huko Karamoja eneo ambalo halina maendeleo na halifuatiliwi huko kaskazini magharibi...

READ MORE

Rais Dkt. Samia: Sherehe Za Muungano Zifanyike Katika Ngazi Ya Mikoa

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza maadhimisho sherehe za miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yafanyike katika ngazi...

READ MORE

Ndege ya Shirika la Emirate A380 Yatua Kwa Dharura Tanzania

Uwanja wa Ndege wa Julius Kambarage Nyerere uliopo Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Aprili 16, 2023 umepokea...

READ MORE

Aweso Afanya Mabadiliko Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Korogwe, Asisitiza Utatuzi wa Changamoto za Maji

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefika wilayani Korogwe mkoa wa Tanga na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe...

READ MORE

Pamba Wanaitaka Ligi kuu, waichapa Mashujaa, Matubaini kibao ligi Kuu.

Baada ya ushindi wa 2-0 walioupata Pamba  dhidi ya Mashujaa FC kwenye dimba la Nyamagana, Kocha wa Pamba FC Yusuph...

READ MORE

Uchumi wa Tanzania Wapaa Miaka Miwili ya Rais Samia, Pato la Taifa Laongezeka

  TAKWIMU mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania kwa bei ya...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Japan Anusurika Kifo Kufuatia Mlipuko Mkubwa wa Bomu

Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amenusurika kifo baada ya kutokea mlipuko uliofuatiwa na moshi mzito alipokuwa akitoa hotuba katika...

READ MORE

Mateso Ya Mtoto Miezi 6 Yatakuliza, Mama Yake Aomba Msaada – Video

Mkazi wa Kibada Jijini Dar es Salaama, Rukia Mohamed Ally (25) ambaye kwa sasa anapitia mateso makali baada ya Mtoto...

READ MORE

Majaliwa kuongoza harambee ujenzi Shule ya KKKT inayogharimu Sh1.9 bilioni Mwanza

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Kassim Majaliwa (Mb) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Harambee ya kuchangisha...

READ MORE

Jeshi la Polisi Mwanza lakamata wahalifu 264, RPC Atoa onyo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza baada ya  kufanya misako na doria mbalimbali na limefanikiwa kukamata watuhumiwa 264 wa makosa...

READ MORE

Mpira Ulianzia Wapi? Pesa Zinatoka Wapi? Majibu yapo Hapa

Historia ya mpira wa miguu ilikuwepo tangu karne ya 15C, lakini ilisambaa Zaidi karne ya 19C huko Uingereza ambapo mpira...

READ MORE