×

Habari

Wafanyakazi Wa NMB Washerehekea Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar

Katika kusherekea maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar, wafanyakazi wa Benki ya NMB kutoka matawi ya Zanzibar wameungana na...

READ MORE

LG Yabainisha Mkakati Wa 2023 Katika Mpango Wa Maendeleo Endelevu Kufikia 2030

Tarehe 9 Januari 2023 Nairobi, Kenya. Kampuni ya LG Electronic imetangaza mkakati wake wa mwaka 2023 wenye lengo la kujenga...

READ MORE

Diamond Ahusishwa Manara Kuachana Na Mkewe, Mwenyewe Afunguka – “Hili Nalo Litapita”…Video

Bosi wa WCB, Diamond Platnumz amemliwaza msemaji wa klabu ya Yanga SC YA nchini Tanzania, Haji Manara kufuatia madai ya...

READ MORE

Rais Mpya Peru na Mawaziri Wake Kuchunguzwa kwa ‘Mauaji ya Halaiki’

Rais mpya wa Peru Dina Boluarte na mawaziri kadhaa wa nchi hiyo wanachunguzwa kutokana na mapigano ya wiki kadhaa ambayo...

READ MORE

Rais Zelenskyy: Ukakamavu wa Wapiganaji wa Ukraine Umelipa Taifa lao Nguvu Zaidi

Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilisema Jumanne majeshi ya Russia na yale ya kikundi cha mamluki cha Wagner “huenda hivi...

READ MORE

Ndoto ya Chato Kuwa Mkoa Yayeyuka, Mkuu wa Mkoa wa Geita Afunguka

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella amewataka viongozi Mkoani humo kuacha upotoshaji juu ya mpango wa kuundwa Mkoa mpya...

READ MORE

Utawaambia Nini Wakazi wa Jimbo la Kibiti na Twaha Mpembenwe Wao?

  Pwani, 11 Januari 2023: Utawaambia nini wakazi wa Kibiti na Twaha Mpembenwe wao mwenye kauli mbiu ya “Kibiti kwa...

READ MORE

Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited yazindua Konyagi aina ya Konyagi Fusion

  KAMPUNI ya Tanzania Distilleries Limited, ambao ni waanzilishi wa kinywaji cha Konyagi, leo inazindua aina mbili mpya za Konyagi...

READ MORE

Kiungo wa Zamani wa Zambia Auawa na Mbwa wake Watatu, Mkewe Afunguka

Nyota wa zamani wa Chipolopolo ya Zambia, Philemon Mulala aliumwa na mbwa wake watatu nyumbani kwake Lichtenburg Afrika Kusini alipotoka...

READ MORE

Nyaraka za siri Zakutwa Katika Ofisi ya Zamani ya Rais Joe Biden, Ikulu ya Marekani

IDARA ya haki ya Marekani inachunguza nyaraka za siri zinazodaiwa kupatikana katika ofisi ya zamani ya Rais Joe Biden, Ikulu...

READ MORE

Njia Niliyotumia Kupata Kazi Baada ya Kuhangaika kwa Muda wa Miaka Mitano

  HAPA duniani hakuna maisha bila kazi, kazi ndio msingi wa maisha, katika kazi ndipo mtu anajipatia riziki yake (fedha),...

READ MORE

Rais Samia Awapisha Viongozi Wateule Ikulu Chamwino

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan leo Januari 9, 2023  amewapisha viongozi mbalimbali  Ikulu...

READ MORE

Kubeti na Kitochi: Beti Bila bando Meridianbet-USSD Piga *149*10# BURE!

Ushindi unaendelea ukibeti na Meridianbet USSD Piga *149*10# BURE kutengeneza mkeka wako usipokuwa na Intaneti mahali popote Tanzania. Nafasi nyingine...

READ MORE

Watu 40 Wafariki Dunia, 78 Wajeruhiwa katika Ajali katika Kijiji cha Gnivy Senegal

Watu 40 wamefariki na 78 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani nchini Senegal. Rais wa Senegal Macky Sall, ameandika kwenye Twitter...

READ MORE

Mexico Yasitisha Kumpeleka Mtoto Wa El Chapo Marekani Baada Ya Watu 29 Kuuawa

JAJI wa Mexico City amesitisha zoezi la kumpeleka nchini Marekani, Joaquín ‘El Chapo’ Guzmán, ambaye ni mtoto wa mfanyabiashara mkubwa...

READ MORE

Ukraine Yapokea Silaha Za Kujikinga Na Makombora, Russia Imetengua Ndege Isiyo Na Rubani Ya Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymr Zelenskyy amepongeza msaada wa silaha kutoka Marekani, unaojumuisha magari yenye uwezo wa kurusha makombora ya kuharibu...

READ MORE

Rais Samia Ateua Emanuel Tutuba kuwa Gavana Benki Kuu ya Tanzania (BOT)

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Emanuel Tutuba kuwa Gavana Benki Kuu ya Tanzania (BOT). Tutuba ambaye alikuwa Katibu Mkuu Wizara...

READ MORE

Marekani: Mtoto Mwenye Umri wa Miaka 6 Ampiga Risasi Mwalimu wake Shuleni

Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 6 amempiga risasi na kumjeruhi mwalimu wake, katika jimbo la Virginia. Mwanafunzi huyo mvulana, amekamatwa...

READ MORE

Wazari Nape Azindua Mnara wa Mawasiliano Kalambo Mkoani Rukwa

UZINDUZI: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mh. Nape Nnauye @napennauye amezindua mnara wa mawasiliano katika eneo la...

READ MORE

Bolt Yafurahishwa na LATRA Mwongozo Mpya wa Bei za Usafiri

Dar es Salaam 08 Januari 2023. Kampuni ya Bolt inafuraha kukujulisha kuwa LATRA imetoa notisi ya gazeti la serikali namba...

READ MORE

TFF: Fei Toto Bado ni Mchezaji wa Yanga kwa Mujibu wa Mkataba

    Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeamua kuwa Feisal...

READ MORE

Jumuiya ya Wazazi CCM Kata Azimio Dar, Yatoa Msaada Zahanati Tambukareli

Dar es Salaam, 7 Januari 2023: Jumuiya ya wazazi Kata ya Azimio Temeke, Dar leo imetoa msaada wa vifaa tiba...

READ MORE

David Kafulila; ‘Jenerali’ Wa Siasa, Kakulia Chadema, Kang’ara NCCR, Kaula Kwa Rais Samia…Video

Rais Samia Suluhu Hassan aliwateuwa viongozi sita kuwa Wakuu wa Taasisi mbalimbali akiwemo, David Kafulila aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Mwanamke wa Australia Aliyeshtakiwa kwa Ugaidi Aachiliwa kwa Dhamana

  Mwanamke wa Australia ambaye ameshitakiwa kwa kuingia kwa hiari kwenye eneo linalodhibitiwa na kundi la Islamic State nchini Syria...

READ MORE

Nmb Yaanza Mwaka Kwa Kusambaza Upendo Kupitia MastaBataKoteKote

   Benki ya NMB imeanza mwaka kwa kusambaza upendo kupitia kampeni ya #MastaBataKoteKote kwa kumzawadia mshindi wa pikipiki mpya aina...

READ MORE

Bot Yabaini Ongezeko la Udanganyifu wa Miamala ya Kifedha

  Benki Kuu ya Tanzania imebaini kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha nchini unaohusisha mwananchi kupokea taarifa hati au barua pepe...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Januari 6, 2023 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana...

READ MORE

IGP Afanya Mabadiliko Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Songwe na Rukwa 

IGP Camillus Wambura amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Muslim kwenda kitengo cha miopango makao makuu...

READ MORE

Watu 16 Wafariki Katika Ajali ya Basi na lori Nchini Uganda leo – Picha

WATU 16 wameuawa wakati basi la abiria lilipogonga lori moja leo Ijumaa asubuhi Desemba 6, 2023 kwenye barabara kuu ya...

READ MORE

Bado Imekuwa Vigumu Kupata Spika wa Bunge la Marekani

Kundi la wabunge 20 wa mrengo wa kulia walimzuia tena Mbunge wa California Kevin McCarthy siku ya Alhamisi kuwa spika...

READ MORE

Mauji ya Utah: Mwanaume aua Familia Yake Baada ya Mke Kuitisha Talaka

Mwanaume mwenye umri wa miaka 42 amewapiga risasi watu saba wa familia yake kabla ya kujiua katika jimbo la Utah...

READ MORE

Leo Tigo Ilivyogawa Mamilioni na Vifaa vya Hisense Kwa Washindi wa Ndinga la Kishua

Dar es Salaam, 6 Januari 2023:Mwenye bahati habahatishi: Ndivyo ambavyo unaweza kusema wakati Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo...

READ MORE

Msemaji wa Simba Amkataa Bobosi Byaruhanga “Hatuna Mpango wa Kumsajili”

MENEJA wa Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefunguka na kusema kuwa katika dirisha hili dogo la usajili hawana mpango...

READ MORE

Mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea Achunguzwa kuhusiana na Madai ya Utekaji

Mtoto wa kiume wa rais wa muda mrefu wa Equatorial Guinea anachunguzwa kuhusiabna na madai ya utekaji na mateso. Wadadisi...

READ MORE

Amazon Kuwaachisha Kazi Zaidi ya Watu 18,000 ili Kupunguza Gharama

Amazon inalenga kufunga Zaidi ya nafasi 18,000 za kazi ili kupunguza gharama, bosi wa kampuni hiyo kubwa ya teknolojia anasema....

READ MORE

Halotel Tanzania Yakabidhi Gari Jipya la Promosheni ya 7bang Bang

  Kampuni ya Mawasiliano nchini ya Halotel Tanzania PLC leo imekabidhi zawadi kwa mshindi mkuu aliyejishindia gari aina ya IST...

READ MORE

NECTA Yatangaza Matokeo ya Darasa la Nne, Kidato cha Pili, Ufaulu Washuka

  Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha...

READ MORE

Mama na Binti yake Wahukumiwa kwa Kuuza Viungo vya Miili ya Wafu

Mmiliki wa zamani wa Chumba cha kuhifadhu maiti na mama yake wamehukumiwa kifungo cha jela huko Colorado baada ya kupasua...

READ MORE

Latra Yapandisha Nauli Za Mabasi Ya Mwendokasi, Teksi Na Pikipiki Za Mtandaoni

Kuanzia Januari 16, 2023 Nauli ya Mabasi ya Mwendokasi itakuwa Tsh. 750 kutoka 650, njia ya mlisho (Feeder Route) ni...

READ MORE

Rais Samia Aipangua Ikulu, Diwani Athuman Awa Katibu Mkuu Ikulu, Katanga Balozi Marekani

Rais Samia Januari 3, 2023 amefanya uteuzi wa viongozi wanne akiwemo Said Hussein Nassoro kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama...

READ MORE