Imekuwa ni kawaida kwa msanii Naseeb Abdul, ‘Diamond Platnumz’ kugawa fursa mbalimbali pindi anapoachia wimbo wake mpya ila hii utapita...
READ MOREWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mbio za mwaka huu za Kilimanjaro International Marathon...
READ MORERais wa Marekani Joe Biden ameutaja uamuzi wa Urusi wa kusitisha mkataba wa silaha za nyuklia wa New Start kuwa...
READ MOREFebruari 23, 2023, DAR ES SALAAM:Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Nchi za Umoja wa Ulaya linalofanyika...
READ MOREUONGOZI wa Yanga, umepiga hesabu kali na kubaini kuwa, tiketi yao ya kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika...
READ MOREAccelerate Africa, mtandao unaohusiana na maswala ya maendeleo na ukuaji wa kiuchumi na ambao unahusisha wataalamu waliobobea kwenye maswala...
READ MOREMabaraza mawili ya bunge la Russia Jumatano yameidhinisha hatua ya Rais Vladimir Putin ya kusitisha ushiriki wa Moscow katika mkataba...
READ MOREJina langu ni Zamaradi, wanaume wengi wamekuwa wakitamani kuwa na mimi na hata kunioa lakini kila ambapo nilikuwa nawaambia...
READ MOREMkuu wa NATO, Jens Stoltenberg amesema muungano huo wa kijeshi umeona baadhi ya ishara kwamba China inaweza kuwa inapanga kuiunga...
READ MOREKilimanjaro – Februari 23, 2023. Katika jitihada za kukuza sekta ya elimu na kufanikisha lengo lake la kujenga jamii ya...
READ MOREKocha Mkuu wa klabu ya soka ya Mbao fc yenye maskani yake Ilemela jijini Mwanza ambayo imewahi kutamba ligi...
READ MOREUjasiriamali ni kuhusu kuwa na vitu vingi vilivyofungwa katika kitu kimoja, hata hivyo, kuweza kuzoea ni nyenzo muhimu inayoongoza kwa...
READ MOREBARABARA zote mkoani Kilimanjaro, hususan Moshi Mjini, zinaelekea katika viwanja vya Moshi Club na Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU)...
READ MOREMTU mmoja amefariki dunia baada ya kimbunga cha kitropiki kukumba pwani ya mashariki ya Madagascar, huku mvua kubwa ikiambatana na...
READ MORERais Vladimir Putin ametoa onyo siku ya Jumanne, kwa nchi za Magharibi kuhusu Ukraine kwa kusimamisha mkataba wa kihistoria wa...
READ MOREWalinda amani watatu wa Senegal wa kikosi cha Umoja wa mataifa nchini Mali waliuawa Jumanne wakati msafara wao ulipokanyaga bomu...
READ MOREKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendelea kufanya vyema kwenye nyanja mbalimbali zinazogusa jamii na serikali kwa ujumla baada...
READ MORECHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanga kuanzisha vilabu vya ujasiriamali kwa shule za sekondari mkoani Dar es Salaam...
READ MOREWaziri wa Maji, Jumaa Aweso ameshiriki Mkutano Maalum unaohusiana na masuala ya Huduma ya Maji Duniani wa World Water-Tech Innovation...
READ MOREWakati Machi 3, 2023 Klabu ya Soka ya Mapinduzi FC ikitarajia kujitupa uwanjani kumenyana na Klabu ya Soka ya Azam...
READ MORETakriban wanajeshi 51 wameuwawa katika shambulizi la kustukiza linaloshukiwa kufanywa na wanajihadi kaskazini mwa Burkina Faso, jeshi limesema Jumatatu, na...
READ MOREUMESIKIA hiyo, thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala...
READ MOREMakamu Mwenyekiti wa Chama cha Wakutubi Tanzania, Dr. Leontine Nkebukwa ambaye pia ni mhadhiri wa Chuo cha Elimu ya...
READ MOREKwa mara nyingine tena waokoaji wanatafuta watu waliokwama chini ya vifusi baada ya matetemeko mawili mapya ya ardhi kuikumba Uturuki...
READ MOREChama kikuu cha upinzani nchini Sierra Leone, kimemteua waziri wa zamani wa mambo ya nje Samura Kamara kama mgombea wake...
READ MOREFebruari 2023-Wakati ujenzi wa mradi wa majengo mapya ya ya kisasa ya makazi ukiendelea katika eneo la Nungwi Mashariki mjini...
READ MOREKAMPUNI ya Meta inayomiliki Mitandao ya Instagram na Facebook imetangaza watu wenye tiki za Blue wataanza kulipia malipo yatakuwa Dola...
READ MOREMwanamuziki nyota wa Morocco Saad Lamjarred, anatuhumiwa na kesi ya ubakaji na unyanyasaji, ambayo imeanza kusikilizwa katika mji mkuu wa...
READ MOREDar es salaam, Februari 21, 2023: Taasisi binafsi ya kusaidia sekta ya kilimo (PASS), leo imezindua kampeni ya KIJANISHA MAISHA...
READ MORENi wanawake wengi sana duniani wametoa rushwa ya ngono ili waweza kupewa kazi, kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara, licha...
READ MOREDar es Salaam, Jumatatu Februari 13, 2023: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Pilsner Lager imefanya...
READ MORERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Ubalozi mdogo wa Umoja wa Nchi ya...
READ MOREKatika mwendelezo wa kusaidia jitihada za Serikali kukuza ujumuishi wa kiuchumi nchini, Benki ya CRDB leo imeingia mkataba...
READ MOREMwezi wa Pili umekuwa mwezi mzuri sana, ambapo Meridianbet imetangaza na kuwapongeza washindi wawili (2) waliojishindia mamilioni ya pesa...
READ MORERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista...
READ MORECHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya...
READ MOREZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya kufanyika mbio maarufu za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon kwa mwaka wa 2023, waandaaji...
READ MOREMlezi wa Matembezi ya UVCCM ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mke wa Rais Zanzibar, Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora...
READ MOREUmoja wa Afrika Jumapili umesisitiza kuwa una sera ya kutovumilia mabadiliko yanayokiuka katiba, huku ukiendelea kusimamisha uanachama wa nchi nne...
READ MORE